Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine (Saut) kinachomilikiwa na Kanisa Katoliki ni miongoni mwa asasi za kiraia 200 zinazokusudiwa kufutwa na serikali. Hatua hiyo imebainika kupitia tangazo la...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwako kamanda mwema.tunajua kila mtu anakula urefu wa kamba yake lakini naona sasa hawa ndugu zetu trffic wanaanza kutuchafulia hali ya hewa tanzania..traffic wameanza kuwa more kibiashara...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau mara nyingi nimeona watu wakiadhimisha arobaini ya mtu aliyefariki, je hii ni tamaduni au ni mafundisho ya dini? je jamii nyingine duniania wana utaratibu huu.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Vigogo wawakingia kifua mawakala wa ukwepaji kodi Ni wafanyabiashara watatu wa Kihindi Wajificha katika kuchangia kampeni za CCM 2010 WAKATI bajeti ya Serikali inasuasua kutokana na uhaba...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, ameahidi kumfikisha mahakamani Mwanasheria Mkuu wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Picture of the Day Tanzania Breweries Limited [TBL] Managing Director, Mr. Robin Goetzsche [left] and Sales and Circulation Manager, Mr. Nik Brooks [centre in a furrow] join other staff to clean...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Mwananchi Jumapili WAPO walevi na wapo walevi wanaolewa njwii. Walevi wa madaraka ni walevi njwii. Mara nyingi tumesikia msemo huo na kukubali kwa sauti moja tukisema watu wasilewe madaraka au...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Usafiri huu kwa njia ya reli ya TAZARA ndio usafiri niliotumia mara nyingi sana kutoka Mbeya hadi Dar es Salaam. Lakini usafiri kwa njia ya reli hii hautabiliki sana hasa kuhusu ratiba ya treni ya...
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Juzi nikiwa nipo home ndo nimetoka kwenye ujenzi wa Taifa hili lisilojengeka, alinijia Mke wa Jirani yangu na akaanza kunieleza hadithi ndefu ambayo kwa hakika ilikuwa ni mwendelezo wa hadithi ya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Pikipiki zaua 181 kwa miezi minne JUMLA ya watu 181 wamefariki dunia kwa ajali za pikipiki katika ajali 1,414 zilizotokea kote nchini katika kipindi cha miezi minne kuanzia Januari, huku...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
HELO WANA JF TZ NI KICHWA CHA MWENDAWAZIMU AU VIPI UFISADI KUSHNEYY AU NDIO CHANGA LA MACHO HEBU NIJUZENI MAANA HATA SISIKII ISHU ZAKE cONQUEST-MTEMI WA VIJIWENI NI MIMI MIA HAINIPOTEI KWA MFUKO
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Waziri wa Miundombinu jana, Dk. Shukuru Kawambwa. Wizara ya Miundombinu imenyooshewa kidole kwamba ndiyo imekwamisha miradi ya barabara kwa kushindwa kutoa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hili ni eneo la Nzovwe Mbeya (Njiapanda ya Itende) ambayo imekuwa kero kwa kutokea ajali za mara kwa mara na kuua watu kadhaa kwa kugongwa na magari. Kama picha inavyoonekana mbele ni mteremko...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
VITENDO vya wananchi kuvamia vituo vya polisi kwa lengo la kuwaua watuhumiwa vinazidi kushika kasi nchini baada ya wananchi zaidi ya 300 kuvamia kituo cha polisi cha Hedaru na kukiteketeza kwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mpira Kwanza na Siyo Kilimo Kwanza: Footbal first and not 'Kilimo Kwanza'. Watanzania twapenda dhama hizi za 'kauli mbiu' . je wafikiri baada ya hii kauli mbiu (Impliedly it sound to be the...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Msemaji wa Chama Cha Jamii (CCJ), Fred Mpendazoe. Polisi katika kituo cha Karume jijini Dar es Salaam, imelikamata na kulishikilia kwa muda, msemaji wa Chama Cha Jamii (CCJ)...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
kuna tangazo la maralia linarushwa na vituo mbalimbali vya TV, lengo ni kuhamasisha watanzania kutumia vyandarua. lakini kwa nini wameweka hili tangazo kwa kingereza kwa nini wasitumie kiswahili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani kuna wimbi la matapeli wa fedha za kigeni nje ya maduka ya kubadilishia hizo fedha pale Posta karibu na SH Amon au Akari monoument. Juzi ndugu yangu wa karibu sana alienda kubadilisha US $...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakati watanzania tukiwa na hamu ya kusubiri kuona wana brazil wakija tanzania kucheza na taifa stars...mama mmoja amejifungua njian jana mjini mwanza baada ya kukosa huduma hospital ya karume...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
wadau mara nyingi nimeona watu wakiadhimisha arobaini ya mtu aliyefariki, je hii ni tamaduni au ni mafundisho ya dini? je jamii nyingine duniania wana utaratibu huu?.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom