Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wakuu Kwema . Moja kwa Moja. Ni hii movie ya kijana Mmoja Alikua anauza madawa ya Kulevya , alikua na Asili ya watu wa Bara la Asia,baadae akaja akakamatwa airport sijui nii ya nchi gani ,lakini...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Naomba kuuliza Marudio ya tamthililia ya star tv ya brigde of love ni lini na saa ngapi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
7 Reactions
120 Replies
14K Views
Habari wakuu! Kama kuna mtu ana softcopy ya kitabu au hadith yoyote nzuri za kiswahili zile zilizokamilika! Sio za ...itaendelea toleo lijalo.... nataka iwe mwanzo mwisho,anisaidie kwani kuso6a...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nichuo kipi kinatoa maafisa michezo na maafisa tamaduni.naomba msaada.
0 Reactions
0 Replies
639 Views
M
0 Reactions
0 Replies
615 Views
Kwa wale wanaofuatilia PB ya clouds FM mtakuwa mmesikia hili tukio la leo kati ya KP na Barbra Hassan. Inaonesha KP alikuwa anamtomasa huyu mama (labda kwa bahati mbaya au kwa kukusudia). Baada ya...
4 Reactions
33 Replies
7K Views
Video za wasani Rayvanny kijuso na Ali kiba aje remix zipo kitaa lakini inaonekana kijuso anakimbiza kuliko aje. ALI KIBA SIJUI ALIJIANDAAJE.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
mistari aliyoimba kwenye wimbo wake mpya unaoitwa muda wetu kuna line inasema "hivi mnamuabudu Mungu gani asiyewajibu kila siku,bora muwe wapagani ka vipi muabudu kuku..Mungu wangu yuko fasta...
3 Reactions
20 Replies
7K Views
Wadau nahitaji kujifunza kupiga kinanda/piano. Ni wapi kuna darasa lla hii kitu hapa jijini Dar?
0 Reactions
8 Replies
4K Views
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau hii tamthilia ilirushwa na TBC (wakati ule ikiitwa TVT) mwaka 2004. Nimejaribu kuitafuta mtandaoni kwa miaka mingi ila naipata ikiwa ktk lugha ya spanish, tafadhali kwa yeyote anayeweza...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Wadau wa masebene nadhani mtakubaliana nami kuwa katika kizazi cha muziki wa Congo saizi huwezi kuzungumza bila kumtaja Werrason au Fally Ipupa. Hawa wote ni wakali mbaya, ukianza na Werrasson...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
1. Endless Love (Soundtrack Version) , Diana Ross & Lionel Richie 2. I'll Make Love to You, Boyz II Men 3. You Needed Me, Anne Murray 4. Be Without You, Mary J. Blige 5. We Found Love, Rihanna...
12 Reactions
135 Replies
21K Views
Huyu dada ana nyimbo kali mpya inaitwa kismet, ila nimeshindwa kuiweka hapa.Tangia aanze kuimba bongo fleva akichanganya na staili nyingine amekuwa mkali. Mwenye kuweza kuiweka hapa aiweke...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
MTAZAMO WANGU KUHUSIANA NA WIMBO WA IM SORRY JK. ________________________________ Kufuatia msanii Nick Mbishi kuitwa BASATA kwa kile kinachoelezwa kwamba kuhojiwa kutokana na nyimbo yake ya Im...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
SORRY JK".... Nicki Mbishi. Hook: It will one day make sense/Nikisema hakuna president kama JK/ Tanzania inakumiss yaani daily/ Kwa niaba ya wabongo I'M SORRY JK/ Lyrics:1 I'm sorry JK nimeona tu...
2 Reactions
10 Replies
6K Views
Back
Top Bottom