Kwa hali hii sidhani kama marekani atakaa syria, amekaliwa kooni

Ack

Member
Dec 21, 2016
88
87
Kwa msisitizo na malengo madhubuti ya urusi ya kutaka kumaliza vikundi vya waasi na kukomesha mashambulizi ambayo hufanywa na marekani na washirika wake urusi imeamua kupeleka mitambo ya kisasa kabisa ya kulinda anga kwenye maeneo maalumu sasa sijui kama marekani atavumilia kukaa syria maana kashaona ameshindwa mbaya zaidi na mkorea kamkalia kooni

Hizi ni mitambo maalumu za kulinda anga alizopeleka syria

PART 1:


PART 2:
 
Mkuu haya Madude yashawahi jaribiwa wapi? Au ndo yamepelekwa kwenye Majaribio huko?
 
ww unapouziwa simu mpya dukani unafikiri unaletewa haijatestiwa na kama imetestiwa imetestiwa wapi??
Kwahyo Matumizi ya Simu yanafanana na Matumizi ya hizo Defence Systems?
Na je hayo yametengenezwa kwa ajili ya kuuzwa?
Au yameshawahi tumika wapi kabla ya kupelekwa huko Syria?
 
Hayo yapo active kuna S 300. S 400. S 500 hii 500i inaweza kutungua ndege iliyopo mbeya angani yenyewe ikiwa hapa dar .mbinu za nato za kutumia anga hapo ni hawasogei.
 
Hayo yapo active kuna S 300. S 400. S 500 hii 500i inaweza kutungua ndege iliyopo mbeya angani yenyewe ikiwa hapa dar .mbinu za nato za kutumia anga hapo ni hawasogei.
Ndege ikikona na lenyewe linakona kuifuata ndege... Mamaae...!!!
 
hivi mleta mada unamjua mmarekani vizuri au unaongea habari za kwenye kahawa?....hayo madude ni biashara tu ambayo bwana asad analizishwa tu ila gakuna kitu hapo hivi toka zifungwe sijui s200,s300,s400 ulishawahi kusikia yametungua ndege yoyote huko syria?pamoja na madude yote hayo kuwepo marekani na mdogo wake israel wanashambulia kila wanapojisikia huko syria....
 
Back
Top Bottom