Maywether anarudi kwenye ngumi Mara nyingine tena

Maywether anarudi kwenye ngumi Mara nyingine tena

2013

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
11,361
Reaction score
6,083
Bondia mwenye akili nyingi sana ulingoni jimmy floyd "money" maywether, This time anapanga kupigana na bondia mwingine tena wa UK.
 
Ukiona hivyo ujue hela zimeanza kumuishia
 
Ukiona hivyo ujue hela zimeanza kumuishia
 
Mimi nataka(nitafurahi) warudie Pambano na Manny Pacquiao.
 
Mimi nataka(nitafurahi) warudie Pambano na Manny Pacquiao.
Pacman aliwahi kusema aliingia ulingoni akiwa anaumwa mkono.

Kauli hii ilimuudhi Maywether, akasema "losers always have excuses".
Akasema amechukizwa na kauli hiyo ya pacman ambayo anaona inavunja heshima na kughairi mpango wake wa kurudiana tena na Pacman.
 
Back
Top Bottom