mareeTZ
Senior Member
- Jun 4, 2015
- 171
- 179
Jana nimecheki movie moja la jamaa linaitwa THE EQUALIZER yani unyambisi aloonesha humo hadi mtu unasisimka yani, jamaa kacheza vizur sana yani mtu unawekewa stopwatch na kuesabiwa muda wa kuadhibiwa yani dah kwa wapenzi wa movie za action na UBABE mwingi tafuteni hili picha