Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Kampuni ya uzalishaji dhahabu ya Acacia Mining imetoa ripoti ya uzalishaji dhahabu kwa robo ya mwisho ya mwaka 2017 (kuanzia tarehe 1 Septemba hadi 31 Disemba) mwaka ikionyesha uzalishaji dhahabu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wananchi wa miji ya Shinyanga na Kahama wamekosa maji kwa siku 7 baada ya TANESCO kukata umeme kwenye mtambo wa kusukuma maji uliopo Ziwa Victoria. Hii ni kutokana na deni la zaidi ya Sh...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wana JF kwakweli nimeshindwa kuelewa kwanini website ya ofisi kubwa kama Secretarieti ya ajira ktk utumishi wa uma kutopatikana tangu wiki iliyopita. Sijui sababu ni nini lakini kwa taasisi kubwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu?nahitaji msaada wa mwenye mawasiliano ya kumpata direct mkurugenzi mkuu wa mfuko wa GEPF, nasumbuliwa stahiki zangu bila sababu ya msingi kwa mwenye nayo naomba ani pm
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimesoma Gazeti la leo la Tanzania Daima, ISSN 08569762 Toleo namba 4709 la Januari 24,2018. Kichwa cha Habari ''Magufuli apata mtihani mzito'' Nimeisoma habari yote nikitafuta uthibitisho wa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wapendwa Nimekuwa nikijiuliza sana hili swali wakati ninapotumia google map ila bado sijapata jibu na ukizingatia picha z sattelite zimepigwa mchana kweupe....kwa mwenye uwelewa naomba anijuze
1 Reactions
34 Replies
5K Views
MSAADA WA MUHIMU SANA UNAHITAJIKA Ndugu zangu heshima iwe kwenu, Ninachotaka kuwaelezeni hapa ni stori ndefu kidogo kuhusu maisha ya mama mmoja niliyekutana naye huko Serengeti nilipokuwa huko...
0 Reactions
2 Replies
702 Views
Habari za leo waungwana? Sala na salam zangu ziwashukie kina mama wote duniani, wenye kujua hasa maana ya nomino yenyewe MAMA na wenye kuitendea haki nomino hiyo kama ambavyo chapisho hili...
0 Reactions
2 Replies
901 Views
Habari zenu wanajamvi? Kuna kitu cha kushangaza sana katika ulimwengu huu uliopotoka, hata pale unapotaka kufanya jambo lako, wakati fulani unalazimika kufanya maamuzi wew kama wewe bila...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba nieleweke hapa namaanisha ndoa (tukio la kiimani) siyo sherehe! Ukisoma bibilia na vitabu vitakatifu utaona neno lililotumika "AKAMJUA" hii inatafsiliwa kwamba "akamuoa". Hivyo basi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Heshima zenu Wakuu, Karibuni ktk Makala hii fupi Kuhusu huyu Kiumbe. Mamba ni miongoni Mwa Viumbe hatari Zaidi kwa maisha ya Binadamu, Mamba ameorodheshwa miongoni Mwa Viumbe 10 hatari kwa maisha...
10 Reactions
66 Replies
14K Views
Ndipo tulipofikia, maisha yetu yameguwa magumu na kubahatisha mpaka makampuni ya "kubeti" yametengeneza pesa sana kushinda makampuni yote TZ. Yamelipa kodi zaidi kuliko hata makampuni ya simu...
1 Reactions
16 Replies
9K Views
. Kama ni kweli basi tutakaa sana wa tz
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu.. Siku moja Mwishoni mwa mwaka Jana kama kawaida nilitoka zangu kwenda kwenye mihangaiko yangu ya kila siku mara nyingi huwa nnakawaida muda wa kurudi nikitoka job huwa napitia bar...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Kwa namna maisha yanavyonipiga na namna maisha yalivyogeuka shubiri hasa wakazi wa Bulyanhulu imenibidi nimkumbuke Rais Mwinyi. Shikamoo Mwinyi
3 Reactions
135 Replies
11K Views
Kuna haja ya serikali kumchunguza nabii Titto kama inavyomchunguza Askofu Kakobe ili kubaini kama pombe anazokunywa hadharani kila kukicha anazinunua kwa fedha za sadaka au ana chanzo kingine cha...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Kwa msisitizo na malengo madhubuti ya urusi ya kutaka kumaliza vikundi vya waasi na kukomesha mashambulizi ambayo hufanywa na marekani na washirika wake urusi imeamua kupeleka mitambo ya kisasa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wale wa kuingia na kutoka Tabata tafuteni njia mbadala kwa muda huu maana tairi za train zimehama na kusababisha train kuziba barabara ya kuelekea Tabata.
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Mkazi mmoja wa mkoa wa Mwanza amefariki dunia baada ya kuigonga ndege ya FastJet iliyokuwa ikiruka katika uwanja wa ndege wa Mwanza kuelekea Dar es salaam. Akizungumza na Mwananchi leo Januari...
1 Reactions
70 Replies
12K Views
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe limetoa masaa 72 kwa watendaji 37 kutoka katika kata 15 wawe wamewasilisha kiasi cha milioni 73 walichokusanya kama mapato...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom