Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Tamaa iliwaponza... byebye
1 Reactions
24 Replies
3K Views
bonge la noma mjini
0 Reactions
1 Replies
622 Views
Mbali na wasanii wa hapa nyumbani Afrika. Kuna huyu jamaa anaitwa Rag'n'Bone Man ndiye msanii ambaye nimetokea kumpenda sana kwa mwaka huu 2017. Ni moja ya wasanii ambao wanaimba vitu ambavyo...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za usiku wana JF? Nilikuwa naomba kama kuna mtu yeyote Anaoujua wimbo wa kwaito ambao unapigwa sana kwenye harusi na hata masherehe ambao kiitikio ni sauti ya kike inaitia Nakupendaa aah...
0 Reactions
1 Replies
608 Views
1 Facebook Photo © Adam Berry / Getty Images Most of us already know that Facebook is the top social network on the web. It's a thriving beast of a social networking site on the web with over...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hivi hii nyimbo ya do you mind ya DJ Khalid na wasanii kibao mbona ni crazy!!!! Nick minaji kweli unavaa hivi ujue Mungu anakuonaaaaa.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kipindi cha Ujana wangu nilipo kua nafwatilia mziki kwa ukaribu sana hasa wa Hiphop hapa Bongo P funk alikua ni the best producer kwani katika top ten chart ulikua unakuta nyimbo nane au tisa...
0 Reactions
72 Replies
11K Views
Bondia mwenye akili nyingi sana ulingoni jimmy floyd "money" maywether, This time anapanga kupigana na bondia mwingine tena wa UK.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wandugu, kwa heshima na taadhima naomba kwa mwenye wimbo wa Captain Komba (RIP) wa "The wind of Change". Wimbo huu umeimbwa mwanzoni mwa miaka ya 90's na ulihusu mageuzi na kuanzishwa kwa vyama...
1 Reactions
0 Replies
814 Views
Miss World imeingia kwenye skendo nzito. Ni baada ya kuingizwa mkenge na Miss Kenya, 2016, Evelyn Njambi aliyewasilisha video ya masuala ya ukeketaji kwaajili ya shindano la Beauty With Purpose na...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Muda huu mpira umeisha na wekundu wa msimbazi wamenusurika mdomoni mwa watoto wa Mwanjelwa nw Soweto. Ni baada ya refa kuhakikisha anawasaidia katika kutimiza ile kampeni ya Simba awe bingwa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Jaman eeeh yoyote mwenye uelewa anieleweshe ivi hii movie ya moonlight ina maudhui gani maana me sielewi kabsaaa wana jf mwenye uelewa na ambae ameshaiona
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimeikubali sana hii ngoma inaonyesha jamaa habahatishi. Kaka umetisha nasubiria official release. =======================================
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Pamoja na matatizo yake ya madhara ya madawa ya kulevya ray c mungu kampatia kipaji cha pekee cha sauti tamu sana anajua kuimba sana. Natamani ingetokea mtu atoe utaratibu mzur wa kuuza nyimbo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
[emoji12].
1 Reactions
0 Replies
1K Views
mi Nina Wazo, Natafuta Watu ili kwa1 Tufanye Jambo Kubwa, Sorry!! Siwezi Kuliweka Hadharani Wazo Langu, Sababu Wazo Ni Biashara Yenyewe,
2 Reactions
51 Replies
3K Views
Huyu jamaa ni noma, ametoa Ngoma mpya ya singeli inaitwa NADUKUA. Hii Ngoma ni Kali balaa, ngoja atairelease mda si mrefu. Hongera mwana jf mwenzetu
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nimeuliza kwakuwa naina nchi nyingi huwa na nembo zinazo watambulisha katika nchi za nje hata katika michezo...Mfano ni kenya wana nembo yao kama taifa ukiiona unajua hii ni kenya,England mbali ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom