Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

RIWAYA: Jina NA: Frank Masai. SEHEMU YA 2. ENDELEA. Warusha ndege waliingia ndani ya Jet P 112, na kufunga mikanda yao. Na nyuma yao, walikaa Montana na watu wake. Wakashauriwa nao wavae mikanda...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
leo asubuhi wakati wa BP ulipigwa wimbo wa ben paul jikubali, kwenye verse ya kwanza kuna maneno yalifichwa, ikabidi niutafute huo wimbo nisikilize vizuri sehemu gani ni offensive, kwa namna...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Kipekee huwa nakubali ile ya Wagosi wa kaya lile song lao la tax yangu umempa deiwa! Tax yangu umempa deiwaka deoooooo bosi akijua itakuaa kimeoooo! Na ile ya Mandojo na Domo kaya ile sema basi...
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Yeah wakuu, been longtime since we did this na ule uzi tulikua tunafanya kushare punchlines (freestyles) design umekua outdated kidogo hence I thought tunaweza create mpya to show some skills...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Saying I love you, Is not u the words, I want to hear from you, It's not that I want you, Not to say but if you only knew, How easy, it would be to show me how you feel, More than words, is...
1 Reactions
5 Replies
818 Views
Star wa bongo flava Alikiba anayefanya vizuri na ngoma yake ya `aje' ,imetangazwa kuwa number #1kwenye playlist ya streaming app iitwayo Deezer's Africa rising playlist ambayo makao makuu yake ni...
3 Reactions
0 Replies
749 Views
SIMULIZI: Jina NA: Frank Masai SEHEMU YA 1. "Ni siku nisizoweza kuzisahau. Ni siku zilizobadili maisha yangu na kuwa maisha mengine katika dunia hii. Siwezi kusahau, na siwezi kuthubutu kusahau...
2 Reactions
2 Replies
7K Views
Heshima mbele wakuu. Naomba msaada jinsi ya kudowload series ya American Odyssey. nasikia ninzuri sana ila nimejaribu torrent site zote nimekosa mwenye ujuzi tafadhali naomba msaada
0 Reactions
2 Replies
950 Views
Mkuu mshana jr nambie maneno hayo wamemaanisha nini?
0 Reactions
0 Replies
45K Views
ukiondo merlin,harrypoter,legend of sicker ni series gani nyingine za kutisha na zenye uchawi
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari wakuu, Nimesikia leo huu wimbo wa bongo fleva, una maneno haya "Tumetoka mbali sana baby, usisikilize maneno..." "Tumetoka mbali sana baby, usisikilize maneno..." "Na-na-na naaa.....na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Napata wapi movie ya akela and the bee kwenye simu yangu
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Niki wa pili salute bro, weusi big up. Nimekapenda kanyimbo, katamu sana Icheki hapa. Hataree weekend inaenda namalizia bia yangu ya mwisho hapa.
1 Reactions
6 Replies
3K Views
This is beyond extra ordinary! Huyu jamaa ameniogopesha aisee. Heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! Kwenye RnB huyu siyo King ni god; hana mpinzani aisee. Huyu jamaa sijui kaumbwaje, wengine wangekuwa...
11 Reactions
57 Replies
5K Views
Kwa wale mabingwa wa movie hasahasa za kichina leo nawaleta kwenu miamba wawili katika tasnia ya film nchini china, barani Asia na duniani kwa jumla Jet li na Jackie Chan yaani hawa jamaa...
1 Reactions
39 Replies
15K Views
Leo nimefungua cloudsfm yapata saa nne na nusu asubuhi nimekuta kipindi cha top 20 kama nafasi ya 15,Sasa nimeshangaa lakini ilipofika saa tano wakaanza tena nafasi ya 20.Je hivi vipindi kumbe...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
"Simba ni mlinzi mzuri zaidi kuliko mbwa, ndo maana yanga tulimpa kazi atulindie nafasi yetu ya kwanza ya ligi kuu kipindi tupo safari ya kimataifa. Tunakushukuru Mtani kwa msaada wako" UTANI...
3 Reactions
0 Replies
620 Views
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom