Hii ni kwa sababu kupitia haki ya msingi ya kupiga kura, tunaweza kuibadirisha nchi, na kuwa nchi yenye kujari utu wa na utaifa wa wananchi, ikiwa tu, tutaamua kubadirisha CD ya ile nyimbo ya...
Habari zilizonifikia hivi leo ni kwamba majambazi yenye silaha yamevamia kijiji cha Magena huko wilayani Tarime na kupora ng'ombe huku wakiua wanakijiji watatu waliokuwa wakijaribu kupambamba nao
Umuhimu wa idara hii nchini unajulikana. Malalamiko dhidi ya idara hii nchini yameoneshwa na kutajwa katika magazeti, blogu, tovuti, vijiweni na hata kidogo Bugeni.
Mapungufu yameelezwa...
Kuna ushahidi kweli wa maovu aliyofanya nguza au wamemsingizia?Kwa wenye data zimwage, nasikia kuna mwanasiasa alikuwa na kisasi naye, je kuna ushahidi wa kutosha?
Wana JF,
Jana nilisikiliza BBC kipindi kuhusu Nelson Mandela kuwasamehe his tormentors. South Africa ni kama uhasama umeisha licha ya Shapville massacres, kufungwa kwa Mandela and co. na...
Hi all Valentine Day is about LOVE, FREINDSHIP & CARING FOR ONE ANOTHER
On be half of my Valentine & I we wish you all a happy Valentine Day for Sunday may you all share this day to show your...
Kumeanza kujitokeza mtindo ambapo NSSF wanatuma statement zao kwa waajiri (employer) ili kuwasambazia waajiriwa wao. Yaani kama mtu anafanya kazi kwenye KAMPUNI B basi NSSF ni kama vile...
AN EAST AFRICAN PERSPECTIVE
Jerry Okungu
I HAVE said it before in this column. I am glad senior managers at the East African Community Secretariat are seeing it now. I saw it way back when...
Serikali ya Uingereza imetangaza mpango wake wa kupunguza idadi ya wanafunzi wanaopewa viza za kusoma nchini humo.
Serikali ya Uingereza imetangaza kuweka sheria na masharti magumu katika...
Wakuu nimeona onyo limetolewa kuwa kuna wizi mpya kwa kutumia ATM na Credit cards zilizo ibwa na wezi hawa wana-temper na chip pamoja na pin za hizi cards. Kwa habari zaidi tembelea link hapo...
Jaji Herman Thomas, jaji ambaye alikuwa akiheshimika sana kiasi cha kwamba alikuwa akitabiriwa kuwa jaji mkuu wa kwanza mweusi wa Alabama Kusini, huenda akahukumiwa kwenda jela maisha baada ya...
Friends;
Nimeona hatuipi kipaumbele Jamii Doctor.
It is equally important to visit. Maana najua tulio humu tuko na professional tofauti so tutumie column hiyo kusaidia jamii kuhabarishana healthy...
JF members,
I received the following mail from the so called "EMAIL LOTTERY PROMOTION AWARD COMITEE""
Can it be true?
The mail.,,,,,
!!!!!CONGRATULATION!!!!
FROM THE EMAIL LOTTERY PROMOTION...
Tukiwa tunajongea karibu na uchaguzi mkuu wa wabunge, madiwani na rais,
umaarufu wa mwanasiasa kijana wa kambi ya upinzani kutoka CHADEMA umepungua mno.
Amekuwa kimya sana, hatoi tena zile hoja...
Nimekutana na hii blogu inaitwa http://tanzaniascholarships.blogspot.com/
ni blogu ambayo iko dedicated kutoa taarifa za scholarship zinazowahusu watanzania.
Ni vizuri kuwa na watanzania ambao...
Kumekuwepo na wimbi la uchafuzi wa jiji la Dar es Salaam kunakofanywa na masangoma ambao huwa hawachagui mahali pa kuyaweka matangazo ya shughuli zao, wanaweka popote tu hadi Airport kuna vitambaa...
Inasemekana ndani ya kampuni hiyo mambo si shwari kutokana na kwa miezi kadhaa sasakushindwa kuwalipa wafanyakazi mishahara kwa wakati ( tarehe 46) na pia kukabiliwa na migogoro kadhaa ya ki...
Wafanyakazi wa Benki ya Taifa ya biashara wataingia msituni siku ya Jumatatu ya tarehe 22.02.2010 kugomea utaratibu mbovu unaotumiwa na menejimenti ya benki hiyo kwenye suala zima la kugawa mgao...