drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
kuna hii mada ipo inajadiliwa wapo redio na watu wanachangia nimeona na mm tuijadili hapa jf kwa great thinkers.
karibuni tujadili mimi naanza kwa kuchangia kwamba dini kama dini zimeleta amani kwao wanaoziamini mfarakano nipale wa imani a anapokwenda kuingilia imani ya b lakini tukieshimu kila mtu na dini yake bila kuingiliana mfarakano autakuwepo
karibuni tujadili mimi naanza kwa kuchangia kwamba dini kama dini zimeleta amani kwao wanaoziamini mfarakano nipale wa imani a anapokwenda kuingilia imani ya b lakini tukieshimu kila mtu na dini yake bila kuingiliana mfarakano autakuwepo