Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Hii ni kwa sababu kupitia haki ya msingi ya kupiga kura, tunaweza kuibadirisha nchi, na kuwa nchi yenye kujari utu wa na utaifa wa wananchi, ikiwa tu, tutaamua kubadirisha CD ya ile nyimbo ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zilizonifikia hivi leo ni kwamba majambazi yenye silaha yamevamia kijiji cha Magena huko wilayani Tarime na kupora ng'ombe huku wakiua wanakijiji watatu waliokuwa wakijaribu kupambamba nao
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Umuhimu wa idara hii nchini unajulikana. Malalamiko dhidi ya idara hii nchini yameoneshwa na kutajwa katika magazeti, blogu, tovuti, vijiweni na hata kidogo Bugeni. Mapungufu yameelezwa...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Kuna ushahidi kweli wa maovu aliyofanya nguza au wamemsingizia?Kwa wenye data zimwage, nasikia kuna mwanasiasa alikuwa na kisasi naye, je kuna ushahidi wa kutosha?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana JF, Jana nilisikiliza BBC kipindi kuhusu Nelson Mandela kuwasamehe his tormentors. South Africa ni kama uhasama umeisha licha ya Shapville massacres, kufungwa kwa Mandela and co. na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Huu ni wimbo wa siku nyingi kidogo, ila nauhakika hapa kuna wengi walikuwa wakiupenda, na pia kuna mengi ya zamani utakukumbusha.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Hi all Valentine Day is about LOVE, FREINDSHIP & CARING FOR ONE ANOTHER On be half of my Valentine & I we wish you all a happy Valentine Day for Sunday may you all share this day to show your...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kumeanza kujitokeza mtindo ambapo NSSF wanatuma statement zao kwa waajiri (employer) ili kuwasambazia waajiriwa wao. Yaani kama mtu anafanya kazi kwenye KAMPUNI B basi NSSF ni kama vile...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
AN EAST AFRICAN PERSPECTIVE Jerry Okungu I HAVE said it before in this column. I am glad senior managers at the East African Community Secretariat are seeing it now. I saw it way back when...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wafikiriaji naomba kuuliza hivi kwa nini wahariri wa vyombo vya habari Tanzania hawatulii sehemu moja kila siku wana hama hama?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Serikali ya Uingereza imetangaza mpango wake wa kupunguza idadi ya wanafunzi wanaopewa viza za kusoma nchini humo. Serikali ya Uingereza imetangaza kuweka sheria na masharti magumu katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu nimeona onyo limetolewa kuwa kuna wizi mpya kwa kutumia ATM na Credit cards zilizo ibwa na wezi hawa wana-temper na chip pamoja na pin za hizi cards. Kwa habari zaidi tembelea link hapo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jaji Herman Thomas, jaji ambaye alikuwa akiheshimika sana kiasi cha kwamba alikuwa akitabiriwa kuwa jaji mkuu wa kwanza mweusi wa Alabama Kusini, huenda akahukumiwa kwenda jela maisha baada ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Friends; Nimeona hatuipi kipaumbele Jamii Doctor. It is equally important to visit. Maana najua tulio humu tuko na professional tofauti so tutumie column hiyo kusaidia jamii kuhabarishana healthy...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
JF members, I received the following mail from the so called "EMAIL LOTTERY PROMOTION AWARD COMITEE"" Can it be true? The mail.,,,,, !!!!!CONGRATULATION!!!! FROM THE EMAIL LOTTERY PROMOTION...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tukiwa tunajongea karibu na uchaguzi mkuu wa wabunge, madiwani na rais, umaarufu wa mwanasiasa kijana wa kambi ya upinzani kutoka CHADEMA umepungua mno. Amekuwa kimya sana, hatoi tena zile hoja...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimekutana na hii blogu inaitwa http://tanzaniascholarships.blogspot.com/ ni blogu ambayo iko dedicated kutoa taarifa za scholarship zinazowahusu watanzania. Ni vizuri kuwa na watanzania ambao...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kumekuwepo na wimbi la uchafuzi wa jiji la Dar es Salaam kunakofanywa na masangoma ambao huwa hawachagui mahali pa kuyaweka matangazo ya shughuli zao, wanaweka popote tu hadi Airport kuna vitambaa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Inasemekana ndani ya kampuni hiyo mambo si shwari kutokana na kwa miezi kadhaa sasakushindwa kuwalipa wafanyakazi mishahara kwa wakati ( tarehe 46) na pia kukabiliwa na migogoro kadhaa ya ki...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Wafanyakazi wa Benki ya Taifa ya biashara wataingia msituni siku ya Jumatatu ya tarehe 22.02.2010 kugomea utaratibu mbovu unaotumiwa na menejimenti ya benki hiyo kwenye suala zima la kugawa mgao...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…