Mkuu wa wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa Bi Julieth Binyura, ameagiza kusakwa na kukamatwa mara moja mganga mfawidhi wa zahanati ya Ilango katika kata ya Kilesha, anayetuhumiwa kufanya ubadhirifu wa...
Wadau Mimi na jamaa zangu tumeanzisha asasi ya kiraia inayohusiana na masuala ya uelimishaji umma na mazingira tangu Mwaka 2015.
Changamoto ni namna ya kupata wahisani wa kusaidia shughuli zetu...
Mfanyabiashara ndogondogo (Machinga) akiwa chini ya ulinzi wa askari polisi na mgambo wa Manispaa ya Morogoro, jana wakati wa operesheni ya kuwaondoa kwa nguvu wanaofanya biashara kando ya...
Liu Di Plays With Proportions Between The Animate and Inanimate.
Digitally manipulating images of animals, human nudes and insects to be disproportionate within shabby urban settings, Chinese...
Msichana Mary Kibwana Kamango (pichani) raia wa Kenya ambaye alinyanyaswa na kujeruhiwa na mwajiri wake huko nchini Jordan amerejeshwa nyumbani.
Mary amesimulia kuhusu unyanyasaji wanaofanyiwa...
Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro ni moja kati ya wilaya zinazoongoza kwa ulevi hapa Tanzania ikiwa pia ni wilaya inayoongoza kwa kuwa na aina nyingi ya pombe za kienyeji duniani kote...
Ndugu zangu poleni na majukumu ya kila siku,
Inasemekana kuwa mtoto mchanga anapodondokewa na kitovu chake wakati kinaelekea kupona huwa uwezo wake wa sehemu za siri umepotea tena, yaani hususani...
Wakuu!
Kama kichwa cha Uzi kinavyo sema, Uzi huu uwe maalum kwa ajili ya kueleweshana juu ya protocol mbalimbali.
Mfano.
Table manners, ulinzi wa rais, mavazi na diplomasia, namna ya kupokea...
Wanafunzi wa shule za sekondari za GOGONI na HONDOGO huwezi kuamini hawana usafiri salama wa kuwapeleka shule isipokuwa husafiri uliokuwepo ni bodaboda tu!!
Shule hizi jirani ziko mkoa wa DAR ES...
Moshi. Moto mkubwa ambao chanzo chake bado hakijafahamika, unaendelea kuteketeza jengo la ghorofa mbili la makazi ya Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) la mjini Moshi usiku huu.
Vikosi...
Baada ya kukabidhiwa Mkuu wa mkoa Makonda akasema ‘Nimekabidhiwa jengo hili likiwa limekamilika hata mwaka haujaisha na hili ndio kusudi la Rais wetu John Pombe Magufuli watu wafanye kazi...
Naomba Sana..mniwie radhi..mama zangu,Dada zangu na wanawake wote kwa ujumla..katika bandiko langu LA kuwa "wanawake wasio kuwa na magari wachafu" ( Wanawake wasiokuwa na magari ni wachafu)...
Mh rais kiukweli heshima Mjini imeanza kurudi, wale waliokuwa wanatupita bila hata kutusalimia sasa hivi wanatusalimia, wale dada zetu waliokuwa wakikuona tu mbele yao wanajifanya wanaongea na...
Niaje wadau?
Hili tukio nililishuhudia kwa macho yangu wala sio stori..
Ilikuwa ni jijini mwanza mwaka 2006 tukiwa kwenye gari tunatoka kwenye harusi usiku kama saa nane hivi ama saa tisa usiku...
Ndugu zangu nadhani muwazima wa afya tele
Hivi majuzi nimeamua kununua Salio kwa ajili kuangalia Airtel tv
Ajabu ni kwamba hiyo app ukiidownload
Haifunguki
Kila ukitaka kuifungua inaleta...
wakati mwingine watanzania tunapokuwa tunapojadili mambo ambayo ni yetu lakini tuliowapa dhamana wanatuficha mambo hayo sisi wamiriki ni rahisi ama kuwepo mchezo mchafu au kuwepo umbumbu nyuma...
Rais Mstaafu wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete bado anaendelea kulitumikia bara la Afrika ambapo kama haufahamu, yeye pia ni Mjumbe maalum wa umoja wa Afrika katika usuluhishi wa mgogoro wa...
Katika wakuu wa Mikoa wote wa hii nchi.. Namuelewa sana Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro....
Mkoa umetulia sa ivi siasa siasa izi za visasi zimepungua kabisa..
Msalimieni sana ..
Hivi karibuni waziri mwenye zamana amesikika akitangaza paranja la watumishi wote wa uma kupeleka vyeti vyao vya kidato cha nne na sita katika baraza la mitihani la taifa NECTA kwa ajiri ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.