Mwingulu leo kapata sehemu.ya kiki saa tano asubuhi hata watu bado wamelala kakimbilia kwenye media mitandao fb kaita wahandishi wa habari kutafuta kiki lakini kwa ndungu yake wa karibu na mbunge mwenzake na ni majirani isitoshe wanaingiliana kabila lakini alikuwa BUBU hadi leo kupigwa risai kwa MhTUNDU LISSU shame on you
hahhaha tukitoka hapo uchaguzi kinondoni na siha,miaka inasonga,wenzetu mara wametengeneza PC yao,mara wametengeneza reli ya trni ya umeme,mara hivyo satelite nk