Spika Anne Makinda ambapo kuukwaa uspika ilibidi "awezeshwe" na JK kupitia rafu kibao sasa ameonyesha hana sifa wala uzoefu wa kuliongoza Bunge hili ndani ya utamaduni wa vyama vingi.
Tatizo...
Kuna duniaya kazi na uwajibikaji. Kila binadamu ana wajibu fulani kwa jamii yake, familia yake, na kwa Taifa lake.
Mambo yote haya yanapelekwa mbele na kitu kimoja, Mapenzi ya kutaka kuona...
Kila tunapopata wasaa wa kujadili uchumi na hali za maisha ya watanzania, tumekuwa na jadi ya kuangalia zaidi hali ilivyo kitaifa na kisekta (MACRO LEVEL), bila ya kujadili sana hali na takwimu...
Utangulizi
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaendeshwa kwa Kanuni zikisomwa pamoja na Ibara mbalimbali za Katiba ya JMT,1977 (kama inavyofanyiwa marekebisho mara kwa mara). Kanuni za...
Kila binadamu anastahili kuwa na Taifa lake. Anastahili kuwa na nyumba yake na familia yake. Taifa kama nyumba ni lazima vijengwe juu ya matumaini na upendo.
Familia ina haki ya ukuaji kama...
Na TheAnalyst
Kila linapotokea jambo zito hapa nchini, kunajitokeza pande nyingi za wadau, ambao kila mmoja hudai kuwa na mantiki ya kuelezea kiini cha jambo hilo, huku wale wenye kuujua ukweli...
Daraja la Mkapa na bado yuko hai, na lipo Daraja la Kikwete........misifa hii haina tija hata chembe!
Jk na wapambe ndani ya ccm..............
Kiu ya JK kukumbukwa inazidi kushamiri na sasa...
Tangu Bunge la awamu hii lianze, kumekuwa na wingu kubwa la upuuzi unaondelea kiasi cha kuanza kutia kichefuchefu. Siku hizi ni rahisi sana kubashiri nini kitatokea leo bungeni na si kama...
Waziri Membe atangaza kutogombea Ubunge tena
History has a penchant of repeating itself in the strangest of circumstances: Who would have known neither Malecela nor Kolimba will be in the...
Likizo yangu ya mwaka huu ilikuwa miongoni mwa likizo bora kama nilivyo tabiri kabla ya hapo.
Kazi zangu ninazozifanya na kunipatia riziki zinanifanya nisitumie muda wangu vyema katika kufikiri...
Ifuatayo ni sehemu ya hotuba maarufu aliyoitoa Bw. Oscar S. Kambona ambaye alikuwa ni Katibu Mkuu wa Chama cha TANU na Waziri katika Baraza la Nyerere. Hotuba hii ilitolewa Bungeni (Dar) na...
My brother and sisters, what do we need in Africa? a Strong President like Chevez, castro and others or strong and functional state institutions?
Labda hiki ni kimoja kati ya mambo ya muhimu...
KWA NINI WAISLAMU HAWANA IMANI NA VITENGO VINAVYOHUSIKA NA TAKWIMU?
Hili ni suala muhimu kulipatia jibu na kulifahamu kwa kina sisi kama Waislamu. Wengi wana maoni kuwa kitendo cha Waislamu...
Leo tarehe 31 / 12 / 2012 Rais wa JMT Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katangaza matokeo ya idadi ya watu Tanzania.Tanzania ina jumla ya watu 44,929,002,Tanzania bara watu 43,625,434 na Zanzibar...
Mimi nikiwa mmoja wa watu ambao tumeweka matumaini makubwa kwa chama cha Chadema kuleta mageuzi nchini nina ushauri mdogo sana kwa Zitto kuhusu SIASA zake na misimamo yake ambayo ndiyo sababu na...
Kunatafsiri tata ya tafakuri dhidi ya hitaji muhimu la Tanzania na watanzania wa leo na wakesho!
Hebu tujiulize watanzania tunajua tunachokihitaji ktk uwanda waleo tuliopo na tuuendeao?
Ni...
Wakuu inaonekana sasa kuwa CCM kama chama, kimeanzisha na kuimarisha propaganda [kudanganya au ku-mislead watu], kutumia mamluki na baadhi ya waliohongwa na kupenyezwa kwenye vyombo vya habari...
Dear JF Esteem members,
It has to be understood that i cherish the beauty of fundamental right to freedom of expression that JF has offered and spearhead on her site, likewise i am astonished at...
MBUNGE wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema
Kwa ufupi
Katika shauri hilo namba 84 la mwaka 1980 lililofunguliwa na William Bakari na mwenzake dhidi...
As much as I would like to appease Dr. Slaa's fanatical base that he is heading to Ikulu comes 2015 but the truth ought to be told much earlier …that they are merely pegging their...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.