Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Jamani kuna ndoa za ajabu ajabu watu wanaoana siku mbili wanaachana wengine miezi miwili wanaachana kwa ujumla hakuna tofauti na retrechment ya makazini.....
sasa basi nikaona vyema kama retreachment za makazini zinatolewa mafao vivyo hivyo inabidi yule anaemwacha mwenzake kuwepo na makubaliano ya mafao kwa yule anaeachwa...vinginevyo kutakuwa na kuachana kama mbwa kila siku...je mafao yanaweza kupunguza ongezeko la kuvunjika kwa NDOA??
sasa basi nikaona vyema kama retreachment za makazini zinatolewa mafao vivyo hivyo inabidi yule anaemwacha mwenzake kuwepo na makubaliano ya mafao kwa yule anaeachwa...vinginevyo kutakuwa na kuachana kama mbwa kila siku...je mafao yanaweza kupunguza ongezeko la kuvunjika kwa NDOA??