Ndugu zangu hii nchi imeshaposwa inangojea mwenyewe aje kuchukua chake?
Haiingii akilini kukuta ghaidi kama huyu anapokelewa kama mwekezaji?
From don to druglord: Dawood gets a career change...
Ndugu zangu waumini wa Islam na wafuasi wa mtume Muhamed SAW, naomba mpokee salamu zangu kuwatakia kila laheri kuanza mfungo wa Mwezi Mtakatifu wa Ramadhani.
Katika Uislamu, tunaambiwa kuna...
Mahakama yamwachia huru Mtikila katika kesi ya uchochezi
Na Tausi Ally
MAHAKAMA ya hakimu mkazi wa Kisutu jijini Dar es Salaam, imemuachia huru mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP)...
Wana CCM wajipanga 'kuikomboa' Moshi Mjini
Na Heckton Chuwa, Moshi
BAADHI ya wanachama wa CCM wanadaiwa kuunda timu maalumu ya siri ndani ya chama hicho, kijulikanacho kama...
Na Joseph Mwendapole
Mfanyabiashara maarufu wa Zanzibar, Mohamed Ibrahim Raza, ameunga mkono kauli iliyotolewa na Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi, ya kukemea kundi la mafisadi...
Kwangu mimi na ninaamini kwa watu wengi wanaoitakia nchi yetu maendeleo ya haraka, ni wazo mwanana,lisilo na ubishi, kwamba kwa mikoa iliyoko pembezoni mwa nchi yetu,jawabu la kuwafanya...
Katika matukio ya siku hizi mbili zilizopita kuna kitu ambacho kila nikikisikia na kukifikiria naona kama vile sielewi vizuri labda wenye upeo zaidi watusaidie kuelewa. Huyu mtanzania mgonjwa wa...
Takukuru yaenguliwa Timu ya EPA
Na Mwandishi wetu
BAADA ya Timu Maalum ya Rais ya kuchunguza wizi wa fedha kwenye Akaunti ya Madeni ya Nje katika Benki Kuu ya Tanzania (EPA) kukabidhi...
Date::9/13/2008
Nape aendelea kukingiwa kifua, adai Nchimbi ana ajenda binafsi
Na Kizitto Noya
Mwananchi
SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Dk...
Hatma nyumba za serikali yapata kigugumizi
2008-09-14 11:12:02
Na Restuta James
Ikiwa imebaikia siku moja tu serikali itwae nyumba zake ilizoziuza kwa maofisa wake wakati wa Serikali ya...
Uhalali wa Muungano shakani
na Mwandishi Wetu
Tanzania Daima~Sauti ya Watu
UTAFITI uliofanywa na mwanazuoni aliyebobea katika sheria, Profesa Issa Shivji, ambao matokeo yake ameyachapisha...
Bonded warehouses crackdown: Government revenue down by almost 40bn/- in August
-But deputy minister says it has nothing to do with customs law violations
FINNIGAN WA SIMBEYE
Dar es...
After 21 years of marriage, I discovered a new way of keeping alive the spark of love. A little while ago I had started to go out with another woman. It was really my wife's idea. "I know that you...
Na Zulfa Mfinanga, Bariadi
CHAMA cha United Democratic Party (UDP) wilayani Bariadi mkoani Shinyanga kimepata ushindi wa kishindo dhidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kinyanganyiro cha...
Wakuu..
Naomba uliza ivi ni kweli apa Bongo kuna huu mtindo wa viongozi wetu kuogopa kufunikwa kwa faida za kisiasa na watendanji wao muhimu?mana Lowassa ndo ivo katoka ki mtego na pia tuliona...
There are more than 300 flood legends around the world, here is one of them.
Cameroon:
As a girl was grinding flour, a goat came to lick it. She first drove it away, but when it came back, she...
Kati ya wabongo waishio Marekani na wale waishio UK na nchi zingine za Ulaya, wapi wenye akili zaidi? Mimi nasema wale waishio Marekani....wewe unasemaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.