Melvine
JF-Expert Member
- Apr 3, 2013
- 719
- 1,385
Kwanza kabisa naweka swala ilo sawa,chini ni email inayoonesha kwamba kuna watu wana'deal na biashara ya Kuboost FOLLOWERS on Instagram lakini kuchukua iyo evidence naamini kabisa basi hata mtandao wetu pendwa wa YOUTUBE basi hata VIEWERS wananunuliwa pia.
PKP alimashutumu CHIBU kwa tuhuma hzo za manunuzi ya Viewers wa Youtube na akasema kwa kupaza sauti ikiwa na maana kwamba anajua ukweli.
Inshu ikaenda mbali Mwakilishi wa YOUTUBE wa EastAfrica (kama sikosei) akakanusha kwamba ilo swala halipo.
Ukisikiliza na kuangalia utajua kuna vitu anaficha.
Ebu Tazama hii ScreenShot ya email niliyotumiwa (hii chukua kama ni ushaidi wa picha)
NB:
Mim sijui ukwel ni upi kati ya aya mambo ila Mungu anawaona kwa wizi wao wa akili zetu na utashi wetu kuona kana kwamba wanapendwa kumbe la!
Bye.!
PKP alimashutumu CHIBU kwa tuhuma hzo za manunuzi ya Viewers wa Youtube na akasema kwa kupaza sauti ikiwa na maana kwamba anajua ukweli.
Inshu ikaenda mbali Mwakilishi wa YOUTUBE wa EastAfrica (kama sikosei) akakanusha kwamba ilo swala halipo.
Ukisikiliza na kuangalia utajua kuna vitu anaficha.
Ebu Tazama hii ScreenShot ya email niliyotumiwa (hii chukua kama ni ushaidi wa picha)
NB:
Mim sijui ukwel ni upi kati ya aya mambo ila Mungu anawaona kwa wizi wao wa akili zetu na utashi wetu kuona kana kwamba wanapendwa kumbe la!
Bye.!