Suala la upendo wa mtoto kwa mzaziwe ni la kimaumbile (nature) kwani mtoto ni damu ya mzazi, hivyo upo mvutano halisi na wa kiasili ambao kwao dhana ya upendo imejengwa kama uwezekano ila haijawa...
Napenda kuomba radhi mwanzoni kitu nilichokuwa nimedhamiria hakikuweza kuwafikia kama nilivyotaka badala yake yalitokea maandishi mafupi tu, yasiyo na tafakuri yeyote. Hata hivyo hii hapa chini...
Tuna bahati kubwa sana ya kupata ma First Lady kutoka taaluma ya ualimu. Kutoka mama Maria Nyerere, mama Salma Kikwete na sasa mama Janet Magufuli.
Wanapoingia Ikulu ni wazi kuwa wanakuwa na...
Kama kawaida niwapo safarini napata fursa ya kujisemeza (talking to myself) kama njia ya kuzianika fikra zangu.Natambua pia kwamba zipo topics ambazo zimejengewa kingo kifikra kwamba hazipaswi...
MWANZO
HAPA KAZI, MATARAJIO NA MATUMAINI YA WANANCHI
DHANA YA 'MABADILIKO' DHIDI YA KIU YA WANANCHI
Awamu ya 5 na miezi 2. Ni muda mfupi kutathmini utendaji/ufanisi ikizingatiwa changamoto...
Isangula KG
Imekuwa kawaida yangu nipatapo fursa kidogo najaribu kutafakari mambo kadhaa yanayogusa Nchi yetu ama dunia kwa ujumla. Japo wasomaji wanaweza kujikuta wananufaika kwa busara hizi...
Kama ilivyo kawaida yangu nipatapo muda kidogo nakuja kujisemea (talking to myself) hapa kwenye ukuta wangu.
Hivi karibuni nimeona video ya mchungaji mmoja akielezea umuhimu wa vijana waishio...
Katika mchezo wa mpira wa Miguu timu pinzani inapopungukiwa wachezaji uwanjani huleta ahueni kwa mashabiki wa timu ya waliyo wengi. Ipo kasumba kwamba kupungua idadi ya wachezaji uwanjani...
Ili taifa lolote liendelee haina budi watu wake wawe na nidhamu. Kukosekana kwa nidhamu katika taifa ni hatua moja kubwa kwa taifa lolote kujinyima maendeleo yake. Na sisi kama taifa ni lazima...
Historia ni mwalimu mzuri sana, hutufundisha mambo mengi sana ambayo tunapaswa kujifunza kutokana nayo, Kwahakika hatupaswi kupuuza historia. Kama ilivyowahi kunenwa kama hujui ulikotoka, kamwe...
Kwa kipindi sasa nimekuwa sionekani humu jamvini. Kimya changu kingi hakikuwa cha bure. Bali nimeendelea kujielimisha katika mazingira Magumu na kame.
Kwa mti au mmea wowote ili ukue unahitaji...
Maandamano ya Serengeti
Kifupi:
Mfalme Tembo anaogopa kunyang'anywa madaraka na Simba. Atumie njia gani? Labda amuombe Muumba awafanye wanyama wote wale majani. Lakini Muumba atakubali? Bundi...
Kwa siku kadhaa nimekuwa nikisoma Kitabu cha Ujamaa cha Julius Nyerere, na ni mengi ninajifunza tena na kubaini kuwa Mwalimu aliandika vision ya kutujenga kama Taifa hata kabla ya Azimio la...
Nadeclare interest.
Mamlaka husika zimetoa Kalenda ya Elimu: siku ya kufungua shule; siku ya kufunga shule; likizo fupi; likizo ndefu; siku za mitihani na kadhalika. Lakini zipo shule zinazopuuza...
Hadithi Hadithi!
Baada ya kuhitimu shule ya msingi nilifanya kazi za uvuvi kwa miaka mitatu.
Kisha nilisoma kozi za FETA za Refrigeration and Air conditioning. Nilianza na National Vocational...
Nalazimika kurudi nyuma kuanzia mwezi May mpaka August ya 2015, wakati wa mchakato wa kutafuta wagombea Urais kwa vyama vya siasa, hususan Chama "Tawala" Chama cha Mapinduzi.
Nikitafakari hali...
Dodoma. Hakuna ubishi kwamba mji mkuu wa Tanzania ni Dodoma.
Uamuzi wa kuhamishia mji mkuu Dodoma ni wa kupongezwa.
Lipo hitaji la kuweka historia sawa, kwa vile vyombo vya habari, hata vile vya...
Wana JF,
Nikiwa nimesomea Uhandisi ujenzi wa barabara ingawa sipo kwenye ujenzi tena, nimelipokea kwa furaha sana tangazo la serikali kuwa hatimaye wanahamishia DODOMA Makao Makuu ya taifa la...
I have tried to run a simulation with the little forensic science I know of bullet being shot in the air( thrust, speed, velocity and resistance to gravity) and upon its thrust upwards declining...
CHANZO: mtandao wa intaneti
MAONI :
1. Sera ya taifa ya elimu inapendekeza mtoto mwenye umri wa miaka mitatu aandikishwe shule ya awali.
2. Sera zinataka elimu ya sekondari iwe ya lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.