Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Ndugu zangu hii nchi imeshaposwa inangojea mwenyewe aje kuchukua chake? Haiingii akilini kukuta ghaidi kama huyu anapokelewa kama mwekezaji? From don to druglord: Dawood gets a career change...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Ndugu zangu waumini wa Islam na wafuasi wa mtume Muhamed SAW, naomba mpokee salamu zangu kuwatakia kila laheri kuanza mfungo wa Mwezi Mtakatifu wa Ramadhani. Katika Uislamu, tunaambiwa kuna...
0 Reactions
35 Replies
19K Views
Kwa wale ambao hawajasoma hii bado.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Mahakama yamwachia huru Mtikila katika kesi ya uchochezi Na Tausi Ally MAHAKAMA ya hakimu mkazi wa Kisutu jijini Dar es Salaam, imemuachia huru mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP)...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana CCM wajipanga 'kuikomboa' Moshi Mjini Na Heckton Chuwa, Moshi BAADHI ya wanachama wa CCM wanadaiwa kuunda timu maalumu ya siri ndani ya chama hicho, kijulikanacho kama...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Na Joseph Mwendapole Mfanyabiashara maarufu wa Zanzibar, Mohamed Ibrahim Raza, ameunga mkono kauli iliyotolewa na Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi, ya kukemea kundi la mafisadi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwangu mimi na ninaamini kwa watu wengi wanaoitakia nchi yetu maendeleo ya haraka, ni wazo mwanana,lisilo na ubishi, kwamba kwa mikoa iliyoko pembezoni mwa nchi yetu,jawabu la kuwafanya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Katika matukio ya siku hizi mbili zilizopita kuna kitu ambacho kila nikikisikia na kukifikiria naona kama vile sielewi vizuri labda wenye upeo zaidi watusaidie kuelewa. Huyu mtanzania mgonjwa wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Takukuru yaenguliwa Timu ya EPA Na Mwandishi wetu BAADA ya Timu Maalum ya Rais ya kuchunguza wizi wa fedha kwenye Akaunti ya Madeni ya Nje katika Benki Kuu ya Tanzania (EPA) kukabidhi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Date::9/13/2008 Nape aendelea kukingiwa kifua, adai Nchimbi ana ajenda binafsi Na Kizitto Noya Mwananchi SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Dk...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hatma nyumba za serikali yapata kigugumizi 2008-09-14 11:12:02 Na Restuta James Ikiwa imebaikia siku moja tu serikali itwae nyumba zake ilizoziuza kwa maofisa wake wakati wa Serikali ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Uhalali wa Muungano shakani na Mwandishi Wetu Tanzania Daima~Sauti ya Watu UTAFITI uliofanywa na mwanazuoni aliyebobea katika sheria, Profesa Issa Shivji, ambao matokeo yake ameyachapisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bonded warehouses crackdown: Government revenue down by almost 40bn/- in August -But deputy minister says it has nothing to do with customs law violations FINNIGAN WA SIMBEYE Dar es...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
After 21 years of marriage, I discovered a new way of keeping alive the spark of love. A little while ago I had started to go out with another woman. It was really my wife's idea. "I know that you...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Na Zulfa Mfinanga, Bariadi CHAMA cha United Democratic Party (UDP) wilayani Bariadi mkoani Shinyanga kimepata ushindi wa kishindo dhidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kinyanganyiro cha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu.. Naomba uliza ivi ni kweli apa Bongo kuna huu mtindo wa viongozi wetu kuogopa kufunikwa kwa faida za kisiasa na watendanji wao muhimu?mana Lowassa ndo ivo katoka ki mtego na pia tuliona...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
There are more than 300 flood legends around the world, here is one of them. Cameroon: As a girl was grinding flour, a goat came to lick it. She first drove it away, but when it came back, she...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msiende kukopa benki mikono mitupu – JK Shadrack SagMsiende kukopa benki mikono mitupu – JK Shadrack Sagati, Simanjiro Daily News; Sunday,September 14, 2008 @00:02 Habari nyingine...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa binafsi yangu pamoja na familia yangu tunawaombea salama na Hurricane IKE.......take courage guys......We Love You
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kati ya wabongo waishio Marekani na wale waishio UK na nchi zingine za Ulaya, wapi wenye akili zaidi? Mimi nasema wale waishio Marekani....wewe unasemaje?
0 Reactions
60 Replies
9K Views
Back
Top Bottom