Great Thinkers

JF's Great Thinkers' home | If you want to be enrolled, contact us

JF Prefixes:

Suala la upendo wa mtoto kwa mzaziwe ni la kimaumbile (nature) kwani mtoto ni damu ya mzazi, hivyo upo mvutano halisi na wa kiasili ambao kwao dhana ya upendo imejengwa kama uwezekano ila haijawa...
11 Reactions
0 Replies
3K Views
Napenda kuomba radhi mwanzoni kitu nilichokuwa nimedhamiria hakikuweza kuwafikia kama nilivyotaka badala yake yalitokea maandishi mafupi tu, yasiyo na tafakuri yeyote. Hata hivyo hii hapa chini...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Tuna bahati kubwa sana ya kupata ma First Lady kutoka taaluma ya ualimu. Kutoka mama Maria Nyerere, mama Salma Kikwete na sasa mama Janet Magufuli. Wanapoingia Ikulu ni wazi kuwa wanakuwa na...
7 Reactions
4 Replies
7K Views
Kama kawaida niwapo safarini napata fursa ya kujisemeza (talking to myself) kama njia ya kuzianika fikra zangu.Natambua pia kwamba zipo topics ambazo zimejengewa kingo kifikra kwamba hazipaswi...
15 Reactions
2 Replies
7K Views
MWANZO HAPA KAZI, MATARAJIO NA MATUMAINI YA WANANCHI DHANA YA 'MABADILIKO' DHIDI YA KIU YA WANANCHI Awamu ya 5 na miezi 2. Ni muda mfupi kutathmini utendaji/ufanisi ikizingatiwa changamoto...
28 Reactions
443 Replies
100K Views
Isangula KG Imekuwa kawaida yangu nipatapo fursa kidogo najaribu kutafakari mambo kadhaa yanayogusa Nchi yetu ama dunia kwa ujumla. Japo wasomaji wanaweza kujikuta wananufaika kwa busara hizi...
1 Reactions
0 Replies
5K Views
Kama ilivyo kawaida yangu nipatapo muda kidogo nakuja kujisemea (talking to myself) hapa kwenye ukuta wangu. Hivi karibuni nimeona video ya mchungaji mmoja akielezea umuhimu wa vijana waishio...
27 Reactions
0 Replies
6K Views
Katika mchezo wa mpira wa Miguu timu pinzani inapopungukiwa wachezaji uwanjani huleta ahueni kwa mashabiki wa timu ya waliyo wengi. Ipo kasumba kwamba kupungua idadi ya wachezaji uwanjani...
14 Reactions
1 Replies
6K Views
Ili taifa lolote liendelee haina budi watu wake wawe na nidhamu. Kukosekana kwa nidhamu katika taifa ni hatua moja kubwa kwa taifa lolote kujinyima maendeleo yake. Na sisi kama taifa ni lazima...
6 Reactions
0 Replies
3K Views
Historia ni mwalimu mzuri sana, hutufundisha mambo mengi sana ambayo tunapaswa kujifunza kutokana nayo, Kwahakika hatupaswi kupuuza historia. Kama ilivyowahi kunenwa kama hujui ulikotoka, kamwe...
7 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwa kipindi sasa nimekuwa sionekani humu jamvini. Kimya changu kingi hakikuwa cha bure. Bali nimeendelea kujielimisha katika mazingira Magumu na kame. Kwa mti au mmea wowote ili ukue unahitaji...
6 Reactions
0 Replies
3K Views
Maandamano ya Serengeti Kifupi: Mfalme Tembo anaogopa kunyang'anywa madaraka na Simba. Atumie njia gani? Labda amuombe Muumba awafanye wanyama wote wale majani. Lakini Muumba atakubali? Bundi...
11 Reactions
0 Replies
4K Views
Kwa siku kadhaa nimekuwa nikisoma Kitabu cha Ujamaa cha Julius Nyerere, na ni mengi ninajifunza tena na kubaini kuwa Mwalimu aliandika vision ya kutujenga kama Taifa hata kabla ya Azimio la...
17 Reactions
20 Replies
12K Views
Nadeclare interest. Mamlaka husika zimetoa Kalenda ya Elimu: siku ya kufungua shule; siku ya kufunga shule; likizo fupi; likizo ndefu; siku za mitihani na kadhalika. Lakini zipo shule zinazopuuza...
5 Reactions
3 Replies
4K Views
Hadithi Hadithi! Baada ya kuhitimu shule ya msingi nilifanya kazi za uvuvi kwa miaka mitatu. Kisha nilisoma kozi za FETA za Refrigeration and Air conditioning. Nilianza na National Vocational...
8 Reactions
0 Replies
4K Views
Nalazimika kurudi nyuma kuanzia mwezi May mpaka August ya 2015, wakati wa mchakato wa kutafuta wagombea Urais kwa vyama vya siasa, hususan Chama "Tawala" Chama cha Mapinduzi. Nikitafakari hali...
4 Reactions
2 Replies
4K Views
Dodoma. Hakuna ubishi kwamba mji mkuu wa Tanzania ni Dodoma. Uamuzi wa kuhamishia mji mkuu Dodoma ni wa kupongezwa. Lipo hitaji la kuweka historia sawa, kwa vile vyombo vya habari, hata vile vya...
7 Reactions
2 Replies
10K Views
Wana JF, Nikiwa nimesomea Uhandisi ujenzi wa barabara ingawa sipo kwenye ujenzi tena, nimelipokea kwa furaha sana tangazo la serikali kuwa hatimaye wanahamishia DODOMA Makao Makuu ya taifa la...
46 Reactions
64 Replies
44K Views
I have tried to run a simulation with the little forensic science I know of bullet being shot in the air( thrust, speed, velocity and resistance to gravity) and upon its thrust upwards declining...
13 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Poll
CHANZO: mtandao wa intaneti MAONI : 1. Sera ya taifa ya elimu inapendekeza mtoto mwenye umri wa miaka mitatu aandikishwe shule ya awali. 2. Sera zinataka elimu ya sekondari iwe ya lazima...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom