Ushujaa wa RUBY

Ushujaa wa RUBY

Playboy

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2011
Posts
1,170
Reaction score
945
Alichokifanya Ruby mimi kwangu ni kama ushujaa. Tatizo ambalo watu wengi wana mlaumu ni kwamba umri alio nao ndani ya sanaa hakustahili kufanya hivyo kwani ni mapema. Mimi binafsi naona ni mda sahihi kwani unapoona unaonewa haijalishi ni umri gani unao ili ureact, kitu nacho kiona hapa ni kwamba wasanii wengi hupata malipo kiduchu lakini huogopa kufunguka coz watakosa airtime, ninacho mshauri mdogo wangu Rubby kama uneamua kuyatapika matapishi kamwe usiyarudishe mdomoni kwani tutakuzarau, mimi kwa ushauri tu mfuate dada yako Jide akupe muongozo jinsi ya kupambana bila kutegemea hao wanyonyaji……. NAWAKILISHA ,, WAWEZA COMMENT ..
 
Aachane nao maana jamaa ni kupe wasiosikia dawa ya kuulia wadudu.
 
Mleta uzi utanisamehe kama utaweza kutia nyama katika bandiko lako ingekuwa vizuri.
 
Jamaa watamfanyia fitna ili kumpoteza,huyu binti ajipange mno kupambana la sivyo atapotea
 
Jamaa watamfanyia fitna ili kumpoteza,huyu binti ajipange mno kupambana la sivyo atapotea
Uzuri wa game kama hizi yeye huyo Rubby anahitai kufanya kitu msg sana cha kussuport upande pinzani then kikubwa kitafanywa na wakubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom