Kiuandishi wa mashairi Diamond kamzid Kiba

isho_boy

JF-Expert Member
Sep 22, 2015
2,145
1,892
Ukifuatiria utunzi wa mashairi kati ya hawa watu wawili utagundua kuwa diamond anafata taratibu zote za kiuandishi katika kuandika mashairi yake vina kati na mwisho...
Lakini king kiba yy ni mkali wa sauti tu lakini kiuandishi bado sana
 
Ukifuatiria utunzi wa mashairi kati ya hawa watu wawili utagundua kuwa diamond anafata utaratibu zote za kiuandishi katika kuandika mashairi yake vina kati na mwisho...
Lakini king kiba yy ni mkali wa sauti tu lakini kiuandishi bado sana
Mbona na wewe hufuati taratibu zote za uandishi?? Mfano badala ya "yeye" umeandika "yy"!!

Alafu mwisho wa habari yako hujaweka nukta!!!

Anza kujirekebisha wewe kabla hujarekebisha wenzio!!
 
Vipi mbn kama umepaniki iv
Mbona na wewe hufuati taratibu zote za uandishi?? Mfano badala ya "yeye" umeandika "yy"!!

Alafu mwisho wa habari yako hujaweka nukta!!!

Anza kujirekebisha wewe kabla hujarekebisha wenzio!!
Vipi mbn kama umepaniki ivi
 
Don't discuss the obvious things. Hii siyo mada kwa sababu hicho kitu anakijua na kukiri hata Pwilo.
 
Acha uwongo ndugu diamond nyimbo zake nyingi sio bora sana kwa muda kama kiba sema diamond ana kiki kiujanja ujanja lkn si muandishi mzuri sana kulingana na ally kiba ingawa mimi sio mshabiki wao
 
Kiba kazidiwa kila kitu hata sauti pia....sauti ya kiba ni mbaya kama huelewi kiswahili utaona anapiga makelele tu. Huku diamond sauti yake iko natural zaidi hata kama huelewi anasema nini lakini unatamani kusikiliza tu. Ndo mana diamond nyimbo zake zinatamba Africa yote japo wanao ongea kiswahili ni wachache sana huku king kiba nyimbo zake zinaishia kwenye Swahili speaking countries (tz, kenya)
 
Acha uwongo ndugu diamond nyimbo zake nyingi sio bora sana kwa muda kama kiba sema diamond ana kiki kiujanja ujanja lkn si muandishi mzuri sana kulingana na ally kiba ingawa mimi sio mshabiki wao
Naongelea taratibu za kiuandishi wa mashairi kama vina kati na mwisho pamoja na mizani 16 bars cjui ushanielewa
 
Ukifuatiria utunzi wa mashairi kati ya hawa watu wawili utagundua kuwa diamond anafata taratibu zote za kiuandishi katika kuandika mashairi yake vina kati na mwisho...
Lakini king kiba yy ni mkali wa sauti tu lakini kiuandishi bado sana
Kiba hana tofauti na Timbulo,kumlinganisha na diamond ni kumpaisha sana
 
Ingekuwa ni magari yako barabarani, Diamond gari lake linakwenda kasi Sana, kamuacha mbali Sana mwenzie. Mzee Gurumo enzi za uhai wake alimwona Diamond, ila Kiba pia angali yupo kwenye fani ila hakumuona. Tukubari Diamond yupo huu kwa kila hali, nyie mnaozani Ally hataki mafanikio aliofikia Abdul mnajidanganya, mwenzenu anaumiza kichwa kufika alipo mwenzie ila ndiyo hivo tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom