Wakuu Kwema .
Moja kwa Moja.
Ni hii movie ya kijana Mmoja Alikua anauza madawa ya Kulevya , alikua na Asili ya watu wa Bara la Asia,baadae akaja akakamatwa airport sijui nii ya nchi gani ,lakini...
Habari wakuu! Kama kuna mtu ana softcopy ya kitabu au hadith yoyote nzuri za kiswahili zile zilizokamilika! Sio za ...itaendelea toleo lijalo.... nataka iwe mwanzo mwisho,anisaidie kwani kuso6a...
Kwa wale wanaofuatilia PB ya clouds FM mtakuwa mmesikia hili tukio la leo kati ya KP na Barbra Hassan. Inaonesha KP alikuwa anamtomasa huyu mama (labda kwa bahati mbaya au kwa kukusudia). Baada ya...
mistari aliyoimba kwenye wimbo wake mpya unaoitwa muda wetu
kuna line inasema "hivi mnamuabudu Mungu gani asiyewajibu kila siku,bora muwe wapagani ka vipi muabudu kuku..Mungu wangu yuko fasta...
Wadau hii tamthilia ilirushwa na TBC (wakati ule ikiitwa TVT) mwaka 2004. Nimejaribu kuitafuta mtandaoni kwa miaka mingi ila naipata ikiwa ktk lugha ya spanish, tafadhali kwa yeyote anayeweza...
Wadau wa masebene nadhani mtakubaliana nami kuwa katika kizazi cha muziki wa Congo saizi huwezi kuzungumza bila kumtaja Werrason au Fally Ipupa.
Hawa wote ni wakali mbaya, ukianza na Werrasson...
1. Endless Love (Soundtrack Version) , Diana Ross & Lionel Richie
2. I'll Make Love to You, Boyz II Men
3. You Needed Me, Anne Murray
4. Be Without You, Mary J. Blige
5. We Found Love, Rihanna...
Huyu dada ana nyimbo kali mpya inaitwa kismet, ila nimeshindwa kuiweka hapa.Tangia aanze kuimba bongo fleva akichanganya na staili nyingine amekuwa mkali.
Mwenye kuweza kuiweka hapa aiweke...
MTAZAMO WANGU KUHUSIANA NA WIMBO WA IM SORRY JK.
________________________________
Kufuatia msanii Nick Mbishi kuitwa BASATA kwa kile kinachoelezwa kwamba kuhojiwa kutokana na nyimbo yake ya Im...
SORRY JK".... Nicki Mbishi.
Hook:
It will one day make sense/Nikisema hakuna president kama JK/
Tanzania inakumiss yaani daily/
Kwa niaba ya wabongo I'M SORRY JK/
Lyrics:1
I'm sorry JK nimeona tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.