Habari wanajamvi?
Niliangalia show ya Jide kwakweli kwanza nimpongeze saaana saaana maana amethubutu na ameweza na bila shaka naona jinsi Watanzania wanavoanza kukubali kazi za wasanii wetu wa ndani (ingawa sijaenda nkachangia ila nimechangia usingizi wangu kwa kuangalia mpaka saa saba).
Nauliza tu,Kwanini wanawake walikua wengi "sana" and very supportive kuliko WANAUME (wa dar?)
Athanteni
bado jamaa anampromote sema kivingine. maana amesababisha wanawake waende kwenye "sympathy street".. kwa maneno yake yale ya ...miaka 15... kajenga hate kwa wanawake who have turned out to support her, ivo aliewaza kufanya show wakati huu anajua biashara..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.