Train yapata ajali na kufunga njia Tabata reli/sheli

Train yapata ajali na kufunga njia Tabata reli/sheli

kivyako

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
14,342
Reaction score
12,066
Wale wa kuingia na kutoka Tabata tafuteni njia mbadala kwa muda huu maana tairi za train zimehama na kusababisha train kuziba barabara ya kuelekea Tabata.

1de9cecacbef31b1c1ec9a43c0f1d82b.jpg
 
Asante kwa taarifa lakini una umaskini wa maneno. Badala ya kusema imepata ajali, ungesema imepata mushkeli na kuhama njia. Sasa hapo kuna ajali gani?
 
Back
Top Bottom