Kumbukumbu ya kifo cha Michael Jackson

Kumbukumbu ya kifo cha Michael Jackson

el nino

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
4,712
Reaction score
5,072
Leo ni miaka mitano tokea mfalme wa pop afariki dunia....unamkumbuka kwa yapi....

1.Mwanamuziki wa kwanza mweusi kuingia ikulu ya marekani
2.Mgonjwa wa vitiligo maarufu zaidi(ugonjwa wa ngozi unaofanya ngozi kuwa nyeupe kwa madoa makubwa..hakujichubua)
3.mwanamuziki mwenye mafanikio zaidi
4.Mweusi wa kwanza mwanamuziki kutokea katika coverpage za magazeti makubwa Marekani
5 mwanamuzi aliyetoa misaada mingi zaidi..over 300 million dollarz.....
6.Mwanamuziki wa kwanza mweusi video yake kuchezwa katika channel za weupe..mfano Mtv..nyimbo Billie jean

hebu weka na yako...

attachment.php
 

Attachments

  • IMG_20140625_131055.jpg
    IMG_20140625_131055.jpg
    44 KB · Views: 2,243
 
Last edited by a moderator:
Duh!mara hii kafikisha miaka mitano?Ama kweli siku zinaenda sana
 
-msiba wa kwanza kuangaliwa na watu wengi live
-Jackson 5 ni kundi la kwanza kuingiza single tano tofauti no moja chart ya dunia
-Siku ya msiba wake google ilizidiwa kwa watu ku search
 
Kusema ukweli huyu jamaa nilikuwa namzimia sana
 
Leo ni miaka mitano tokea mfalme wa pop afariki dunia....unamkumbuka kwa yapi....

1.Mwanamuziki wa kwanza mweusi kuingia ikulu ya marekani
2.Mgonjwa wa vitiligo maarufu zaidi(ugonjwa wa ngozi unaofanya ngozi kuwa nyeupe kwa madoa makubwa..hakujichubua)
3.mwanamuziki mwenye mafanikio zaidi
4.Mweusi wa kwanza mwanamuziki kutokea katika coverpage za magazeti makubwa Marekani
5 mwanamuzi aliyetoa misaada mingi zaidi..over 300 million dollarz.....
6.Mwanamuziki wa kwanza mweusi video yake kuchezwa katika channel za weupe..mfano Mtv..nyimbo Billie jean

hebu weka na yako...

attachment.php
7: Kashfa ya Kuwala watoto wadogo TIGO lakini kesi zote akazipangua!
 
Alikuja bongo hakushuka kwenye ndege eti hewa ya Tanzania ni mbaya
 
Niliwahi sikia kama alikuja Kijitonyama/Sinza shule ya waliopungukiwa na akili
 
Daaa umenikumbusha mbali
song za Jackson zilikuwa nzuri
Alale mahal pema peponi
Ni kweli mkuu hizi songi nimezijua sababu ya mshua aliporudi kutoka majuu miaka ya 90 akaja nazo nyingi. Ndio mana nazijua sana songi za wakali wa zamani
 
Back
Top Bottom