Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,671
- 28,976
Ebwana wanaJF Mzuka!
Napenda kuwapa pole familia ya vijana wetu polisi pamoja na jeshi la polisi pamoja na watanzania wote kwa jumla kwa kuwapoteza vijana wetu na ndugu zetu mbagala jana usiku. Go to hell majambazi.
Huu wimbo JABULANI wa sauz si mgeni sana kwenu wanajamvi najua wengi mnaufaham. Nilikuwa nausikia sana redioni miaka ya nyuma. Muda wote huo nilidhan ni muafrika kusin mweus aliyeuimba.
Kwa mshtuko mkubwa jana kwenye YouTube nilipatwa na mshangao mkubw kudhan vibaya muda wote Kumbe aliyeuimba ni mwanamama mzungu muafrika kusini kwa jina la PjPowers
Ikanibidi ni dig deep kumgoogle nakugundua ana vibao vikali tu kama wozani na vingine vingi alivyomuimbia mzee wetu Mandela. Halafu Kumbe yuko kwenye gemu kitambo tuu miaka ya themanin huko.
Kisikilize hiki kibao hapo chini.
Napenda kuwapa pole familia ya vijana wetu polisi pamoja na jeshi la polisi pamoja na watanzania wote kwa jumla kwa kuwapoteza vijana wetu na ndugu zetu mbagala jana usiku. Go to hell majambazi.
Huu wimbo JABULANI wa sauz si mgeni sana kwenu wanajamvi najua wengi mnaufaham. Nilikuwa nausikia sana redioni miaka ya nyuma. Muda wote huo nilidhan ni muafrika kusin mweus aliyeuimba.
Kwa mshtuko mkubwa jana kwenye YouTube nilipatwa na mshangao mkubw kudhan vibaya muda wote Kumbe aliyeuimba ni mwanamama mzungu muafrika kusini kwa jina la PjPowers
Ikanibidi ni dig deep kumgoogle nakugundua ana vibao vikali tu kama wozani na vingine vingi alivyomuimbia mzee wetu Mandela. Halafu Kumbe yuko kwenye gemu kitambo tuu miaka ya themanin huko.
Kisikilize hiki kibao hapo chini.