Hizi show za singeli vipi tena, wanaume wanavaa madela

Hizi show za singeli vipi tena, wanaume wanavaa madela

Gulio Blog

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
3,056
Reaction score
4,124
Baada ya kuoneka mziki huu wa singeli kuja kasi na jamii kuupokea vizuri bado naziona changamoto. Kinachonifanya nianzishe uzi huu ni kutokana na kuwaona wanaume wamevaa madela huku wakikata nyonga kama Snura katika show ya muimba singeli maarufu anaejulikana kwa jina la Sholo Mwamba.

Jambo hili ni la kukera kama mtu umekuja kuangalia. Mbadilike waimba visingeli isije ikawa kama taarabu. Makonda ile kauli yako iwekee mkazo uitekeleze kwa vitendo tumechoka sasa!
 
Wanaume wa dar tumewachoka kama wameanza kuvaa madera ya dada zao kuna siku tutakuja kuona wameanza na kuvaa bikini na hizo burudani zenu za mashoga msituletee mikoani atuzitaki endeleeni kufanyia hukohuko kwa makonda
Pwani mara nyingi kuna mwingiliano wa watu na viumbe wa baharini, hawa viumbe wa baharini ndo wanaleta shida kwa wakazi wa pwani, mara popo bawa, mara .. wanaume kuitwa shangazi ... sasa kwa mavazi haya ... sina neno.
 
Baada ya kuoneka mziki huu wa singeli kuja kasi na jamii kuupokea vizuri bado naziona changamoto. Kinachonifanya nianzishe uzi huu ni kutokana na kuwaona wanaume wamevaa madela huku wakikata nyonga kama Snura katika show ya muimba singeli maarufu anaejulikana kwa jina la Sholo Mwamba.

Jambo hili ni la kukera kama mtu umekuja kuangalia. Mbadilike waimba visingeli isije ikawa kama taarabu. Makonda ile kauli yako iwekee mkazo uitekeleze kwa vitendo tumechoka sasa!

Tupia kapicha basis tuone ujinga was wanaume was daa.
 
dah kweli haya mapinduzi wa tasnia ya muziki unapoelekea pabaya kama kweli vidume wanavaa madela
 
Hapo Serikali watanyamaza tu huu upuuzi uenee, wakijashtuka tayari maadili yashaharibiwa kwa kiasi fulani.
 
Wanaume wa Dar mmechoka kuvaa suruali na hereni za dada zenu sasa mmehamia katika madera... Kweli mmelaaniwa.

Huko ufirauni wenu mbaki nao huko huko Dar.... Mwanaume rijali hawezi kuvaa dera...
 
Na hiyo mifiesta yao plzz wasituletee visingeli kaskazini hasa moshi na chuga
 
Baada ya kuoneka mziki huu wa singeli kuja kasi na jamii kuupokea vizuri bado naziona changamoto. Kinachonifanya nianzishe uzi huu ni kutokana na kuwaona wanaume wamevaa madela huku wakikata nyonga kama Snura katika show ya muimba singeli maarufu anaejulikana kwa jina la Sholo Mwamba.

Jambo hili ni la kukera kama mtu umekuja kuangalia. Mbadilike waimba visingeli isije ikawa kama taarabu. Makonda ile kauli yako iwekee mkazo uitekeleze kwa vitendo tumechoka sasa!
Ubunifu unakwenda mrama
 
Back
Top Bottom