Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Sera ya vitambulisho vya Mzanzibari mkaazi inayolenga kuwaengua wananchi kutoka Tanzania Bara kuajiriwa Zanzibar, imezua mjadala mkali miongoni mwa viongozi wa vyama vya siasa na serikali, baada...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Date::10/22/2008 Wanaorejesha fedha za EPA watajwe Maoni na Uchambuzi Mwananchi WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo amefahamisha kuwa hadi sasa kiasi cha Sh61 bilioni kati ya Sh133...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
23.10.2008 @03:35 EAT EPA cash revovery setback THE CITIZEN By Mkinga Mkinga Only Sh234 million has been recovered by the Attorney-General Johnson Mwanyika-led Bank of Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
By Martin Plaut BBC News Is the credit crisis about to send Africa into yet another downward spiral? Perhaps not. In fact it is possible that the continent could fare better than the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Periodically, e-mails warning of a scam involving calls from the 809 area code circulate. The e-mails contend that there has been fraud associated with unscrupulous pay-per-call operators in that...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Timu inayochunguza mafisadi wa Akaunti ya Malipo ya Nje (EPA), ya Benki Kuu (BoT) imesema inafanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha kazi yake kabla ya mwisho wa mwezi huu. Kwa mujibu wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
This is heavy! I hope you can watch the video. Little Kids Getting Low OR ‏this link here Kuna wazazi wameamua kuwapeleka watoto wao wakasome boarding schools wasipotoke. Mnaolea...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Hivi pale mtu anaposema kuwa 'hiyo imeingiwa na najisi' anakuwa anamaanisha nini haswa? Naomba maelezo tafadhali. Akhsanteni. "An interesting take on this seemingly-difficult subject to...
0 Reactions
4 Replies
13K Views
Alipotoka alikuja kavaa miwani meusi ya jua. Nilishangaa. Sikuacha mshangao uweke alama ya mshangao moyoni mwangu. Nikamuuliza: ' What's the matter goggles in the night?' Akanijibu:' No, no, no...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
#1: You know you aren't performing to the best of your ability We all go through slumps, bad days, even bad weeks when we just don't care, don't give it our best... but what if that week turns...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
Katika mgongano wa kifikra swali jepesi kama hilo laeza kusababisha maoni mengi na ya ajabu sana. Tangia miaka ya enzi na enzi swali hilo limekuwa likipatiwa majibu tofauti kufuatana na ni nani...
0 Reactions
43 Replies
9K Views
hello, guys. i have a friend, who has a son. the son did his 'a' levels this year, and could'nt qualify for university, which is what his dad desired, for obvious reasons. so the dad told the boy...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wafiwa wazua kizaazaa hosptali wakidai maiti yao imeuzwa Na Geofrey Nyang'oro VURUGU kubwa zimeibuka jana katika Hosptali ya Manispaa Temeke Jijini Dar es Salaam, baada ya mwili unaodhaniwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia habari mbali mbali kutoka serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kwa jinsi mambo yanavyoendelea huko hatuna budi Tanzania bara tukaanza kudai serikali yetu ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wiki iliyopita nilialikwa katika mkutano mmoja wa bidhaa , kampuni moja kutoka India ilikuwa inatafuta watu wa kuweza kutangaza na kuuza bidhaa zao za aina mbali mbali kama vifaa vya mawasiliano...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kwa wiki ya pili sasa eneo la Yombo Vituka limekuwa katika hali ngumu ya usalama, ni eneo kuanzia Buza hadi kufika Vituka Sigara. Kuna kikundi cha vijana ambacho kimeamua kupiga watu mapanga hovyo...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Lile chokochoko la kutaka Zanzibar itambuliwe kama nchi kamili sasa limepiga hatua zaidi baada ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kuwasilisha sera ya vitambulisho vya Mzanzibari mkaazi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
  • Poll Poll
Wana JF, hivi imekuwaje, kila nikiamka threads za dini zinazidi kumiminika tu... na ingekuwa bora kweli kama hizi threads zingekuwa si za kukashifiana katika mambo haya ya imani kama inavyoonekana...
0 Reactions
95 Replies
15K Views
Legal case against God thrown out - 10/20/2008 A judge has thrown out a case against God - as the Almighty doesn't have an official address and legal papers can't be served. Nebraska...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kunakampuni moja hivi ya mambo ya ICT ambayo inamilikiwa na wadosi. mtu akiajiriwa pale hata kama mshahara wake ni 400,ooo kwa mwezi, wenyewe katika zile form za PPF wanaandika mshahara 100,000...
0 Reactions
33 Replies
7K Views
Back
Top Bottom