Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Natamani niandae tamasha kubwaa sana la wasanii wetu wa bongo fleva lakini wa nyuma sio wa sasa hivi na waimbe nyimbo zao za nyuma angalau mwisho 2010 hivi.. Binafsi nimegundua nyimbo za zamani...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wanajukwaa, Salam ITV Kuna tamthilia nzuri inaendelea. "Watch it"
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kikundi cha tatu nane ni moja ya vikundi vichache vya Sanaa ambavyo viliibuka mwanzoni mwa miaka ya tisini. Kikundi hiki kilimujuisha kundi la waliokuwa wanafunzi wa chuo cha Sanaa cha Bagamoyo...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habar wakuu, Msaada kwa yeyote mwenye masoko ya nje au ya ndani kuhusu performance za stage, nina groups za burudan hizo.mwenye kuhitaj au mwenye masoko zaid tuongee nahitaj udhamin. Sante
0 Reactions
1 Replies
994 Views
Well I don't really care what people say... I don't really watch what them want to do... Still I got to stick to my girls like glue... Damn! Damn! Damn! I miss the 2000s. Sean Paul was the...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kizuri husifiwa... wandugu huu wimbo wa mwanadada mauwa sama ama kweli ni mzuri, pongezi kwako msanii wetu kitu bora,nzuri,inavutia kusikilizwa,beat imetulia. pongezi pia kwa alietengeneza beat...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
1.Tatyana Kozhevnikov Ni mrusi ambae anacheza michezo ya sarakasi alievunja rekodi ya guiness,ana uwezo wa kubeba mpka kilo kumi na sita 16kg kwa kutumia sehemu zake za siri alifanya ivyo kwa...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Usizi... yemchaleni... isiyani stlala mbusile, oh mama.. Oh baba emsereveni.... ansilisile......
1 Reactions
4 Replies
41K Views
Let pretend that Tupac Shakoor is really dead. Haya ndio maajabu makuu mawili kuhusu kifo chake. 1. HE WAS KILLED BY A MAN WHO LOOKS LIKE HIM. Orlando Anderson , (...
0 Reactions
4 Replies
11K Views
Tupac kama tumjuavyo wote ni mmojawapo wa wataalam wa hip hop na Rap kwa pamoja ambaye hajawahi kutokea. Swali la burudani ni kuwa kama ni fan wake, je nyimbo gani ya 2pac unai-feel na reason it...
2 Reactions
91 Replies
16K Views
Rapper Kala Jeremiah ameachia video yake mpya wimbo unaitwa “Wanandoto”, amemshirikisha Mtoto wakike anaye itwa Miriam Chirwa, Video imeongozwa na Pablo. Soma:Jay Moe Afunguka kuhusu kutoka...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Nataka nitengeneze series Kali ya Kiintelligencia ya kibongo!! Iwe HD na yenye Technologia ya hali ya juu!! Lakini nilitaka ushauri nifanyeje jinsi ya kuuza hyo series baada ya kuimaliza niweze...
2 Reactions
71 Replies
6K Views
Mwanaume kbs unakua na selfstick, una powerbank.... Na kweny cmu yako una #camera360, ""Eeenhh, wewe unafaa pia kua na pedi kwenye waleti yako""...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Msanii Roma mkatoliki leo kaachia ngoma yake mpya ambayo kawashilikisha Darasa & Jose mtambo ngoma imefanyika tongwe record jina la ngoma ni KAA TAYARI, kiukweli ngoma iko poa jamaa wanajua sana...
2 Reactions
50 Replies
21K Views
Anaitwa Anna Swan alitokea canada,lakini alifariki mwaka 1888 akiwa na miaka 41. Alikuwa ni Jitu(Giant) maana akiwa na miaka 11 tu alkua na kilo 96 akiwa amezidiwa na mama yake urefu wa inchi...
1 Reactions
12 Replies
31K Views
Hii ngoma mpya ya Roma ft Jose mtambo na Darasa inaitwa "kaa tayari" daaaaaaa
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Huyu ndiye JUma Nature ninayemfahamu wa zaidi ya miaka 15 kwenye muziki huu wa Bongo Fleva...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wimbo mpya wa Juma Nature unaitwa Mtumba, ni moja ya ngoma ambazo zina asili f'lan ya muziki wetu. Kifupi naweza kusema huyu ndiye mkongwe Juma Nature ninayemfahamu tangu miaka 15 nyuma...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna tatizo gani wadau maana naona Clouds fm Radio hapa Shinyanga haipatikani hewani kwa zaidi ya wiki sasa. KpKama kuna tatizo, litaisha lini?Uongozi una taarifa hizo? Au ndio imeanza kufilisika...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Back
Top Bottom