Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Mume aumbuka, ampa 'kichapo' mkewe MWANAUME mkware nchini Uturuki ameumbuka baada ya kugundua kuwa mwanamke aliyemfungia safari kwenda kumuona face to face baada ya kutongozana kwa kutumia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wednesday, May 26, 2010 Mshukuru Mungu 'If you have food in the refrigerator, clothes on your back, a roof overhead and a place to sleep you are richer than 75% of this world. If you have...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wafanyabiashara wawili marafiki wauawa kikatili Marehemu Reinald Chuwa Marehemu Amedeus Nasau Watu wanaosaidikiwa kuwa majambazi wamefanya kufuru Dar kwa kuwapiga risasi...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Jamani naombeni msaada kuna wadogo zangu wanasumbuliwa matokeo yao pale Chuoni , wao wanasema waliambiwa wana Sup somo moja , wakafanya wakafaulu baada ya hapo wakataka kuchukua Academic...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jana waziri katika ofisi ya rais (Bunge) aliwaambia watanzania (kupitia vyombo vya habari) kuwa mawaziri wa serikali watazunguka mikoani kueleza mafanikio ya serikali ya awamu ya nne. Maswali...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Hi! Ni nani hao? Wandugu, nimekutana na wenzenu hao; picha ya mwaka 1985, enzi Mwl. Nyerere akiwa bado Mkuu wa Nchi na Serikali ya Tanzania. Jacksom Makweta akiwa waziri wa elimu ya taifa, na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WAKATI serikali ikiweka msisitizo katika kumkomboa mtoto wa kike kielimu, mwalimu mmoja wa hapa, Deogratius Peace, juzi alifanya kitu kilichowashitua wengi, baada ya kumuoa mwanafunzi wa kidato...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Neno la leo linatoka katika kitabu Kitakatifu kilichoandikwa na nabii Yeremia 17: 5-8, nalo lasema hivi:- 5. Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa...
0 Reactions
9 Replies
22K Views
Nasikia milango inazidi kufunguka kuanzia j'pili hii Lula wa Ndali Mwananzela ataanzakuoneakana akiandika makala fupifupi za maoni, uchambuzi, hoja n.k kwenye Gazeti la Mwananchi Jumapili. Msikose...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Tafadhali jipatie nakala yako ya bure ya kijarida chetu hiki ambacho kinaanza kukoleza moto wa mabadiliko. Tunawashukuru wasambazaji waliojitokeza kuanzia Dar penyewe, Kagera, Mara, Mwanza na...
0 Reactions
80 Replies
13K Views
Waarabu ni watu waliofanya biashara ya utumwa kwa muda mrefu sana na victim wakubwa wa biashara hiyo haramu ni Waafrika! Wazungu pia walifanya biashara hiyo kwa muda mrefu. Kwa upande wa Wazungu...
1 Reactions
104 Replies
16K Views
Mh. Rais nadhani ni muda mwafaka wa kuwafunga gerezani wote waliohusika na mkataba tata wa TRL na ktk hili uanze na aliyekuwa waziri wa miundo mbinu bw. chenge, katibu mkuu wake, na wakurugenzi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Taarifa zilizosikika kwenye vyombo vya habari ni kwamba marekani imeanzisha mkakati wa kuingilia mgogoro wa Uganda na Lord's Resistance Army. Watu wengi, akiwemo rais Museveni wa Uganda, wamehoji...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
SERIKALI inapoteza Sh bilioni 33 kila mwezi kutokana na uchanganyaji wa mafuta ya taa na dizeli unaofanywa na madereva wa malori ya mizigo nchini. Hayo yalisemwa jana Dar es Salaam na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
BAADHI ya wafanyabiashara katika Soko la Tandale, wameushutumu uongozi wa soko hilo kwa kushindwa kusimamia vyema usafi wa mazingira ya soko hilo, hali inayohatarisha maisha ya watumiaji wake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa muda mrefu sana nilikuwa nikifahamu kuwa the Universe is made up of time, space, energy and matter. Hii ilikuwa inamaana(kwangu) every thing in the universe is either energy or matter if not...
0 Reactions
0 Replies
925 Views
As democracy increasingly takes hold and anti-corruption campaigners become emboldened, Tanzania progressively tackles addictive corruption and fosters accountability as part of its new economic...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi karibuni niliulizwa na mtu (Mtanzania) hivi Watanzania waliohamia nchi za nje na kuchukua uraia wa nchi hizo wanazipenda kweli nchi wanazoishi kama wanavyoipenda Tanzania? Je, wanaposikia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
NImesoma magazeti na kuangalia luninga za nyumbani na mara kwa mara wameanza au wamepania kumtambulisha Kikwete kwa cheo cha Udaktari wa Heshima. Nikajiuiliza kama wanafanya hivyo kwa sababu yeye...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Waungwana salamu Jamani nakwazika miye, Eti Kiti Moto ni ruksaaaaaaaaaaa na kama ni ruksaaa ni kwa dini zote? Nasika waislamu hawali lakini nawaonaga kitaa wakijipiga na ze kitis. Wakristu wao...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…