Binafsi navutiwa na uigizaji wa wahindi haswa kwenye ile tamthalia ya binti kipofu Sandhya.
Kwa wapenzi wenzangu wa hii tamthilia karibuni tubuni yatakayoendelea
Ni ngoma mpya ya Sauti Sol Ft Alikiba, ni ujio mpya wa Alikiba aliyumba akateleza lakini hakuanguka
Ni wimbo ambao wamteundea haki mpaka kwenye video zake zote
Tofauti na wakongwe wengine Kiba...
Habari wana JF.
Nimeona niwasilishe hili dukuduku langu kwenu tulichambue ili tujue tunawasadiaje hawa wasanii wa Bongo Movies. Hawa watu mara nyingi huwa wanatengeneza filamu zenye jumbe...
Hii kona ni kwa ajili ya kukumbushana mangoma ya wasanii wa kundi mahiri enzi hizo la East Coast haswaa yale za zamani, nyimbo za wasanii kama GK,AY,FA,O-10,Snare,Buff G,Pauline Zongo,etc.Pia...
Kwa vipindi vinavyoruka kilasiku hiki ni kipindi bora zaidi kwangu cha masuala ya burudani, kuanzia Graphics, Background natural anayoitumia host na Content kwa ujumla, ukikiangalia huwezi...
MTUNZI; NDUGU KAGUTA
UTANGULIZI.
Jioni ya jumatano ya tatu ya kwanza mwezi machi mwaka huu, haina tofauti na siku nyingine kwa wakazi wa jiji kubwa na maarufu nchini Tanzania.Machweo...
Uzi huu utakuwa maalum kwa sisi washabiki, wapenzi, wanaomtakia mema na bila kusahau wanaomchukia Dada huyu nguli wa Bongo Fleva.
Karibuni tujumuike ...
#Shi...Shi!
#Shilole
#ShihiBaby...
Kuna series inaitwa Unguarded hapa African Movie Series, kwakweli inafundisha sana. Kwa wale wanaoweza kutazama ni vyema tukatazama tujifunzage kwakweli. Usiku mwema na Njozi njema kwenu mnaota...
1.Mikel Ruffinelli
Ni mama wa watoto wanne mjini califonia marekani,ana miaka 39 na hips zake ni 100 inches akiwa na kiuno cha 4o inches....Haya sasa wale wemzangu na mimi mnaopenda naniiiiliu...
Nipo nasikiliza kipindi cha usiku wa Millenia kupitia Radio Free Africa mi ni mpenzi sana wa nyimbo za zamani Mtangazaji wa kipindi hiki ni Wambura Mtani nimeshtushwa na taarifa aliyoisema Hussein...
Natamani niandae tamasha kubwaa sana la wasanii wetu wa bongo fleva lakini wa nyuma sio wa sasa hivi na waimbe nyimbo zao za nyuma angalau mwisho 2010 hivi..
Binafsi nimegundua nyimbo za zamani...
Kikundi cha tatu nane ni moja ya vikundi vichache vya Sanaa ambavyo viliibuka mwanzoni mwa miaka ya tisini.
Kikundi hiki kilimujuisha kundi la waliokuwa wanafunzi wa chuo cha Sanaa cha Bagamoyo...
Habar wakuu,
Msaada kwa yeyote mwenye masoko ya nje au ya ndani kuhusu performance za stage, nina groups za burudan hizo.mwenye kuhitaj au mwenye masoko zaid tuongee nahitaj udhamin. Sante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.