Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Jamani Naomba munifahamishe mji mkuu wa Tanzania yetu ni upi? Wa2 najua wamegawanyika. Wa2 wengi kutoka nchi nyingine watakuambia Dar es salaam. Hata mji wa Dodoma hawajui kama una-exist. Baadhi ye2 tunajua ni Dar, miongoni mwe2 tunajua ni Dom. Wengine tunasema miji yote hii mi2 ni miji mikuu kama baadhi ya nchi duniani. Naombeni jibu la uhakika wakuu.