Bila shaka ukiambiwa utaje orodha za lebo kubwa za muziki barani Afrika, huwezi kuacha kuitaja WCB inayomilikiwa na mkali Diamond Platinumz wa hapa Bongo.
Kwa mwaka 2016, mbali na Diamond kutoa...
Hi all, this thread is specifically for the purpose of spreading as well as preserving the legacy of the late 2Pac Shakur, who to me was and still is the greatest poet, activist, actor, singer...
Niko youtube naangalia baadhi ya video chache za mwendokasi festival.... naona kama wamekula za uso maana watu ni wachache tofauti na matangazo na mategemeo
Wasalaam ndugu zangu.
Samahani nilikuwa ninashida na badhi ya nyimbo na mtandaoni nimetafuta sana lakini nimeishia kusikila kwenye East African Tube.
Nyingine nikizipata kiwango cha sauti kinakuwa...
July 30, 2016
Mzee King Kikii apanda Kivingine katika Tanzania Band Festival akiongoza bendi yake ya La Capitale a.k.a Wazee Sugu wakati wa tamasha la aina lake la Tanzania Band Festival 2016...
Sjui nini imooooo yani nakereka sana na huu upuuzi kidogo tu unasikia vinaitikia imoooooo nink sasa imooo?
Dah yaani huku kwetu marundwe kila kijana nae kashaanza imooooo.
Kuweni makini na...
Baadhi ya maneno ya wimbo huo ni maisha yako wewe ni ya kwako mwenyewe....unaweza kuamin au kutoamin. Badilika sasa...Ni kwaya flan hiv lakin si rc. ni wimbo wa nyuma kidogo. Msaada toka kwa...
Diamond Platnumz’s baby mama Zari took to Snapchat to share snaps making fun of her haters..
Read: VIDEO: Mafikizolo – Colors Of Africa ft. Diamond Platnumz & DJ Maphorisa
Diamond Platnumz’s Baby...
Filamu; Jason Bourne
Mkurugenzi- Paul Greengrass
Wahusika : Matt Damon, Tommy Lee Jones, Alicia Vikander, Vincent Cassel, Julia Stiles, na Riz Ahmed.
Umri wa kuangalia - kuanzia miaka 12A...
Jamni kuna hili sebene siku hizi hawaimbi ila ni vyombo tu Kwa kweli linanikosha sana ila sijajua linaitwaje yani hua nalisikia tu. Kwa wataalam wa masebene watakua wameshaelewa nazungumzia nini...
Habari wadau, naomba kwa anaeukumbuka wimbo wa fid Q nmeusahau jina ila ndani yake una maneno kama "mimi ni msanii" na "kioo cha jamii nawakilisha....." anitajie jina la wimbo.
Simaanishi Darubini...
Msanii mkali wa kutupia pamba Afrika mashariki Juma Jux jana aliachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la wivu,ngoma iko poa sana na video yake pia ni nzuri huyu jamaa uwa namkubari sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.