Watangazaji hawa ni wakupongezwa

Watangazaji hawa ni wakupongezwa

motonkafu

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2015
Posts
1,019
Reaction score
710
Kwanza ni huyu kijana anayeendesha kisa na mkasa pale eatv, sijashika jina lake, anatafuta watu waliogombana wakanuniana miaka anawapatanisha. Pongezi za pekee kwake huu ndo ubunifu unaojenga jamii.
Mwingine huyu wa clouz hook up kwenye kipindi cha diva japo amebase kwenye mapenzi apongezwe pia kwa kupatanisha waliogombana, hiki pia ni kipaji kuhangaikia matatizo ya watu.
Hawa vijana wapongezwe ata kwa makofi pia kama kuna wengine wenye vipindi vya kujenga tuwapongeze pia.
 
Bila kumsahau George malaaaaaaaaaato wa itv - Maraaaaaaa
 
Pia MH.Juma Nkamia alipokuwa TBC nilipenda saana alipokuwa akisoma habari.
 
kisa na mkasa katoa scene 3 tu amesepa cjui hakujiandaa ila alikuwa mbunifu
 
Back
Top Bottom