Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Somo la hisabati ni somo ambalo naweza kusema limekuwa ni daraja la mafanikio ya binaadamu kitaaluma (ambayo mpaka sasa duniani kote ndio kitu kinachochukuliwa kama mlango wa mafanikio ya kimaisha hasa uhakika wa maisha mazuri kwa binadamu wote ikibebeshwa na vijimisemo kama EDUCATION IS KEY..., EDUCATION IS POWER n.k
Nasema ni daraja kwa sababu ya umuhimu linalopewa katika mchakato mzima wa kielemu, tokea shule za msingi (sasa chekechea) mpaka vyuo vikuu, wale wanaofanikio/bahatika kuwa na uwezo mkubwa wa hisabati ndio uheshimika na kuonekana kama watu wenye uwezo wa hali ya juu wakati wale wanaoonyesha udhaifu kwenye somo hili huchukuliwa kama wajinga na si watu wanaotegemewa kufanya vizuri kwenye mitihani yao.
Ukichukulia mitihani ya darasa la saba, wale wanaofaulu vizuri sana kwenye somo la hisabati ndio upewa kipaumbele katika nasafi sa special schools kama tabora boys, mzumbe, na ilboru.
na pia ikifika secondary, ni vipanga wa hisabati ndio wanopewa kipaumbele kuchukua mchepuo wa sayansi, ambako ndiko hata wanaofaulu sana masomo ya arts hutokea.
kuingia chuo kikuu, ufaulu wa somo la hisabati a-level na o-level inapewa kipaumbele ili kupata nafasi hiyo.ambako pia somo la hisabati linafundishiswa karibia katika programs zote isipokuwa sheria kama sikosei.
haiishii hapo, hata makazini, kupata first job inategemea na ulivyofaulu hisabati o-level na a-level, kuna kampuni nimefanyia kazi, ili uitwe kwenye first interview ni lazima uwe una at least D ya hisabati o-level ama sivyo unapigwa chini.
Kwa kifupi, hisabati katika mchakato wa elimu ni kama pumzi kwenye maisha ya viumbe hai, swali nalojiuliza ni kama kuna ulazima wa hii kitu kupewa kipaumbele kikubwa namna hii kwenye maisha yetu. tukifanya utafikiti wa kina tunaweza kukuta kwamba watu wengi sana tena mamilioni walikatishwa na wanaendelea kukatishwa tamaa ya kujiendeleza kielimu na hata kimaisha kwa sababu tu at one point katika maisha yao hawakumaster somo la hesabu.
nahoji umuhimu huu kwa sababu, si kweli kwamba tunahitaji uelewa mkubwa sana wa hesabu katika kuendesha maisha yetu ya kila siku, angalia tanzania, asilia 80% yetu ni wakulima, ambayo ni sawa na watanzania Milioni 40, tukiangalia mchakato wao wa kimaisha wa kila siku hakuna sehemu utakuta wanahitaji application ya hesabu, lakini pia utakuta hao wote at one point katika maisha yao walikutana na mchakato wa kujifunza hisabati ambao uliwadisappoint vibaya sana.
nani hapa anaweza akanithibishia kwamba katika kipindi cha miaka mitano iliyopita kuna wakati wowote ule logarithm au calculus, au propability theories ilimsaidia katika kujipatia kipato chake au kuboresha maisha yake katika namna yoyote ile?
kama hakuna, ya nini kuwashurutisha watu kupitia kwenye mchakato ambao hautakuwa sehemu ya maisha yao mara tu baada ya kutoka kwenye mchakato wa elimu.
Hivi sasa kila baada matokeo ya mitihani ya darasa la saba na form four yanapotoka, kila gazeti na vyombo vingine vya habari linaibuka na takwimu kuonyesha ni namna gani hesabu ni janga la kitaifa utadhani wale waliofeli watakufa kesho wakati ukweli ni kwamba vijana hawa wanachokihitaji kwenye maisha yao ni MAYAMAZIJUTO tu. sijui kama tumewahi kutafakari ni damage kiasi gani imbayo inatokea kwenye maisha ya vijana hawa kwa sababu tu wamekuwa labeled kama wajinga wa hisabati? ama, ni wanaadamu wangapi leo wanataabika na maisha kwa sababu at one point kwenye maisha yao walikuwa disappointed na hisabati
Naomba kuwasilisha hoja.
Nasema ni daraja kwa sababu ya umuhimu linalopewa katika mchakato mzima wa kielemu, tokea shule za msingi (sasa chekechea) mpaka vyuo vikuu, wale wanaofanikio/bahatika kuwa na uwezo mkubwa wa hisabati ndio uheshimika na kuonekana kama watu wenye uwezo wa hali ya juu wakati wale wanaoonyesha udhaifu kwenye somo hili huchukuliwa kama wajinga na si watu wanaotegemewa kufanya vizuri kwenye mitihani yao.
Ukichukulia mitihani ya darasa la saba, wale wanaofaulu vizuri sana kwenye somo la hisabati ndio upewa kipaumbele katika nasafi sa special schools kama tabora boys, mzumbe, na ilboru.
na pia ikifika secondary, ni vipanga wa hisabati ndio wanopewa kipaumbele kuchukua mchepuo wa sayansi, ambako ndiko hata wanaofaulu sana masomo ya arts hutokea.
kuingia chuo kikuu, ufaulu wa somo la hisabati a-level na o-level inapewa kipaumbele ili kupata nafasi hiyo.ambako pia somo la hisabati linafundishiswa karibia katika programs zote isipokuwa sheria kama sikosei.
haiishii hapo, hata makazini, kupata first job inategemea na ulivyofaulu hisabati o-level na a-level, kuna kampuni nimefanyia kazi, ili uitwe kwenye first interview ni lazima uwe una at least D ya hisabati o-level ama sivyo unapigwa chini.
Kwa kifupi, hisabati katika mchakato wa elimu ni kama pumzi kwenye maisha ya viumbe hai, swali nalojiuliza ni kama kuna ulazima wa hii kitu kupewa kipaumbele kikubwa namna hii kwenye maisha yetu. tukifanya utafikiti wa kina tunaweza kukuta kwamba watu wengi sana tena mamilioni walikatishwa na wanaendelea kukatishwa tamaa ya kujiendeleza kielimu na hata kimaisha kwa sababu tu at one point katika maisha yao hawakumaster somo la hesabu.
nahoji umuhimu huu kwa sababu, si kweli kwamba tunahitaji uelewa mkubwa sana wa hesabu katika kuendesha maisha yetu ya kila siku, angalia tanzania, asilia 80% yetu ni wakulima, ambayo ni sawa na watanzania Milioni 40, tukiangalia mchakato wao wa kimaisha wa kila siku hakuna sehemu utakuta wanahitaji application ya hesabu, lakini pia utakuta hao wote at one point katika maisha yao walikutana na mchakato wa kujifunza hisabati ambao uliwadisappoint vibaya sana.
nani hapa anaweza akanithibishia kwamba katika kipindi cha miaka mitano iliyopita kuna wakati wowote ule logarithm au calculus, au propability theories ilimsaidia katika kujipatia kipato chake au kuboresha maisha yake katika namna yoyote ile?
kama hakuna, ya nini kuwashurutisha watu kupitia kwenye mchakato ambao hautakuwa sehemu ya maisha yao mara tu baada ya kutoka kwenye mchakato wa elimu.
Hivi sasa kila baada matokeo ya mitihani ya darasa la saba na form four yanapotoka, kila gazeti na vyombo vingine vya habari linaibuka na takwimu kuonyesha ni namna gani hesabu ni janga la kitaifa utadhani wale waliofeli watakufa kesho wakati ukweli ni kwamba vijana hawa wanachokihitaji kwenye maisha yao ni MAYAMAZIJUTO tu. sijui kama tumewahi kutafakari ni damage kiasi gani imbayo inatokea kwenye maisha ya vijana hawa kwa sababu tu wamekuwa labeled kama wajinga wa hisabati? ama, ni wanaadamu wangapi leo wanataabika na maisha kwa sababu at one point kwenye maisha yao walikuwa disappointed na hisabati
Naomba kuwasilisha hoja.