Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
1. Lugha zinazotumika, wakati mwengine kingereza si kingereza kiswahili si kiswahili. Mwengine hajui kizungu nae anataka aongee kizungu kwenye movie. Mwengine hajui tofauti ya "L" na "R". Gali badala ya gari, ushauli badala ya ushauri,
2. Neno "MR" hili neno wanapenda kutumia eti unakuta mtu ana mu adress rafiki yake kama MR, sasa toka lini mtu rafiki yako unamwita "Mr Benson" usimwite jina la kwanza , au ndio kuonesha ana hela ,jamani Mr sio cheo :embarassed2:
3. Subtitles mbovu sana! , siku hizi zinaoneshwa kwenye Africa Magic yani unaweza kuzima kwa hasira TV ukakimbia. Kama hawana watu wa kuandika kingereza vizuri basi naomba wasiweke sub titles.
2. Neno "MR" hili neno wanapenda kutumia eti unakuta mtu ana mu adress rafiki yake kama MR, sasa toka lini mtu rafiki yako unamwita "Mr Benson" usimwite jina la kwanza , au ndio kuonesha ana hela ,jamani Mr sio cheo :embarassed2:
3. Subtitles mbovu sana! , siku hizi zinaoneshwa kwenye Africa Magic yani unaweza kuzima kwa hasira TV ukakimbia. Kama hawana watu wa kuandika kingereza vizuri basi naomba wasiweke sub titles.