Habarini!
Kama tunavyo fahamu kuwa JF ni sehemu ambayo mamillion ya watu wanapita hapa! Ningeomba huu uzi uwe maalumu kwa ajiri ya kuwasupport wasanii wanao chipukia! Katika Muziki! Najua tupo...
Haya sasa Wale wadau wote tunaofuatilia msimu wa Tano wa maisha plus tumwagike hapa kuwachambua washiriki kwa namna wanavyoishi ikiwa na pamoja na umuhimu wa mshiriki mmoja mmoja na sio mbaya...
Naona music videos nyingi za wasanii wetu zinatengenezwa SA, ndio kusema directors wetu hapa hawana viwango au location za huko ndio zinawavutia?! Tena hata video quenns wengine wanatumia wazungu...
Washiriki 16 waliongia hatua ya 16 Bora Leo wanachuana katika hatua ya Mwisho kutambua Nani ataibuka na shillingi Milioni 30:
Azam TWO watakuwa live saa 3 Kamili Usiku
Hebu tubashiri kidogo...
Kwenye kipindi cha Friday night live kinachorushwa na East Africa Tv kuanzia saa tatu mpaka saa tano usiku ..Blue alipokua anahojiwa na Sam Misago kuhusu
matumizi ya madawa ya kulevya alidai kua...
Utamaduni ni kitu cha ajabu sana. Hivi ushawahi kuangalia jinsi King Mswati anavyotafuta jiko. Ni utamaduni wa aina yake. Utamaduni wao wa kila mwaka umekuwa ukivutia watu kutoka mataifa...
Anaitaji kudownload Series ya Empire cast season 2&3. Mwenye links tafadhali.
Pia naitaji kudownload Series ya STEAK BACK Season 4&5 na 6. Mwenye links Tafadhali,
jamanii nipo Serious kwenye...
Tunaambiwa "if you can't beat them ,join them". Hivo ndivyo ilivyo kwa hapa bongo. Tukubali, tukatae au tuwachukie ila truth will set you free. Clouds media ni wapo juu sana kuliko media yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.