johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 718
- 703
wadua wa jf
niko katika mji wa osnabruck nchini ujerumani ambako kesho kunazinduliwa tamasha kubwa la sanaa linalokwenda kwa jina la 24th Eupoean media art festival. sanaa za aina mbalimbali zinashirkishwa
katika tamasha hilo filamu kutoka maeneo mbalimbali duniani hupokelewa na baadaye kuchaguliwa zilizobora ambazo hupatiwa tuzo.
waandaaji wanasema kuwa hakuna msanii au mwandaaji wa filamu hata mmoja kutoka afrika mashariki na kati am,bao wamewahi kushiriki katika tamasha hilo ambalo ushiriki wake ni bure
wanachotakiwa kufanya wasanii wetu ni kwenda katika Home na kupata maelekezo ya kujisajili.
bila shaka ujumbe huu utawafikia wasani wetu ambao hutumia muda mwingi kulalamikia kutofaidika na jasho lao,kumbe wanaweza kutumia njia nyingine pia kufaidi jasho hilo.
Nawakilisha
niko katika mji wa osnabruck nchini ujerumani ambako kesho kunazinduliwa tamasha kubwa la sanaa linalokwenda kwa jina la 24th Eupoean media art festival. sanaa za aina mbalimbali zinashirkishwa
katika tamasha hilo filamu kutoka maeneo mbalimbali duniani hupokelewa na baadaye kuchaguliwa zilizobora ambazo hupatiwa tuzo.
waandaaji wanasema kuwa hakuna msanii au mwandaaji wa filamu hata mmoja kutoka afrika mashariki na kati am,bao wamewahi kushiriki katika tamasha hilo ambalo ushiriki wake ni bure
wanachotakiwa kufanya wasanii wetu ni kwenda katika Home na kupata maelekezo ya kujisajili.
bila shaka ujumbe huu utawafikia wasani wetu ambao hutumia muda mwingi kulalamikia kutofaidika na jasho lao,kumbe wanaweza kutumia njia nyingine pia kufaidi jasho hilo.
Nawakilisha