Ni kosa kusema hayati mfano(Baba wa Taifa)

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Wachambuzi wa lugha kama mupo hebu tuwekeeni sawa na kuwaweka sawa hawa wanaokaa wakisema Hayati Baba wa Taifa.
Inawezekana hawaelewi maana ya neno hayati na wanashindwa kuona tofauti na neno Marehemu ,yaani nionavyo ingekuwa Marehemu Baba wa Taifa.
 
Sikiliza'Unatumia neno HAYATI unapokumbuka maneno au matendo aliyofanya akiwa hai hapo unatamka neno HAYATI lakini unapozungumza huku hukumbuki lolote basi hapo tunatumia neno MAREHEMU tukiwa na maana MUNGU amrehemu huko aliko.Na kwa sababu viongozi mala nyingi tunawaenzi kwa kukumbuka maneno na matendo yao basi hapo tunatumia neno HAYATI masaa yote' kwa maelezo haya si makosa kusema HAYATI Baba wa Taifa.
 
Sikiliza'Unatumia neno HAYATI unapokumbuka maneno au matendo aliyofanya akiwa hai hapo unatamka neno HAYATI lakini unapozungumza huku hukumbuki lolote basi hapo tunatumia neno MAREHEMU tukiwa na maana MUNGU amrehemu huko aliko.Na kwa sababu viongozi mala nyingi tunawaenzi kwa kukumbuka maneno na matendo yao basi hapo tunatumia neno HAYATI masaa yote' kwa maelezo haya si makosa kusema HAYATI Baba wa Taifa.
Kama tunawakumbuka kwa mabaya yao ya kutuibia, kuuwa, kutesa n.k mfano Sani Abacha wa Nigeria, tutumie neno gani? kwa kuwa hatutohitaji kumuombea rehema zozote kwa ukatili wake au....?
 
Back
Top Bottom