Waziri Ngeleja malizana na kakobe mmalize kwa amani

Waziri Ngeleja malizana na kakobe mmalize kwa amani

Pdidy

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,674
Reaction score
37,852
Waziri nmgeleja malizana na askofu kakobe kuhusu upitishwaji wa nyaya
mmalizane kwa amani kwa niaba ya watanzania tuko nyuma yenu kwa maamuzi yoyote mtakayokubaliana Mungu awabariki na kuwalinda
 
'Ngoja ni hakikishe'

Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zacharia Kakobe akihakiki vipimo vilivyoko karika mchoro wa mradi wa umeme unaotakiwa kupita katika eneo la kanisa hilo, Mwenge, Dar es Salaam. Mradi huo ulizua utata miezi miwili iliyopita na sasa muafaka unaelekea kupatikana. (Picha na Gloria Tesha)
 
kila la kheri

yetu maombi
 
Back
Top Bottom