Huu wimbo wa Beka Ibrozama kwa kweli ni wa "level" nyingine,unasikilizwa na kupigwa hata katika kumbi kubwa za miziki nje ya nchi.Juzi nilikuwa sehemu ukapigwa watu wengi walidhani itakuwa ni...
Wadau,
Nimekuwa nikiutafuta wimbo niupendao sana Mapenzi ya Siri, ulioimbwa na mmoja wa waimbaji mahiri sana Hussein Jumbe. Tafadhali kama unao wimbo huu nitupie hapa na utakuwa umenisaidia sana...
Dakika na Sekunde yoyote kuanzia sasa Kijana Mtanzania ambaye hajawahi kutuangusha kimuziki atadondosha Video yake mpya aliyomshirikisha Msanii kutoka South Africa, AKA ambaye ndiye rapper bora...
Zigo ‘remix’ (AY ft Diamond) yafungiwa, AY afunguka.
Video ya Wimbo wa Zigo "remix" ulioimbwa na AY akimshirikisha Diamond Platnumz imepigwa marufuku kupigwa katika vituo vya televisheni.Uamuzi...
Najua mtakapoona kichwa cha thread mtashangaa kulikoni tena WoS!
Ndio hivyo tena. Wikiendi ndo inanukianukia.. Hebu nianze kuangalia viwanja gani vinafaa kwenda kutembelea ili kupunguza msongo na...
Wakuu Heshima kwenu!!
Mimi ni mpenzi sana tena "kindaki ndaki" wa mieleka ya kimarekani hususani WWE na TNA.
Kwangu nina king'amuzi cha DSTV na humo kuna channel 250 ( e - Africa). Hawa wakati...
Jamani kwa mwenye hizi nyimbo mbili za taifa letu pendwa Tanzania naomba aniwekee.
-Ya kwanza ni hii, Tanzania Nakupenda Kwa Moyo Wote.
-Ya pili ni hii, Tazama Ramani
Msaada wenu wakuu!
Tuzo za Grammy zinaheshimika sana nchini Marekani. Host wa show alikua mzee mzima mwenyewe, L. Cool J. Walioshinda ni wengi kdogo na category ni nyingi kidogo ila hapa nimejaribu kuwaweka wale...
Wakuu nashukuru kibao cha Maya nimekipata......tuendelee na burudani....kuna mtu mwenye kibao cha Tulizaliwa sote kilichopigwa na Hamza Kalala atupostie tupate burudani zaidi.....nilikuwa nacho...
TIMES FM RADIO on Fri, 02/19/2016
Rais John Magufuli ametangaza neema kwa wasanii ikiwemo kuamuru Mamlaka ya Mapato (TRA) kufanya operesheni maalumu dhidi ya kazi za wasanii za nje ya nchi...
Wakati wengine wanawaza ngoma zao kupigwa Chanell O na Trace ambazo kimsingi ni maalum kwa ajili ya burudani habari ni kwamba Ngoma Lupela ya King Kiba imepigwa kwenye Chanel ya CCTV ambayo...
Ngoma imevuja kwenye hii link-(MyNotjustok - Download Track) by the way nime-upload kuipata hapa jamii forum enjoy.....
Namkubali Alikiba ni mtunzi mzuri ni mwimbaji mzuri na ana sauti nzuri...
wana jf habarin hope you are fine.leo nataka tujuzane na tushee idea na kukumbushana nyimbo hizi kutoka katika visiwa vya carribean.nchi za visiwa vya carribean ni kama vile...
Nimeona vipande vya hii filamu ya wale wafanyakazi wa mgodini 33 waliofukiwa kipindi kile.
Kifupi hii filamu inaonekana kali sana ila vipande viko you tube na hawajaweka full movie hivyo kwa...
Its about time Bongo Gets a taste of good Music.
We have many many rappers but very few poets.
Media mediocrity trying to destroy hip hop.
The fountains of wisdom are drying up, and all we hear is...
mwenye kujua jina la wimbo huu anisaidie au kama kuna link yake naweza kuipata ntashkuru, wimbo huo ameimba jose mtambo ft roma & darasa, kuna mstar roma anasema 'rafiki wa mlinzi wa geti, ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.