Msanii aliyeacha gumzo baada ya kupiga shoo Dar es salaam, karudi tena bongo na atapiga shoo Jijini Mwanza siku ya jmos, ikidhaminiwa na JEMBE NI JEMBE FM
Kupitia ukurasa wa Instagram Naytrueboy akanusha kua BASATA haijaufungia wimbo wa shika adabu yako walio ufungia ni walee walio chanwa ndani ya wimbo huo,,, ShikaAdabuYako
Karibu mkuu, itueleze nyimbo au movie ambazo zilikugusa au zinakugusa zikiambatana na matukio ambayo huwezi yasahau. Yaani unazigawanya kama ifuatavyo: Juzi=ya zamani kabisa kwa upande wako...
Niona bora ku-share hizi hot tunes, maana hii mix ni balaa, humu ndani kuna Jah Cure, Zamunda, Chevaughn, JahMelia, Wayne Wonder, Lutah Fyah na wengineo karibu uburudike.
Mimi nilikuwa ni mmoja wa watu waliokubali ushawishi mkubwa wa Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a. Sugu juu ya unyonyaji na negatives nyingine nyingi zinazofanywa na Redio hii dhidi ya wasanii.
Tangu...
so far wasanii wengi sana wa hapa tz wanaimba songs zisizo na maana, na si hilo tu bali hata majisifu yasiyo na maana, FA kato wimbo wa Ameen na Ameen - Mwana FA ft Dully Sykes & AY | Muziki.net ...
Habari wanajamvi,natamani tuinue na kukuza mziki wetu.
Naomba tulitumie jukwaa hili kuwa impress wasanii wetu.
Hapa tutafanya nini na nini?
1.Tutajadili kila wimbo mpya utakaokuwa ukitolewa na...
Kuna wasanii ambao wanajua muziki sana hapa Africa to the extent,
Sema media imetawaliwa na watu wa aina fulani hivi huwa hawasikiki.
Ukiachana na Legends Kina Makeba, Yossou N' Dour, Fela Kuti...
Habari wana Jf, ni siku nyingine tena ambayo tumepata kibali mbele za mwenyezi Mungu kuishi tena, siii kwa akili zetu wala kwa ujanja wetu kufika hapa tulipo bali ni kwa NEEMA tuu,
leo naomba...
Habari zenu waungwana,
Msanii bora wa RnB Tanzania ambaye nyota yake inazidi kung'aa siku hadi siku amekuja na kiba kipya kinaitwa Love Potion. Kulingana na ukurasa wake wa Instagram Belle9...
Nimeona one episode ya hii series..
Cuba Gooding Jr as O J Simpson
John Travolta as Robert Shapiro
David Schwimmer as Robert Kardashian
Naona hii series itakuwa big hit
kuna mtu kashaitazama...
Ni jinsi gani??ni namna gani tutaishi duniani paka siku tunasema buriani,jamaa anaimba kwa lafudhi ya kichaga Hiv,MASAWE alikuepo,kimaro alikuepo,mushi alikuepo kawataja wengi sanaa!!
Familia ya aliyekuwa kiongozi wa waasi nchini Angola Jonas Savimbi imewashtaki watengezeji wa filamu ya Call of Duty kuhusu vile ilivyomuangazia katika mchezo huo wa video.
Watoto 3 wa Savimbi...
Jamani Mrisho Mpoto amenishinda...
Huu wimbo wake mpya wa Sizonje naupenda japo nimejitahidi kuuelewa ila hadi sasa sijafanikiwa kuelewa hata mstari mmoja wa shairi lake.
Naomba tusaidiane hapa...
Hivi ni utaratibu gani hutumika katika kuuziana kazi ya sanaa iwe nje au hapa nyumbani, mfaano mtu ana nyimbo au story ya movie taratibu gani hutumika kununua/kuuza kwa mwingine, na kama mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.