Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Huu wimbo wa Beka Ibrozama kwa kweli ni wa "level" nyingine,unasikilizwa na kupigwa hata katika kumbi kubwa za miziki nje ya nchi.Juzi nilikuwa sehemu ukapigwa watu wengi walidhani itakuwa ni...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wadau, Nimekuwa nikiutafuta wimbo niupendao sana Mapenzi ya Siri, ulioimbwa na mmoja wa waimbaji mahiri sana Hussein Jumbe. Tafadhali kama unao wimbo huu nitupie hapa na utakuwa umenisaidia sana...
0 Reactions
7 Replies
11K Views
Dakika na Sekunde yoyote kuanzia sasa Kijana Mtanzania ambaye hajawahi kutuangusha kimuziki atadondosha Video yake mpya aliyomshirikisha Msanii kutoka South Africa, AKA ambaye ndiye rapper bora...
16 Reactions
326 Replies
54K Views
Zigo ‘remix’ (AY ft Diamond) yafungiwa, AY afunguka. Video ya Wimbo wa Zigo "remix" ulioimbwa na AY akimshirikisha Diamond Platnumz imepigwa marufuku kupigwa katika vituo vya televisheni.Uamuzi...
1 Reactions
117 Replies
17K Views
Najua mtakapoona kichwa cha thread mtashangaa kulikoni tena WoS! Ndio hivyo tena. Wikiendi ndo inanukianukia.. Hebu nianze kuangalia viwanja gani vinafaa kwenda kutembelea ili kupunguza msongo na...
1 Reactions
109 Replies
16K Views
Wakuu Heshima kwenu!! Mimi ni mpenzi sana tena "kindaki ndaki" wa mieleka ya kimarekani hususani WWE na TNA. Kwangu nina king'amuzi cha DSTV na humo kuna channel 250 ( e - Africa). Hawa wakati...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
deleted
0 Reactions
0 Replies
726 Views
Jamani kwa mwenye hizi nyimbo mbili za taifa letu pendwa Tanzania naomba aniwekee. -Ya kwanza ni hii, Tanzania Nakupenda Kwa Moyo Wote. -Ya pili ni hii, Tazama Ramani Msaada wenu wakuu!
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Hivi watalaamu kuhusiana video za kushoot na kurecord. Kuna utofauti hapo? Je #Sizonje ya Mrisho Mpoto-Video yake kashoot ou karecord?
0 Reactions
1 Replies
801 Views
Tuzo za Grammy zinaheshimika sana nchini Marekani. Host wa show alikua mzee mzima mwenyewe, L. Cool J. Walioshinda ni wengi kdogo na category ni nyingi kidogo ila hapa nimejaribu kuwaweka wale...
4 Reactions
139 Replies
12K Views
Wakuu nashukuru kibao cha Maya nimekipata......tuendelee na burudani....kuna mtu mwenye kibao cha Tulizaliwa sote kilichopigwa na Hamza Kalala atupostie tupate burudani zaidi.....nilikuwa nacho...
0 Reactions
26 Replies
15K Views
TIMES FM RADIO on Fri, 02/19/2016 Rais John Magufuli ametangaza neema kwa wasanii ikiwemo kuamuru Mamlaka ya Mapato (TRA) kufanya operesheni maalumu dhidi ya kazi za wasanii za nje ya nchi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nilikua napenda kufahamu wadau kati ya subwoofer na dvd home theater ipi ni bora zaidi ya nyingine na kwa ubora gani?
3 Reactions
13 Replies
4K Views
Wakati wengine wanawaza ngoma zao kupigwa Chanell O na Trace ambazo kimsingi ni maalum kwa ajili ya burudani habari ni kwamba Ngoma Lupela ya King Kiba imepigwa kwenye Chanel ya CCTV ambayo...
3 Reactions
98 Replies
13K Views
Ngoma imevuja kwenye hii link-(MyNotjustok - Download Track) by the way nime-upload kuipata hapa jamii forum enjoy..... Namkubali Alikiba ni mtunzi mzuri ni mwimbaji mzuri na ana sauti nzuri...
2 Reactions
530 Replies
70K Views
wadau naomba mwenye video ya kiba lupela anitumie hata kwa whatsup au apost hapa hapa jf msaada wajameni
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wana jf habarin hope you are fine.leo nataka tujuzane na tushee idea na kukumbushana nyimbo hizi kutoka katika visiwa vya carribean.nchi za visiwa vya carribean ni kama vile...
5 Reactions
77 Replies
9K Views
Nimeona vipande vya hii filamu ya wale wafanyakazi wa mgodini 33 waliofukiwa kipindi kile. Kifupi hii filamu inaonekana kali sana ila vipande viko you tube na hawajaweka full movie hivyo kwa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Its about time Bongo Gets a taste of good Music. We have many many rappers but very few poets. Media mediocrity trying to destroy hip hop. The fountains of wisdom are drying up, and all we hear is...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
mwenye kujua jina la wimbo huu anisaidie au kama kuna link yake naweza kuipata ntashkuru, wimbo huo ameimba jose mtambo ft roma & darasa, kuna mstar roma anasema 'rafiki wa mlinzi wa geti, ni...
0 Reactions
0 Replies
820 Views
Back
Top Bottom