Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Mambo vipi wadau. Wadau vipi kuhusu hii fani ya ufundi wa water pump je kwa mazingira ya sasa inahitajiwa? Vijana wote mliomaliza vyuo na hamjapata ajira nawakumbusha kuwa kuna university inaitwa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Poleni kwa kazi!! Mimi naomba mnifahamishe Kuhusu kozi ya AUTOCAD. Je ukisoma AUTOCAD utafanya kazi gani? Je kozi hii inakupa fursa za kujiajiri? Au kuajiriwa? Je ushindane upoje kwa sasa kwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
wakuu. msione waokota makopo mkadharau mwaka huu wamewashinda kipato wakulima wa mbaazi maana mbaazi kilo moja tsh.300 huku makopo ya maji yaliyotumika ni tsh.1500. kwa hiyo msiwadharau kabisa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jeshi la polisi Mkoani Morogoro linamsaka mwanafunzi wa mwaka wa tatu Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Mwita Marwa (30) kwa tuhuma za kumuua kwa kumnyonga mpenzi wake Kibua Adam (39) baada...
10 Reactions
125 Replies
18K Views
Kulizuka hofu Jana mkoani manyara Mara baada ya tukio la kutekwa kwa mwanafunzi wa chuo cha uhasibu mkoani hapo,ambapo polisi walikuja kutoa taarifa kuwa tukio hilo,lilikua ni sehemu ya mazoezi...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Jana nilikuwa nasafiri kutoka Dar kwenda Kahama kwa kutumia basi Mali ya (.......)....e bhana alipanda bwana mmoja ni kipisi cha mtu jitu kweli miraba nadhani kama nane hivi. Ana bonge la...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Watu watano wamenusurika kifo baada ya nyumba wanayoishi kuteketea kwa moto. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo Alhamisi Januari 25,2018 eneo la Mitondooni wilayani Magharibi B, Unguja...
1 Reactions
1 Replies
567 Views
MWANAFUNZI wa kike mwenye umri wa miaka 14 ameuawa kikatili baada ya kubakwa kwa zamu na mwendesha pikipiki maarufu ‘bodaboda’ kisha akachomwa kisu ubavuni na sehemu zake za siri kunyofolewa...
4 Reactions
21 Replies
5K Views
Shule hii ya Ihungo iliathiriwa na tetemeko mwaka 2016 na serikali kupitia TBA waliamua kuijenga upya na ilipaswa kukamilisha Mei 2017 ili July ipokee wanafunzi wa kidato Cha tano, shule...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wapendwa habari za usiku, naomba msaada kwa ambae anaitambua focus vikoba? Na amefanikiwa kupitia hao kwakupata mkopo..
0 Reactions
0 Replies
486 Views
Natarajia kutembelea London/Liverpool in the near future. I can be accommodated in hotel/apartment but I do prefer to be accommodate with any Tanzanian who has accommodation in those two...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
  • Closed
Habari zenu wadau! naomba yeyote mwenye kuwa na link ya post inayosema "Dunia yetu tambarale" Aniwekee hapa!! Cc: Jf mods
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Pamoja na mambo mengine yote, naamini pia TCRA wana jukumu la kuhakikisha TV zinaonyesha/ kurusha vipindi vyenye kuzingatia maadili ya mtanzania. Mara kadhaa nimeshuhudia clouds tv...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Dar es Salaam. Upande wa mashtaka katika kesi ya kughushi, kuwasilisha nyaraka za uongo na kutakatisha fedha inayomkabili, Rais wa Simba, Evans Aveva na makamu wake, Geofrey Nyange, umeieleza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Rais John Magufuli amemkaribisha Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe kutembelea nchini. Dkt Magufuli ametoa mwaliko huo leo Alhamisi Januari 25, 2018 alipoagana na Balozi wa Zimbabwe nchini...
1 Reactions
5 Replies
958 Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amesema Serikali itaandaa mpango wa matibabu kwa kutumia kadi ya bima ya afya, kwa wakazi wa Dar, katika Hospitali zote za umma, Mwananchi ambaye...
3 Reactions
69 Replies
7K Views
Habari zenu ndugu zangu Niende moja kwa moja kwenye dukuduku langu... ni kuhusu kinywaji cha (aina ya) soda ambacho wataalamu wengi wa afya (kama sio wote) wamekifafanua sana kwamba ni hatari kwa...
6 Reactions
125 Replies
14K Views
Mikopo yao inaanzia million2 mpaka 10 ila wanataka uweke kianzio ndio upewe mkopo Nimekuwa na wasiwasi anaye wafahamu tafadhari
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Huu mwaka Natabir vijana wengi tutapata magonjwa ya akil ...Huu ugonjwa wa akil utatokana na njaa kubwa itayowakabir vijana wanaoishi mjini kwa kukosa milo mitatu na stress za mapenz. Wazee wengi...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Naomba nitoe ombi langu kwa serikali hii ya Tz . Kuwa iwatazame waajiriwa wa serikali kwa mtazamo tofaut kuhusu maadili ya waajiriwa... ili waruhusiwe na wenyewe kuvaa Pensi kwa upande wa wanaume...
0 Reactions
0 Replies
644 Views
Back
Top Bottom