Nawakubali hawa katika soukous
Jean baron
Diblo Dibala
Dally kimoko
Aurus mabele
Kanda bongo man
Tukumbushane wakali wengine na moments wakati mziki huu unatamba
Kwa wale wapenzi wa kuangalia series-kuna series inaitwa game of throne inayoonyeshwa na HBO. Hii ndio series bora kabisa kwa miaka ya karibuni inaongoza kuona na watu wengi zaid duniani,kulingana...
Ikiwa ni saa zisizodi ishirini na nne (24) toka itoke taarifa ya MwanaHiphop Tanzania Nikki Mbishi kutoa taarifa ya kuitwa na Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) kuhojiwa kuhusu wimbo wake...
1. War machine- Army of the pharaohs
2. Give up your guns- Royce Da 5'9 ft Talib Kweli & Raekwon
3. Its time for war- Ll Cool J
4. The Cool- Lupe Fiasco
5. The believer- Common ft John...
Habarini wadau,
Ningependa kufahamu ni kwa namna gani na mambo gani yanatakiwa ili kuanzisha kipindi cha TV na mambo gani muhimu yanayoweza kufanya kikafanikiwa ?
- Je, kibongo bongo gharama...
Watanzania tukaze sana Diamond,Vanessa,Kiba,Navi Kenzo and all the artists wenye mzuka hii inawezekana endeleeni kukaza buti
Wizkid, Runtown make Billboard Twitter Top Tracks chart
RELATED NEWS...
Wana jukwaa , somo tajwa hapo juu lahusika,
Nataja hit Tano za mfalme Ali Kiba na rais Diamond ni zipi zili Kik sana na hata Leo radha bado ziko pale pale zikipigwa?
Ali Kiba
1.single boy...
Habarini za asubuhi wapendwa,
Kwa yeyote mwenye games ya mabasi naomba tuwasiliane. Maana napenda sana games hasa kwa kipindi hiki ambacho sina kazi.
Nawatakia asubuhi njema.
Wimbo Marry You ambao Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameimba na fundi wa sauti na kucheza kutoka Marekani, Shaffer Chimere Smith ‘Ne-Yo’ ni biashara yenye thamani kubwa kwa soko la Afrika.
Marry...
Jana usiku katika chezea chezea remote yangu nikaangukia kwenye channel y BBN nakukuta Mwandada Mrembo kutoka Tanzania Vanessa Mdee akitumbuiza ndani ya jumba la BBN akiambatana na Ice Prince...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.