Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
Mimi nashangaa sana hivi matiti makubwa yanauzuri gani? Kweli kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza! Mbona wenye matiti madogo wengi wao wanayaficha?
Waliowengi wenye matiti makubwa hupenda kuyaachia sehemu yao kubwa yakiwa wazi huku yakiwa yameshikiliwa na tukamba tudogooo! Hivi siku likichomoka na loooote likachoropoka nje utaliachia?
Unajua maziwa makubwa yakiwa yamebanwa yanavimba basi mhusika anaona sifaaaa we ngoja likichoropoka aaaah kwishneey....halifaiiiii...ni kama kandambili....
Thea ni miongoni mwa wasanii wakongwe wa filamu za Bongo. katika siku za hivi karibuni, ametangaza kumpokea Yestu Kristu na kutangaza ulokole. Lakini pamoja na hatua hiyo, baadhi ya watu wanahoji mavazi yake na kumtaka avae mavazi yanayoendana na mtu aliyempokea Bwana. Juzi kati amaezua mjadala baada ya kuonekana kanisani akiwa amevaa mavazi yaliyoonesha sehemu ya matiti yake yaliyojaa kifuani. wewe una maoni gani juu ya hoja kuwa mtu ukiwa mlokole haipendezi kuvaa vazi kama hilo au imani ya mtu iko moyoni na siyo kwenye mavazi...tupe maoni yako.!!!
Source: http://www.globalpublisherstz.com/