Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Msanii aliyeacha gumzo baada ya kupiga shoo Dar es salaam, karudi tena bongo na atapiga shoo Jijini Mwanza siku ya jmos, ikidhaminiwa na JEMBE NI JEMBE FM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naombeni mwenye wimbo wa Q chillah watu na maisha yao nitupie link au anipe msaada jinsi ya kuupata
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kupitia ukurasa wa Instagram Naytrueboy akanusha kua BASATA haijaufungia wimbo wa shika adabu yako walio ufungia ni walee walio chanwa ndani ya wimbo huo,,, ShikaAdabuYako
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Karibu mkuu, itueleze nyimbo au movie ambazo zilikugusa au zinakugusa zikiambatana na matukio ambayo huwezi yasahau. Yaani unazigawanya kama ifuatavyo: Juzi=ya zamani kabisa kwa upande wako...
0 Reactions
2 Replies
943 Views
Niona bora ku-share hizi hot tunes, maana hii mix ni balaa, humu ndani kuna Jah Cure, Zamunda, Chevaughn, JahMelia, Wayne Wonder, Lutah Fyah na wengineo karibu uburudike.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ni wa afrika wachache sana wanaweza kufanya kitu kama hiki
0 Reactions
1 Replies
850 Views
niambie unakumbuka wapi na nini?Enjoy
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi nilikuwa ni mmoja wa watu waliokubali ushawishi mkubwa wa Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a. Sugu juu ya unyonyaji na negatives nyingine nyingi zinazofanywa na Redio hii dhidi ya wasanii. Tangu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
so far wasanii wengi sana wa hapa tz wanaimba songs zisizo na maana, na si hilo tu bali hata majisifu yasiyo na maana, FA kato wimbo wa Ameen na Ameen - Mwana FA ft Dully Sykes & AY | Muziki.net ...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamvi,natamani tuinue na kukuza mziki wetu. Naomba tulitumie jukwaa hili kuwa impress wasanii wetu. Hapa tutafanya nini na nini? 1.Tutajadili kila wimbo mpya utakaokuwa ukitolewa na...
0 Reactions
2 Replies
705 Views
Kuna wasanii ambao wanajua muziki sana hapa Africa to the extent, Sema media imetawaliwa na watu wa aina fulani hivi huwa hawasikiki. Ukiachana na Legends Kina Makeba, Yossou N' Dour, Fela Kuti...
0 Reactions
0 Replies
666 Views
Habari wana Jf, ni siku nyingine tena ambayo tumepata kibali mbele za mwenyezi Mungu kuishi tena, siii kwa akili zetu wala kwa ujanja wetu kufika hapa tulipo bali ni kwa NEEMA tuu, leo naomba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu waungwana, Msanii bora wa RnB Tanzania ambaye nyota yake inazidi kung'aa siku hadi siku amekuja na kiba kipya kinaitwa Love Potion. Kulingana na ukurasa wake wa Instagram Belle9...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Nimeona one episode ya hii series.. Cuba Gooding Jr as O J Simpson John Travolta as Robert Shapiro David Schwimmer as Robert Kardashian Naona hii series itakuwa big hit kuna mtu kashaitazama...
1 Reactions
8 Replies
835 Views
Hii video ya Yemi Alade ya wimbo wake wa kiswahili ‘Na Gode’ .Video inafanywa na cinematographer Paul Gambit.
0 Reactions
25 Replies
8K Views
  • Redirect
Ni jinsi gani??ni namna gani tutaishi duniani paka siku tunasema buriani,jamaa anaimba kwa lafudhi ya kichaga Hiv,MASAWE alikuepo,kimaro alikuepo,mushi alikuepo kawataja wengi sanaa!!
1 Reactions
Replies
Views
WanaJF naombeni mwenye link au wimbo wa Q chillah watu na maisha yao naomba anisadie...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Familia ya aliyekuwa kiongozi wa waasi nchini Angola Jonas Savimbi imewashtaki watengezeji wa filamu ya Call of Duty kuhusu vile ilivyomuangazia katika mchezo huo wa video. Watoto 3 wa Savimbi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Redirect
Jamani Mrisho Mpoto amenishinda... Huu wimbo wake mpya wa Sizonje naupenda japo nimejitahidi kuuelewa ila hadi sasa sijafanikiwa kuelewa hata mstari mmoja wa shairi lake. Naomba tusaidiane hapa...
0 Reactions
Replies
Views
Hivi ni utaratibu gani hutumika katika kuuziana kazi ya sanaa iwe nje au hapa nyumbani, mfaano mtu ana nyimbo au story ya movie taratibu gani hutumika kununua/kuuza kwa mwingine, na kama mtu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom