here's my top ten..
1. kool and the gang
2. blackstreet
3. jodeci
4. the temptations
5. the jackson 5
6. the isley brothers
7. earth wind and fire
8. the ojay'
9. boys to men
10. new edition
and...
Kwa wale mliofuatilia 'The Voice' season 1, mtamkumbuka binti huyu, very innocent and shyly face, alikuwa mentored na Blake Shelton, mzee wa 'you will be my Louisiana, I will be your...
Ndugu zangu,
Usiku huu nime-google jina langu ndipo nimekutana na habari hii; ' Maggid Mjengwa ana virus?
Nimejadiliwa katika angle hiyo kwa kile kilichodaiwa na mwanzisha mada kuwa...
Akitumbuiza mjini Iringa ukumbi wa Highland
Hapa akiwa amekosa raha kabisa baada ya wahuni wa Iringa kumuibia viatu na kumwachia sox.
Hivi viatu alivyo azimwa kwa muda ajisitiri.
Muimba...
Wakuu mnaukumbuka wimbo huu?
Hakika uwa ni wimbo wa faraja sana hususani kwa hili dimbwi la umaskini uliokithiri wa taifa na watu wetu!!
Bobby McFerrin - Don't Worry Be Happy - YouTube
Furahia.
Sasa tunasikia tena akina sele, necha, feruz, na wenzao wote ambao walikua wanabaniwa
Clouds are doing this expecting kukomesha vinega, unfortunately, wanatekeleza ilani ya vinega
SAFI SANA...
Jamani ndugu zangu tunaopatikana pande za Arusha twende kwenye mazishi ya marehemu mr.Ebo.Tulimpenda ila MUNGU ALIMPENDA ZAIDI JINA LA MUNGU LITUKUZWE.
"Kwetu Pazuri Nimeshapakumbuka".
Ile kwaya ya Ambassador of Christ kutoka Rwanda Itakuwepo pale Diamond Jubillee Jumapili 04/12/2011 wakizundua Album yao mpya waliyoiandaa baada ya kupata ajali...
She's Too Good For Everyone Lyrics
Oh here she comes, it's "miss too good for everyone", Hot since the seventh grade, mean as a snake in a knot
Not just some pretty girl, she's "muy en...
Wadau, hivyi katika tasinia ya habari Tanzania kuna mtangazaji anaelipwa mil 5 za Tanzania au zaidi? Lakini kwa Kenya na Uganda mambo ni kama hivyi;
Allan Kasuijja is the highest paid radio...
Hili goma lilikuwa ni kali lilipendwa sana kanda ya ziwa na kwingineko nilisikia kuna tajili mmoja wa Kenya aliwatafuta waimbaji wote waliopo hai na kuimba nyimbo zote upya na kuziweka on video...
l
http://youtu.be/4gTAAduiW3Y
Kwa mlio mbali na nyumbani, haijalishi upo Dar na kwenu Kigoma, upo Lindi na kwenu Mwanza au upo Norway na kwenu ni Congo.This one is for you. Enjoy.
T
Wadau na wapenzi wa muziki wa hip-hop tujadili track kali ambazo zinasumbua masikio yetu kupitia redio zetu na macho yetu kupitia Tv zetu:
Mimi napenda hizi zifuatazo:
1.''how to love''- Lil...
Prodyuza na mmiliki wa studio ya Combination Sound, John Shariza a.ka Man Walter amezitaja sababu zilizomfanya msanii 20% kutokwenda kwenye studio yake.
Msanii huyo ambae ameandaa albamu yenye...
CONRAD MURRAY found guilty for supersatar's manslaughter.
The jury deliberating the fate of Michael Jackson's doctor has found him guilty of involuntary manslaughter.
Conrad Murray,58,was...
Hi! Jf,kati ya ferouz,na Tundamani nani mkali wa ngoma za kulialia? Ferouz amelia ngoma kibao,tangu DazNundaz,mpaka alipatoka kivyake..msikie Tunda anavyolia pale Tiptop connetion...
Hakika ile shoo iliyopigwa na muheshimiwa Sugu akishirikiana na Vinega kweli nimemkubali huyu muheshiwa mbunge aliturusha mpaka nimeburudika vya kutosha! Sasa namtaka kijana Ruge akubali yaishe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.