Clouds wanapiga nyimbo zilezile kila kipindi.
Leo nimesikiliza vipindi vya kuanzia asubuhi hadi muda huu.
Yaani mtu unaweza kuotea nyimbo zitakazo pigwa kwenye kipindi cha kesho.
Hatari...
Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, amekubali kumaliza sakata hilo ambalo liliibuka mwishoni mwa mwaka jana baada ya Tanesco kutaka kupitisha nyaya za umeme juu ya mabango ya kanisa...
Katika ile hali ya kutapatapa kwa Wahindi wa jengo la Myfair Plaza pale Mikocheni hali sasa yaelekea kuwa tete au mbaya. Kwa wale wanapafahamu wanajua ya kuwa wapangaji/tenants wengi wakubwa...
"NINAKUMBUKA na kamwe siwezi kuusahau mwezi Agosti, mwaka 2007, hii ni baada ya mimi kutokewa na tukio la kuzomewa na kikundi cha wananchi katika mkutano wa hadhara ambapo Rais Jakaya Kikwete...
Wakulu, heshima mbele!
Hivi kuna ukweli wowote kwamba wanaopenda kuweka tinted kwenye magari ni wazee wa ku-Do? Mara nyingi utakuta watu wanaweka tinted kwenye vioo ya vyuma kwa ajili ya kuficha...
Jamani mwenye uelewe ama muswaada wenyewe kuhusu Wauguzi na Wakunga kama ulivyojadiliwa leo Bungeni naomba atumwagie japo kwa muhtasari. Hasa implications zake katika suala zima la huduma za afya...
Marekani yakosoa utawala wa Nigeria
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Hillary Clinton amekosoa vikali utawala wa Nigeria kwa kutowajibikia majukumu yake vilivyo.
Bi Clinton amesema hali mbaya...
Scott Moore kushoto akiwa na mumewe Thomas kulia
January 27, 2010
Mwanaume wa nchini Marekani ambaye alizaliwa kama mwanamke kabla ya kubadili jinsia yake kuwa mwanaume anatarajia kujifungua...
Wasanii wetu wakiimba nyimbo zao kwa ajili ya biashara zinakuwa tamu sana kuzisikiliza.
Haohao wakiimba nyimbo za maafa au magonjwa hutopata hamu hata kidogo ya kuurudia wimbo huo.
Midundo mibaya...
Mimi nashangaa sana hivi matiti makubwa yanauzuri gani? Kweli kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza! Mbona wenye matiti madogo wengi wao wanayaficha?
Waliowengi wenye matiti makubwa hupenda...
MENGI yameandikwa na yanaendelea kuandika kuhusu
"Maridhiano" yanayoelezwa kuwa yamefikiwa baina ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Amani Karume na Katibu Mkuu wa CUF...
na Grace Macha, Moshi
MAKADA mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwemo Mwenyekiti wao wilayani hapa, Godfrey Mwangamilo, jana walifurika kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi...
NAOMBA NIANZE NA HAWA TRA
HAWA JAMAA HAPA ARUSHA SIDHANI KAMA WANAITAJI MSHAHARA MWISHO WA MWEZI SERIKLI IMEWAPA ONETEN LANDROVER YAANI WANAVYOKUWA N A NJAA JAMANI NI AIBU,,KILA SEHEMU WANAINGIA...
kuna hii mada ipo inajadiliwa wapo redio na watu wanachangia nimeona na mm tuijadili hapa jf kwa great thinkers.
karibuni tujadili mimi naanza kwa kuchangia kwamba dini kama dini zimeleta amani...
Wakati kipindi kilipoonyeshwa kuhusu rushwa za matraaffic kule
iringa nilijua ndugu zetu watakuwa na uwoga kidogo la hasha
leo hii nikiwa ktk basi kutoka usa kwenda kimandolu mkoa wa
arusha...
Si wote wanaokimbilia Haiti na Kilosa wanalengo la kusaidia. Ni mapema mno kufanya kama wafanyavyo mataifa makubwa kuhusu Haiti, kwani kwayo ajenda ya kusaidia ni tofauti kabisa
Vyovyote iwavyo...
Wana JF na Wapenda Maendeleo,
Napendekeza wataalam wa kutengeneza tovuti wajitokeze ili JF tutengeneze tovuti ya kitaifa ya Sayansi kwa ajili ya wanafunzi na walimu wao. Tunaweza kushirikiana...
Mkataba wa shirika la reli RVR kufutwa?
Wajumbe wa serikali za Uganda na Kenya wanatarajiwa kukutana leo nchini Uganda ili kujadili hatma ya kampuni ya Reli ya Rift Valley Railways.
Nchi hizi...