Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kipindi Nyiboma anatamba kwa redio zote Tanzania na Maya maya maya maya mo Nyiboma - Maya | Muziki.net
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hello, I live overseas and I wonder if there is a website where i can find Swahili songs for free? I miss listening to Swahili songs. I ran on this site and it looks great...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani naomba link au mtandao vyenye naweza pasta nyimbo za zamani
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habarini Wakuu! Kuna ndugu yangu anahitaji kusomea uigizaji (Actor), sasa nataka kujua Chuo cha Sanaa Bagamoyo vile kinatoa course na kuhusu pia gharama zao. Mwenye ufahamu wa hili tujuzane...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Naomba kujuzwa jina la track mpya ya ney wa mitego aliyoitoa hivi juzijuzi.
0 Reactions
0 Replies
984 Views
Wimbo huu umeimbwa na Adonai Pentecostal Singers-Zambia kwa lugha ya kizambia ukienda kwa jina la Kafwa wandia. Nahitaji ambao umetafsiriwa kiswahili, kwa mwenye nao tafadhali.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Waje waje wadau? Eti ni muziki gani wa Bongofleva kati ya Bongo za zamani na za sasa zinakukonga nyoyo?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Video za wanamuziki toka zilizo kuwa na viewers wengi 2015 1. PSquare – Collabo ft. Don Jazzy PUBLISHED: 23 February 2015 VIEWS: 16,654,412 2. C4 Pedro – Vamos Ficar Por Aqui PUBLISHED: 23...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Hi wakulu wa humu jamiini, there are these black actors who are performing better in the film industry internationally,have you ever been interested to one of them, here are some of them and their...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Kwa wale wafuatiliaji wa muziki wa zamani na muziki kwa ujumla basi hawawezi kuacha kulifahamu kundi hili lililozaliwa Ujerumani Magharibi lililokuwa tishio kabisa mwisho mwa miaka ya themanini...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
24 Revival: Fox Orders Pilot for New Series Featuring a New 'Jack' By Michael Ausiello / January 15 2016, 9:54 AM PST 275 Fox is officially making time for more 24, albeit sans...
0 Reactions
0 Replies
885 Views
Hua nafikiria sana ni kivipi shirika la utangazaji la Kenya lilibuni hii program inayoitwa Vioja Mahakamani. Sio siri hua navunjika mbavu na kupata burudani kuangalia vituko vya hawa waigizaji...
1 Reactions
7 Replies
7K Views
sina uhakika kama kitabu hichi kimeandikwa na mario puzo ila ni muendelezo wa kitabu cha the godfather. please mwenye nacho au anae weza kuki download akieke hapa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jamvi, nimewasalimu, Mimi ni mpenzi wa muziki sana katika library yangu napungukiwa nakala za Maquiz, Sambulumaa( kadiri mke wangu) vijana Jazz.nk. Kwa wale mnaonisoma, kama kuna baadhi...
0 Reactions
0 Replies
842 Views
Kwa Tz tukubali Arusha wapo juu. Hapa ni madogo wakifanya yao.
1 Reactions
16 Replies
8K Views
kwa wale wapenzi wa hizi ladha jamani mimi nipo. Some of my favourates: -buy me a rose. Kenny rogers -if i said you have a beautiful body. Bellamy brothers -i have been love by the best...
1 Reactions
35 Replies
5K Views
Habari wakuu..hebu turelax kidogo na haka kajumapili mwanana. Ni hivi, Bila shaka ukiongelea HIPHOP kwa bongo na ukataja watu watatu the best huwez kukosa kumtaja JUMA MCHOPANGA na FAREED...
0 Reactions
52 Replies
53K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…