VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Kwanini hatuwaenzi mashujaa wetu??? Kwanini Kusiwe na Movies za kuwaenzi kina Mkwawa e.t.c ili watoto na wajukuu wetu wawajue hawa watu (badala ya waigizaji wetu ku-act movie nyingi kuhusu witchraft, angalau hata chache ziwe za historical moments).
Hivi kwanza ni nani mashujaa wetu Tanzania naomba tusaidiane kuwakumbuka.... The Great Achievers (Rating them kwenye Scale ya 1-10)... baadhi kwa haraka haraka ni:-
1. MKWAWA (10)
2. SHAABAN BIN ROBERT (5)
3. FILBERT BAYI (3)
4. KIMWERI (7)
5. MANGI SINA OF KIBOSHO (7)
6. .......
Hivi kwanza ni nani mashujaa wetu Tanzania naomba tusaidiane kuwakumbuka.... The Great Achievers (Rating them kwenye Scale ya 1-10)... baadhi kwa haraka haraka ni:-
1. MKWAWA (10)
2. SHAABAN BIN ROBERT (5)
3. FILBERT BAYI (3)
4. KIMWERI (7)
5. MANGI SINA OF KIBOSHO (7)
6. .......