Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Ndugu wapenzi wana JF, leo napenda tujadili suala la Mkapa na Kikwete katika awamu zao. Binafsi huwa nakaa na kujiuliza hivi ni kitu gani ambacho Kikwete amekaa ikulu na kukifanya, nakosa jibu...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Hector Castro Wednesday, June 30, 2010 12:52 AM Mwanaume mmoja nchini Marekani anashikiliwa na polisi baada ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi kuna huduma yoyote inayofanana na mapquest Tanzania?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
<table style="width: 491px; height: 277px;" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0"><tbody><tr><td colspan="3" style="padding-left: 10px; padding-top: 5px; width: 491px;"></td>...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kumekuwepo na malalamiko kuwa Nyuki (Honey bees) wamekuwa wanapungua kwa kasi. Wanasayansi, wamegundua kuwa mionzi ya simu ya mkononi ni moja ya sababu kubwa ya kuingilia mawasiliano ya nyuki hasa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwaka jana tulipata usumbufu sana baada ya mabenki kuto funguliwa kutokana na hii siku yao ya kufanya mahesabu yao ya mwaka. Tujihadhari, hamna taarifa rasmi zenye kutuelekeza tufanye nini. Wenye...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Source: Radio One Obuntu: Humanity asks: Kama usajili wa SIMU unachukua miaka miwili, Mradi wa vitambulisho utachukua muda gani?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
The Minister of State, Foreign and Commonwealth Office (Lord Malloch-Brown): My right honourable friend the Secretary of State for Foreign and Commonwealth Affairs (David Miliband) has made the...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Nimetumiwa text msg kuwa kuna ndege imeanguka punde na kugonga gari eneo la segera na barabara imefungwa. Wadau mnaombwa kufuatilia news hii ====== UPDATE: It's confirmed, ndege imeanguka eneo...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Habari wadau wa JF, naomba kufahamu ukweli juu ya kifo cha huyu jamaa aliyechota mabilion ya shilingi pale BoT, Mheshimiwa sana Balali hivi ni kweli alifariki au ni danganya toto? Nimediriki...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kutoka kwa Michuzi. HABARI ZIMETUFIKIA SASA HIVI ZINASEMA KUNA AJALI YA MAJINI IMETOKEA KATIKA BANDARI YA DAR ES SALAAM KARIBU NA FERI AMBAPO INASEMEKANA BOTI YA ABIRIA IENDAYO KASI IMEGONGA...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Meno ya Tembo yakiwa yamehifadhiwa Na mwandishi wetu, DodomaMAZUNGUMZO ya kidiplomasia kati ya Tanzania na nchi jirani za Kenya na Uganda yamefanyika, ili kuzifanya nchi hizo zisiweke...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nishaurini wakuu hii gari mitsubishi airtrec inafaa kwa mazingira ya tanzania kwa maana ya spare parts, kudumu kwa gari nk pls nishaurini kwa hili
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Please share the names of interesting blogs and or sites that you have come across, preferably with its theme in brackets
0 Reactions
5 Replies
2K Views
80bn/- contract hangs in balance By ThisDay Reporter 22nd June 2010 GOVERNMENT OFFICIALS ACCUSED OF DELIBERATELY STALLING MAJOR ROAD CONSTRUCTION PROJECT IN FAVOUR OF KICKBACKS...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
An article in a magazine for new mothers that described breastfeeding as "creepy" has drawn widespread criticism. Mother & Baby Magazine's deputy editor Kathryn Blundell said she bottle fed...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maonesho ya kimataifa ya Dar, sabasaba 2010 yanategemewa kufunguliwa tarehe 28 Juni 2010. Nimekuwa na kawaida ya kutembelea maonesho hayo huko nyuma lakini nakatishwa tamaa na baadhi ya bidhaa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mbona halina mvuto wa kuliangalia ...?? Hivi Hawa wabunge huwa wanaangalia mabunge ya wenzao nianze karibu hapo Kenya Kenya unaangalia Bunge lina changamoto ..linaleta hisia ya kuangalia muswada...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari wana JF! Jamani wananikera wale watu ambao wakiona ndugu yao amefariki ndio wanajitia kiherehere cha haraka kuanza kuanza kufuatilia mali za ndugu yao huku wakijua ameacha familia yaani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nchi ya Zanzibar huenda ikafutika kwenye uso wa Dunia kama nchi iliyoungana na Tanganyika na kubaki kama mikoa ya Tanzania. Hii ni kwa sababu jina linalotakiwa kuzitambulisha nchi mbili...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…