Amanikwenu
Senior Member
- Dec 1, 2009
- 187
- 0
Wana JF na Wapenda Maendeleo,
Napendekeza wataalam wa kutengeneza tovuti wajitokeze ili JF tutengeneze tovuti ya kitaifa ya Sayansi kwa ajili ya wanafunzi na walimu wao. Tunaweza kushirikiana kwa karibu na Chama cha Walimu Tanzania (cwt)
Napendekeza wataalam wa kutengeneza tovuti wajitokeze ili JF tutengeneze tovuti ya kitaifa ya Sayansi kwa ajili ya wanafunzi na walimu wao. Tunaweza kushirikiana kwa karibu na Chama cha Walimu Tanzania (cwt)