Show ya times fm kiboko !!!!

Show ya times fm kiboko !!!!

Kwame Nkrumah

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2008
Posts
886
Reaction score
376
Naipenda sana show ya akina Masanja na Nyerere ya 2 by 2 NA IKIBIDI NOMA IWE NOMA. Show nzuri sana, jamaa wana kipaji na wana chemistry nzuri sana. I hope wanalipwa vizuri na kufaidi jasho lao. Kuna marekebisho kidogo ya hapa na pale lakini show ni kiboko, nawapa 98%. bye bye WAFU FM.
 
Kipindi kinaanza saa ngapi? Na kipindi chao kinazungumzia nini? Tujulishe tafadhali.
 
Back
Top Bottom