Teh teh! Umenikumbusha Jangwani mwaka jana.Hata mie sijui! Lakini kama alivyosema Lema wako wengi.
Na yule wa Bunge la EAC ndio usipime kabisa! Mzee wa kofia oyeee, kifimbo oyee!
😀😀😀😀😀😛😛😛😛😛.Bwana mkubwa kasahau kuwa wapiga pombe aka kina Ahmada walipigia kampeni.
he he he