Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Wakuu inaweza kuwa ni rahisi sana kunyosheana vidole na kuumizana kutokana na hali inayoendelea sasa hapa Tanzania.
Naona ni busara tukijadili THEORIES zinazoweza kutueleza ni kwanini hili limetokea, labda tunaweza kujua nini kinatakiwa kufanyika ili kukabiliana na hali hii, ambayo kwa sasa inaonekana kuwa "very fluid" na inawezekana kuwa itaendelea kwa muda mrefu. Najua hapa kuna vichwa venye uelewa na kuweza kujadili issue hii kwa hoja na busara, kuna theories tatu ambazo naona zinaweza kutusaidia kuangalia jambo hili, tusiwalaumu waislamu kwa kuwa katika issue hii ukweli ni kuwa hakuna waislamu naona wanasiasa zaidi na udhaifu katika udhibiti wa mambo yanayoendelea Tanzania.
1. Unregulated and uncontrolled FREEDOM OF SPEECH AND EXRESSION
Je ni kutokana na kuwa katiba yetu inatupa "uhuru" kupita kiasi? Yaani sheria zinazolinda uhuru huu zina mianya na kutoa nafasi kwa watu kutumia vibaya uhuru tuliopewa kikatiba [kukusanyika, kuabudu na kutoa maoni], kutukana, kufanya vurugu, vurumai, uharibifu na uuaji? Kwa muktadha huu tuangalie kama kweli hizi ni vurugu za kidini zinatokana na kitendo cha mtoto mkristo kukojolea Koran aliyopewa na mtoto mwislamu na kumwambia akiikojolea atabadilika kuwa Nyoka au Panya? Au suala hili limedakwa na baadhi ya watu ambao kwa muda wamekuwa wakitumia uhuru tunaopewa na katiba kuchochea vurugu, lakini hawakuwa na kisingizo cha kutekeleza yale ambayo wamekuwa wakihubiri kwa zadi ya miaka saba sasa?
Tukiangalia kwa undani uhuru huu kwa sasa tunaweza kusema hata teknolojia imetifikisha mahali ambao tuna vyombo kama JF, Radio Maria, Radio Imaan, gazeti za Kandanda kitandani, Msemakweli etc etc etc ambayo mto yoyote anaweza kutoa maoni kupitia vyombo hivyo na yeyote anaweza kusoma maoni, bila kuwa na chombo imara cha kudhibiti yaliyomo. Kuna vehicles zenye nguvu sana zenye uwezo wa kusafirisha maoni kwa muda mfupi na kwa haraka sana, serikali yetu bado haijafanya lolote la maana kushughulikia suala hilo.
Kibaya zaidi "wahuni na majambazi" wamekuwa ni karata nzuri sana kwa baadhi ya vyama na kwa baadhi ya wanasiasa, na kupewa fursa ya kutumia uhuru na vyombo vipya vya kutoa maoni kuchezea amani, umoja, utulivu na muungano wa Tanzania. Kwa hiyo unaona hata wakitoa kauli za kichochezi namna gani serikali inakuwa kimya tu, kana kwamba inawaogopa, hata ra
2. Nasty POLITICAL COMPETITION (ndani ya CCM, CCM vs Upinzani).
Kuna mambo mengi sana yamekuwa yakitokea kipindi hiki ndani ya CCM, makundi matatu au manne yanatafuta nafasi ya kushika dola kwa udi na uvumba, lakini ni bahati mbaya sana makundi hayo hayana kitu cha maana kuwaonesha watanzania, kwanini wanastahili kushika dola. Kwa hiyo inaonesha kuwa ni "power at any cost". Tumesikia wanaCCM wakiwekeana sumu, waandamizi wakijiengua, wengine wakijiimarisha, wengine wakilalamika ufisadi na "foul play", wengine wakitoa lugha za ajabu ambazo hawajawahi kuzitoa huko nyuma, na ambazo si desturi yao, yote hayo yanaonesha kuwa kuna mvutano mkali. Lakini kuna wengine wamekuwa kimya sana, kikauli, lakini wana-act. Kuna uwezekano mkubwa kabisa kuwa vurugu za hivi karibuni zilichochewa na mwanasiasa fulani, au kundi fulani la wanasiasa, kwa malengo ya kisiasa kuelekea 2015, au kuweka platform nzuri ya kudhibiti kwa muda wimbi la kukua upinzani.
If you stand from a vintage point [jifanye wewe sio CUF, CDM wala CCM] you can see that there are very clear signs that the incumbent is launching a dire attempt to remain in power in the wake of surging fortunes of the opposition. Visiwani ni kama opinion inaegemea zaidi kwenye upande wa CUF, kwa hiyo karata ya "uislamu" na vurugu za ‘uamsho' zinaweza kuwa ni kisingizio kizuri cha cha kidivert attention from real issues.
Sidhani kama ni bahati mbaya kwa matukio kutokea bara na visiwani kwa wakati mmoja, ‘waislamu' wa bara na visiwani kuwa na matatizo tofauti kwa wakati mmoja ni jambo la ajabu kidogo.
Huku bara ni wazi kabisa kuwa serikali imefanya madudu mengi sana kiasi kwamba maisha ya wananchi yamekuwa magumu sana, watu wamepoteza matumaini na kuchanganyikiwa. Ufisadi sasa ni kama unatambuliwa wazi kuwa ni sera inayokubalika kivitendo, na kupingwa kikauli na kimaandishi. Lakini kuwa beneficiary ni lazima uwe kwenye hatamu. Kitu ambacho wananchi wa kawaida na wanaccm na wapinzani hawakitaki, lakini hakiwezi kutoka kwenye Chama.
Kutokana na kuonesha incapability na kuto-deliver kwa wananchi, ni kama kuna haja ya kuwa na justification ya kuwepo madarakani at least kwa sasa, na kufunika aibu ya kuwa ‘hatuja-deliver" na kushindwa ku-deal na real issues (union in tatters, inflation, amani na usalama, no jobs, misongamano barabarani, mishahara duni, umeme, maji, elimu, justice). Kuleta kitu ambacho kitawagawa wananchi na kujiweka katikati yao kutasaidia kujustify uwepo wa serikali. At the end of the day utaona wahusika wakuu wananufaika, na wananchi wa kawaida wote wakristo na waislamu wanaathiriwa.
3. UNYONGE
Kuna kitu kimoja ambacho tunatakiwa tukubaliane, kwamba kuna unyonge mkubwa sana katika jamii yetu. Inawezekana unyonge huu ndio unaowafanya watu wahusike kwenye ujinga kama huu uliotokea. Labda ndio maana Nyerere alikuwa anasema sema tupambane na adui ujinga.
Kuna watu wengi hawajui tatizo lao kubwa ni nini. Inawezekana hata leo ukimuuliza mtu mtaani tatizo lako ni nini unaweza kushangaa jibu. Jaribu kutumia akili kidogo kuangalia ni nini kitakufanya uandamane na kutaka mabadiliko, umaskini au udhalilishaji wa kidini. Kuna baadhi ya watu wanadhani kuwa wakristo hapa Tanzania wako better off kuliko watu wa dini nyingine. Lakini ukiangalia uhalisia unaona kuwa watanzania wote bila kujali dini zao wanaogelea kwenye dimbwi moja.
Will there be any change in the content if a person urinates on the Quran or on the bible for that matter? au bado Tanzania kuna ujinga kama wa watu ambao hawana shule hata kidogo wa Afghanistan? Ukiangalia kwa undani unaweza kuona kuwa hii ajenda ni kubwa kuliko kukojolea msahafu. Wajanja wamecapitalize kwenye unyonge wa watanzania. Unyonge mwingine ni kuwa bado tunashindwa kujua nani ni Sheikh hapa Tanzania na nani si Sheikh, bado hakuna vigezo wazi vya nani ni sheikh na nani si sheikh, na nani mwakilishi halali wa waislamu na anayeweza kuwasemea waislamu
Naona ni busara tukijadili THEORIES zinazoweza kutueleza ni kwanini hili limetokea, labda tunaweza kujua nini kinatakiwa kufanyika ili kukabiliana na hali hii, ambayo kwa sasa inaonekana kuwa "very fluid" na inawezekana kuwa itaendelea kwa muda mrefu. Najua hapa kuna vichwa venye uelewa na kuweza kujadili issue hii kwa hoja na busara, kuna theories tatu ambazo naona zinaweza kutusaidia kuangalia jambo hili, tusiwalaumu waislamu kwa kuwa katika issue hii ukweli ni kuwa hakuna waislamu naona wanasiasa zaidi na udhaifu katika udhibiti wa mambo yanayoendelea Tanzania.
1. Unregulated and uncontrolled FREEDOM OF SPEECH AND EXRESSION
Je ni kutokana na kuwa katiba yetu inatupa "uhuru" kupita kiasi? Yaani sheria zinazolinda uhuru huu zina mianya na kutoa nafasi kwa watu kutumia vibaya uhuru tuliopewa kikatiba [kukusanyika, kuabudu na kutoa maoni], kutukana, kufanya vurugu, vurumai, uharibifu na uuaji? Kwa muktadha huu tuangalie kama kweli hizi ni vurugu za kidini zinatokana na kitendo cha mtoto mkristo kukojolea Koran aliyopewa na mtoto mwislamu na kumwambia akiikojolea atabadilika kuwa Nyoka au Panya? Au suala hili limedakwa na baadhi ya watu ambao kwa muda wamekuwa wakitumia uhuru tunaopewa na katiba kuchochea vurugu, lakini hawakuwa na kisingizo cha kutekeleza yale ambayo wamekuwa wakihubiri kwa zadi ya miaka saba sasa?
Tukiangalia kwa undani uhuru huu kwa sasa tunaweza kusema hata teknolojia imetifikisha mahali ambao tuna vyombo kama JF, Radio Maria, Radio Imaan, gazeti za Kandanda kitandani, Msemakweli etc etc etc ambayo mto yoyote anaweza kutoa maoni kupitia vyombo hivyo na yeyote anaweza kusoma maoni, bila kuwa na chombo imara cha kudhibiti yaliyomo. Kuna vehicles zenye nguvu sana zenye uwezo wa kusafirisha maoni kwa muda mfupi na kwa haraka sana, serikali yetu bado haijafanya lolote la maana kushughulikia suala hilo.
Kibaya zaidi "wahuni na majambazi" wamekuwa ni karata nzuri sana kwa baadhi ya vyama na kwa baadhi ya wanasiasa, na kupewa fursa ya kutumia uhuru na vyombo vipya vya kutoa maoni kuchezea amani, umoja, utulivu na muungano wa Tanzania. Kwa hiyo unaona hata wakitoa kauli za kichochezi namna gani serikali inakuwa kimya tu, kana kwamba inawaogopa, hata ra
2. Nasty POLITICAL COMPETITION (ndani ya CCM, CCM vs Upinzani).
Kuna mambo mengi sana yamekuwa yakitokea kipindi hiki ndani ya CCM, makundi matatu au manne yanatafuta nafasi ya kushika dola kwa udi na uvumba, lakini ni bahati mbaya sana makundi hayo hayana kitu cha maana kuwaonesha watanzania, kwanini wanastahili kushika dola. Kwa hiyo inaonesha kuwa ni "power at any cost". Tumesikia wanaCCM wakiwekeana sumu, waandamizi wakijiengua, wengine wakijiimarisha, wengine wakilalamika ufisadi na "foul play", wengine wakitoa lugha za ajabu ambazo hawajawahi kuzitoa huko nyuma, na ambazo si desturi yao, yote hayo yanaonesha kuwa kuna mvutano mkali. Lakini kuna wengine wamekuwa kimya sana, kikauli, lakini wana-act. Kuna uwezekano mkubwa kabisa kuwa vurugu za hivi karibuni zilichochewa na mwanasiasa fulani, au kundi fulani la wanasiasa, kwa malengo ya kisiasa kuelekea 2015, au kuweka platform nzuri ya kudhibiti kwa muda wimbi la kukua upinzani.
If you stand from a vintage point [jifanye wewe sio CUF, CDM wala CCM] you can see that there are very clear signs that the incumbent is launching a dire attempt to remain in power in the wake of surging fortunes of the opposition. Visiwani ni kama opinion inaegemea zaidi kwenye upande wa CUF, kwa hiyo karata ya "uislamu" na vurugu za ‘uamsho' zinaweza kuwa ni kisingizio kizuri cha cha kidivert attention from real issues.
Sidhani kama ni bahati mbaya kwa matukio kutokea bara na visiwani kwa wakati mmoja, ‘waislamu' wa bara na visiwani kuwa na matatizo tofauti kwa wakati mmoja ni jambo la ajabu kidogo.
Huku bara ni wazi kabisa kuwa serikali imefanya madudu mengi sana kiasi kwamba maisha ya wananchi yamekuwa magumu sana, watu wamepoteza matumaini na kuchanganyikiwa. Ufisadi sasa ni kama unatambuliwa wazi kuwa ni sera inayokubalika kivitendo, na kupingwa kikauli na kimaandishi. Lakini kuwa beneficiary ni lazima uwe kwenye hatamu. Kitu ambacho wananchi wa kawaida na wanaccm na wapinzani hawakitaki, lakini hakiwezi kutoka kwenye Chama.
Kutokana na kuonesha incapability na kuto-deliver kwa wananchi, ni kama kuna haja ya kuwa na justification ya kuwepo madarakani at least kwa sasa, na kufunika aibu ya kuwa ‘hatuja-deliver" na kushindwa ku-deal na real issues (union in tatters, inflation, amani na usalama, no jobs, misongamano barabarani, mishahara duni, umeme, maji, elimu, justice). Kuleta kitu ambacho kitawagawa wananchi na kujiweka katikati yao kutasaidia kujustify uwepo wa serikali. At the end of the day utaona wahusika wakuu wananufaika, na wananchi wa kawaida wote wakristo na waislamu wanaathiriwa.
3. UNYONGE
Kuna kitu kimoja ambacho tunatakiwa tukubaliane, kwamba kuna unyonge mkubwa sana katika jamii yetu. Inawezekana unyonge huu ndio unaowafanya watu wahusike kwenye ujinga kama huu uliotokea. Labda ndio maana Nyerere alikuwa anasema sema tupambane na adui ujinga.
Kuna watu wengi hawajui tatizo lao kubwa ni nini. Inawezekana hata leo ukimuuliza mtu mtaani tatizo lako ni nini unaweza kushangaa jibu. Jaribu kutumia akili kidogo kuangalia ni nini kitakufanya uandamane na kutaka mabadiliko, umaskini au udhalilishaji wa kidini. Kuna baadhi ya watu wanadhani kuwa wakristo hapa Tanzania wako better off kuliko watu wa dini nyingine. Lakini ukiangalia uhalisia unaona kuwa watanzania wote bila kujali dini zao wanaogelea kwenye dimbwi moja.
Will there be any change in the content if a person urinates on the Quran or on the bible for that matter? au bado Tanzania kuna ujinga kama wa watu ambao hawana shule hata kidogo wa Afghanistan? Ukiangalia kwa undani unaweza kuona kuwa hii ajenda ni kubwa kuliko kukojolea msahafu. Wajanja wamecapitalize kwenye unyonge wa watanzania. Unyonge mwingine ni kuwa bado tunashindwa kujua nani ni Sheikh hapa Tanzania na nani si Sheikh, bado hakuna vigezo wazi vya nani ni sheikh na nani si sheikh, na nani mwakilishi halali wa waislamu na anayeweza kuwasemea waislamu