52 weeks saving Challenge... Hivi watanzania Tuna Shida gani?

RGforever

JF-Expert Member
Apr 3, 2011
6,878
5,424
Kusema Ukweli mie huwa Sinaga Mood kabisa na Hizi Tips and Tricks za Kusave na Kusaidiana zinazoibuka kila mara maana Nyingi naonaga kama Ni za Watu ambao hawakukaa Chini kufikiria ila Walikurupuka Tu

Naona Haka kamtindo kameanza Mdogo Mdogo (52 weeks saving) yaani Kila Week uwe una Deposit kiasi fulani cha Pesa Kwenye Kibubu chako. Na wahanga wengi watakuwa tena wakina Mama.. Kama Michezo ya Vikoba na Kusaidiana

1704ef7b023da7df8b4261787371f775.jpg


Sijaona Mantiki ya Hii Kitu na Kwangu ni kama Impossible kwa Maisha Yetu haya Ya Kubangaiza Bangaiza. Leo hii mtu anakuambia et kila week weka Kiasi fulani cha Pesa...

Chukulia Mfano kwa week 40 mpk 43 hapo juu haiwezekani mtu kwa week Moja Aingize Tsh laki 400000 halafu week ya pili pia Aingize laki 410000 halafu week ya tatu aingize 420000 na Ya nne Aingize 430000 which makes 1660000 per month.

Hii itawezekana kwa Watu wenye biashara kubwa na Waliofanikiwa Tayari ila kama Wewe ni mfanyakazi wa Serikali wa laki 4-7 per month bado hujalipa Kodi... Madeni.... Watoto..na biashara zetu ndogo ndogo.n.k hii kitu ni Impossible
 
Mtoa mada..kajithathimini...

Soma na uelewe malengo.

Lengo la kwanza hapo....ni nidham ya kuweka akiba.

Lengo la pili...haijalishi unakipato kiasi gan bado unaweza kuweka akiba.

Hata kama income yako ni 1000 kwa siku bado unaweza kuweka akiba ya tsh 20 kwa siku. Tofauti ni kwamba mwenye kipato kikubwa anaweza kuweka akiba kubwa (Note: si kila mwenye kipato kikubwa ana uwezo wa kuweka akiba ...akiba ni nidhamu) na mwenye kipato kidogo anaweka akiba ndogo.

That is it!

Unaposema anapigwa ....sijaelewa anapigwaje....wakati hela ni zako na umefundishwa wewe mwenyewe jinsi ya kuweka. Hakuna kuuza wala kununua chochote hapo. Wala hakuna kamisheni ya kumuintroduce mtu kwenye hii idea.

It is simpy a challenge to our spending behaviour!
 
Mtoa mada..kajithathimini...

Soma na uelewe malengo.

Lengo la kwanza hapo....ni nidham ya kuweka akiba.

Lengo la pili...haijalishi unakipato kiasi gan bado unaweza kuweka akiba.

Hata kama income yako ni 1000 kwa siku bado unaweza kuweka akiba ya tsh 20 kwa siku. Tofauti ni kwamba mwenye kipato kikubwa anaweza kuweka akiba kubwa (Note: si kila mwenye kipato kikubwa ana uwezo wa kuweka akiba ...akiba ni nidhamu) na mwenye kipato kidogo anaweka akiba ndogo.

That is it!

Unaposema anapigwa ....sijaelewa anapigwaje....wakati hela ni zako na umefundishwa wewe mwenyewe jinsi ya kuweka. Hakuna kuuza wala kununua chochote hapo. Wala hakuna kamisheni ya kumuintroduce mtu kwenye hii idea.

It is simpy a challenge to our spending behaviour!

Exactly that is the point i also see. Labda kama jamaa alimaanisha vingine, lakini ulichofafanua nadhani ndo kusudio, which is good.
 
Exactly that is the point i also see. Labda kama jamaa alimaanisha vingine, lakini ulichofafanua nadhani ndo kusudio, which is good.
Asante....hili ndilo lengo hasa...mie binti yangu kila jumamosi nampeleka benk akaweke akiba minimum tzs 5000. Ana 8 years....na anapenda sana kazi hyo maana nishimwambia anatunza hela ya sikukuuu....wazo kuu hapa ni kwamba hapo baadae hii itakuwa ni tabia yake....kuweka akiba hata kama ana kidogo.
 
Mtoa mada..kajithathimini...

Soma na uelewe malengo.

Lengo la kwanza hapo....ni nidham ya kuweka akiba.

Lengo la pili...haijalishi unakipato kiasi gan bado unaweza kuweka akiba.

Hata kama income yako ni 1000 kwa siku bado unaweza kuweka akiba ya tsh 20 kwa siku. Tofauti ni kwamba mwenye kipato kikubwa anaweza kuweka akiba kubwa (Note: si kila mwenye kipato kikubwa ana uwezo wa kuweka akiba ...akiba ni nidhamu) na mwenye kipato kidogo anaweka akiba ndogo.

That is it!

Unaposema anapigwa ....sijaelewa anapigwaje....wakati hela ni zako na umefundishwa wewe mwenyewe jinsi ya kuweka. Hakuna kuuza wala kununua chochote hapo. Wala hakuna kamisheni ya kumuintroduce mtu kwenye hii idea.

It is simpy a challenge to our spending behaviour!
Hapana mkuu , kama unakipato Y equal C, income equal consumption, utasave nn hapo ?
 
Hapana mkuu , kama unakipato Y equal C, income equal consumption, utasave nn hapo ?
Ulishawahi kuishi bila kipato kabsa...??! How did u make it through the day?!

Point iko hv....mshahara ni lak 1 kwa mwezi....lakin unakatwa elf 10 kama kodi unaishi kwa elf 90...how is that possible? Hii ina maanisha kwamba tunaweza kuadjust kwa kile tunachokipata mknoni...kinachotusumbua ni mazoea. Nenda benk kwa mfano waambie wafunge standing order ya elf 30 kwenye salary yako....mwez wa kwanza utaona shida kidogo but u will get through

Miez 6 baadae utakuwa umezoea kabsa kuishi na kinachobakia...then nenda kaadjust to elf 5 ya ziada...u will get used.

Hujawahi kujiuliza kuwa watu wenye mishahara mikubwa ndo watu wenye madeni zaidi?! Kuweka akiba ni nidham si kipato...ni kama vile kwenye biashara mtaji ni hoja namba mbili...hoja namba moja ni wazo la biashara.

So haijalishi wewe kipato chako ni tsh ngap kwa mwezi...iwe biashara au mshahara....jichallenge mwenyewe...weka akiba....!
 
Asante....hili ndilo lengo hasa...mie binti yangu kila jumamosi nampeleka benk akaweke akiba minimum tzs 5000. Ana 8 years....na anapenda sana kazi hyo maana nishimwambia anatunza hela ya sikukuuu....wazo kuu hapa ni kwamba hapo baadae hii itakuwa ni tabia yake....kuweka akiba hata kama ana kidogo.
Ooh that's good
 
Hilo shindano hakutapeli mtu, ni mchezo unaocheza mwenyewe nyumbani kwako, na siyo lazima kiwango kiwe hicho kilichotajwa....mnaweza kuanza na 500 au 1000...tena hiyo inaweza kuwa bora kuliko upatu
 
Unaweza pia ukaweka kiasi kisichobadilika kilicho ndani ya uwezo wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom