Waziri nmgeleja malizana na askofu kakobe kuhusu upitishwaji wa nyaya
mmalizane kwa amani kwa niaba ya watanzania tuko nyuma yenu kwa maamuzi yoyote mtakayokubaliana Mungu awabariki na kuwalinda
Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zacharia Kakobe akihakiki vipimo vilivyoko karika mchoro wa mradi wa umeme unaotakiwa kupita katika eneo la kanisa hilo, Mwenge, Dar es Salaam. Mradi huo ulizua utata miezi miwili iliyopita na sasa muafaka unaelekea kupatikana. (Picha na Gloria Tesha)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.