Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nimefuatilia sana hawa wakali wawili, nikaona sio mbaya nikawashirikisha wadau wanaowafahamu, hebu tuambizane kati yao ni nani mkali zaidi ya mwingine?
3 Reactions
146 Replies
18K Views
Nitajie nyimbo zako bora kabisa za kipindi hiki. Za kwangu ni hizi hapa I Took A Pill In Ibiza-Mike Posner Hands to myself - Selena Gomez Back to sleep - Chris Brown Dope - TI Hide...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Kundi la muziki la Wapancras linalojumuisha wasanii ndugu, Mecrass na Payus, la Jijini Mwanza, limeachia wimbo mpya uitwao "Nitunzie Siri", wakimshirikisha Abuu Mkali. Wimbo umetengenezwa pande...
0 Reactions
1 Replies
969 Views
Huyu mtangazaji wa RFA,sidhani kama kuna Redio DJ anayemfikia kwa sasa unapozumgumzia miziki ya bolingo, Yeye hupiga zile nyimbo kali ambazo wapenzi wa muziki huu,hatujasikia muda mrefu au...
3 Reactions
1 Replies
3K Views
hbr wana jf,mwenye wimbo wa hussein jumbe wa mapenzi ya siri naomba anipatie tafazali....
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Binafsi navutiwa na uigizaji wa wahindi haswa kwenye ile tamthalia ya binti kipofu Sandhya. Kwa wapenzi wenzangu wa hii tamthilia karibuni tubuni yatakayoendelea
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni ngoma mpya ya Sauti Sol Ft Alikiba, ni ujio mpya wa Alikiba aliyumba akateleza lakini hakuanguka Ni wimbo ambao wamteundea haki mpaka kwenye video zake zote Tofauti na wakongwe wengine Kiba...
3 Reactions
47 Replies
4K Views
koffi olomide baada ya kutoka korokoroni amerudi na shoo.
0 Reactions
0 Replies
962 Views
Habari wana JF. Nimeona niwasilishe hili dukuduku langu kwenu tulichambue ili tujue tunawasadiaje hawa wasanii wa Bongo Movies. Hawa watu mara nyingi huwa wanatengeneza filamu zenye jumbe...
0 Reactions
0 Replies
733 Views
Hii kona ni kwa ajili ya kukumbushana mangoma ya wasanii wa kundi mahiri enzi hizo la East Coast haswaa yale za zamani, nyimbo za wasanii kama GK,AY,FA,O-10,Snare,Buff G,Pauline Zongo,etc.Pia...
4 Reactions
38 Replies
14K Views
Kwa vipindi vinavyoruka kilasiku hiki ni kipindi bora zaidi kwangu cha masuala ya burudani, kuanzia Graphics, Background natural anayoitumia host na Content kwa ujumla, ukikiangalia huwezi...
7 Reactions
41 Replies
5K Views
MTUNZI; NDUGU KAGUTA UTANGULIZI. Jioni ya jumatano ya tatu ya kwanza mwezi machi mwaka huu, haina tofauti na siku nyingine kwa wakazi wa jiji kubwa na maarufu nchini Tanzania.Machweo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Uzi huu utakuwa maalum kwa sisi washabiki, wapenzi, wanaomtakia mema na bila kusahau wanaomchukia Dada huyu nguli wa Bongo Fleva. Karibuni tujumuike ... #Shi...Shi! #Shilole #ShihiBaby...
1 Reactions
156 Replies
41K Views
Dropbox - 13426763_527728660770296_203883114_n.mp4
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Kuna series inaitwa Unguarded hapa African Movie Series, kwakweli inafundisha sana. Kwa wale wanaoweza kutazama ni vyema tukatazama tujifunzage kwakweli. Usiku mwema na Njozi njema kwenu mnaota...
0 Reactions
2 Replies
783 Views
Msaada unawezaje Kuhack subway surfer game on android ili kupata unlimit krys & coins
0 Reactions
16 Replies
1K Views
1.Mikel Ruffinelli Ni mama wa watoto wanne mjini califonia marekani,ana miaka 39 na hips zake ni 100 inches akiwa na kiuno cha 4o inches....Haya sasa wale wemzangu na mimi mnaopenda naniiiiliu...
1 Reactions
10 Replies
7K Views
Nipo nasikiliza kipindi cha usiku wa Millenia kupitia Radio Free Africa mi ni mpenzi sana wa nyimbo za zamani Mtangazaji wa kipindi hiki ni Wambura Mtani nimeshtushwa na taarifa aliyoisema Hussein...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Wadau kwa yeyote mwenye vichekesho vya hawa watu anisaidie.
0 Reactions
3 Replies
9K Views
Back
Top Bottom