Habari wakuuu aisee kuna nyimbo yaa hiphop soul ya stereo sijui inaitwaje ila amemshirikisha jamaa anaimba chorus kwa kiingereza hata jina la wimbo silijui ila mahadhi ni hiphop soul inafanana...
In first time through my priotire You can listen and download New Audio from Nigerian Man
Artist YoungB ft Alisco
Tittle BethDay
Visit To My Blog to download it
[/URL][/IMG][/IMG]
Katika ngoma mpya ya Roma aliowashirikisha wakali wengine, Jose na Darasa, kuna mistali kadhaa inaeleweka na mingine inahitaji tafakuri shirikishi ili kwa sisi wafuasi wa Hip Hop itupe ile kitu...
Habari kaka Dai, tangu nikufahamu sijawahi ona umefunikwa na msaanii yoyote katika korabo zako Hata za wanaija na wasauzi but huyu shemeji yako nadhani ni hatari kamali ndani ya safari...
hi guys..
its rastaman vibration sounds little in ur naughty ears....it ridim and we make em rivers flow with our roots flavours...if you feelin dis ting i want to hear you say yeeeeeeeeeeeeees...
Ni video ya mtu mzima drake,one dance,nimehangaika kadri ya uwezo wangu lakini sijaambulia kitu.Naomba kwa aliye na hii video au link ya ku-download anisaidie.
Niambie una movie gani mpya za 2016 kutoka Hollywood....
Kama unazo fanya kuzianika hapa tuweze kubadilishana maana ninazo nyingi tu kama Cell, Batman Vs Superman, The Brothers, Never Back Down...
Tukio kushangaza limetokea kwenye mgahawa wa msanii lady jayeed na kuzua hofu kwa watu walio kuwepo eneo la tukio mida ya saa nane usiku wa kuamkia leo(10/6/2013).
Ikiwa kawaida ya wapenzi wa...
Habari wana JF.
Nitumaini langu kwamba muwazima kabisa na kwa wale ambao wana matatizo flani basi msikone ndo maisha yetu hapa duniani kikubwa Mtumainie Mungu na timiza wajibu wako kikamilifu.
Leo...
Shukrani kwa Mungu kwa uwepo wa hiki kifanyikacho duniani japo kwenye maisha kuna mambo mengi yanayohusisha watu wengi ndani yake ila kuna muda unaweza ukajihisi mpweke katikati ya kundi la...
Wakuu wa burudani kwa yeyote yule aliye na series za empire na the 100 naomba anipm ili nimfuate .. nazihitaji hata kama kwa hela...nipo dar.
Akiwa na nyinginezo pia ambazo ni tamu itapendeza pia
habari zenu wana jf...
natumai mu wazima wa afya.
nimependelea kuwaita walimu wa muziki hapa ili watoe fundisho na dondoo mbalimbali za kuimba,
coz kwanza mimi binafsi napendelea sana kuimba hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.