Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Fetal Soup Served in Chinese Restaurants The Seven Sorrows of China gives heart-wrenching accounts of the brutality of China's one-child policy By Thaddeus M. Baklinski February 1, 2008...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jimmy Massey in Iraq after the US invasion took placeThe Testimony of a US ex-marine, who went to fight in Iraq Jimmy Massey: Jimmy Massey in Iraq after the US invasion took placeThe...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hii miswada ya Electricity Act, 2007 na Petroleum Supply Act, 2007 ambayo Waziri Karamagi alikuwa aisome kwenye kamati ya Bunge inaweza kupatikana ili nasi tujue kilichomo. JF inatembelewa na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Napenda kuuliza juu ya sababu zilizopelekea kufa kwa wingi kwa Dolphins katika fukwe za Visiwa vya Zanzibar mwaka 2006. Vifo hivyo viliacha maswali mengi pasipo majibu. Aidha SMZ, ikishirikiana na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
katika pita pita yangu katika blog mbali za watanzania nimekutana na barua hii ya mdau mmojawapo aliyeko india akimpongeza raisi wake.. sasa ninachojiulizaga mie ni watu huwa vipofu wa kufikiri...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kwa muda sasa nimekuwa nafuatilia kwa makini sana juhudi za Kikwete za kutengeza mabilionea mia moja tu (100) wa kitanzania katika kipindi chake cha uongozi. Kwa muda haikuniingia akilini kuwa...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Hard questions for Tanzania as Kenya burns By ADAM LUSEKELO Editor Posted On: 02/02/2008 19:47:06 Comments: 0 Tanzanians have been watching with...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
9/11: The biggest lie in history! http://www.youtube.com/watch?v=7E3oIbO0AWE This video was sent to me by Mike Di; may Allah Almighty bless him by leading him to Islam. Ameen. Very powerful...
0 Reactions
48 Replies
8K Views
Nimepatwa na mshtuko mkubwa sana pale niliposoma leo kuwa eti Andrew Chenge amechaguliwa na kamati kuu ya CCM kuwa mjumbe wa kamati ya maadili. Nimejiuliza swali hili ,hivi kuwa mjumbe wa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Naomba kufahamishwa jambo moja, hivi hizi threads ambazo zimekuwa Moved, zinapelekwa wapi? Au ndo zimefutwa kisanii, maana kila tukizitafuta hatuzioni. Naomba mtuelekeze zimewekwa wapi ili tupate...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakazi wa geita wanajiandaa kumuondoa muwekezaji wa mgodi wa Geita katika maeneo yao, kama wao walivo ondolewa.. Someni hapa http://www.freemedia.co.tz/daima/2008/2/1/habari7.php My take Je...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa namna hii, siwezi kushangaa! Daily News A TOTAL of 4,403,305,623.90/- (Four billions) in cash and stores was stolen from the government between 2002 and 2006, the National Assembly was...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Waandishi wetu mpo wapi? habari kama hizi hatuoni kwenye magazeti yetu? Shrew's who: New mammal enters the book of life Thu Jan 31, 1:47 AM ET In a rare discovery of a new species of...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ebu tuambiane ukweli hapa
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika kuokoa jahazi na kujaribu kuweka mwelekeo... ili tuweze kufocus.. Hapana; Resume ya Tyson ni ndefu zaidi ya hapo ingawa ni ile ya old guard. Ameshashika madaraka mbalimbali serikalini...
0 Reactions
53 Replies
9K Views
Ndugu watanzania, mimi kama muathirika wa hii hali ngumu ya maisha bora kwa kila Mtanzania naona bora JESHI LA WANACHI TANZANIA wachukue nchi hata kwa Miaka mitatu (3) tu, na baada ya hapo nadhani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ufisadi BoT: Wako wapi kina Ngozi Okonjo wetu? Johnson Mbwambo Januari 30, 2008 Raia Mwema WIKI iliyopita nilijaribu kueleza jinsi baadhi ya Wahindi wanavyotugeuza (Watanzania wazawa)...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimesoma pale kwenye Mwananchi la leo kwa kweli inashangaza pale ambapo Mhe Waziri Magufuli anapojitahidi kupambana na ku-sevu uwanja wetu.... Hivi ni kichaa gani anasema hoteli ni muhimu kuliko...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
GUYS WHAT IS YO ANALYSIS?.......esp tax/budget experts and those going to World Cup 2010... SA call to legalise prostitution Tuesday, 29 January 2008, 16:59 GMT South African MP George...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mara nyingi najiskia kukereka ninapokutana na waswahili wenzangu ughaibuni alafu wanajidai wanaongea kiswahili kwa taabu, na most of the time kwenye mazungumzo yetu wanakuwa wakitumia kiingereza...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom