Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Kuna kila dalili ya kufanyika collabo nyingine ambayo haijawahi tokea ndani ya Crew ya WCB kati ya Boss wa label hiyo kubwa ya muziki hapa nchini na nje ya nchi, Nassib Abdul "DIAMOND PLATNUMZ"...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Miongoni mwa waasisi wa muziki wa kufoka foka Tz ni huyu jamaa. Kwa wale wa umri wa kati nadhani wanamkumbuka vizuri sana ktk tasnia ya muziki. Alifungua milango ya kurap kwa kiswahili jambo...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Ngoja nikupe kwanza tafsiri sahihi na rahisi ya record label: ni ‘brand ya biashara inayohusiana na masoko ya rekodi za muziki na video za muziki, studio ya kurekodi. Pia ni kampuni inayojihusisha...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Axe wadau kunafoleni zina kera hadi kero,hii hutokana na mda ambao watu hutumia kupata huduma mbalimbali kama za kibenk,huduma za matibabu,chakula n.k.Binafsi foleni inayotumia zaidi ya lisa...
0 Reactions
2 Replies
551 Views
Hakuna asiyefahamu kuwa muziki wa Singeli ni miongoni mwa miziki inayofanya vizuri zaidi hapa nchini kwa sasa lakini pia umezalisha ajira kwa vijana wengi na umetufanya tuuamini ni muziki wa asili...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
km una GTA IV na upo Dar naomba unisaidie km unahitaji malipo utalipwa
0 Reactions
0 Replies
665 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu haka kawimbo leo tangia najiandaa kuingia job kanagonga akilin mbaya sanaaaa Tumia akili kukatafakari mbona hakachuji Contents za akil
1 Reactions
16 Replies
893 Views
Mfahamu vyema Miss Tanzania kwa kubofya link hapo chini Diana Edward, Miss Tanzania 2016 namna ilivyokuwa ~ Eman Mic's WEBSITE
0 Reactions
0 Replies
923 Views
Kama una kipaji cha kuimba,kuigiza,kuchora,kucheza mpira, uandishi,uongozi,uanaharakati(Activists), model/fashionist na unataka unufaike na kipaji chako pia utambulike kupitia kipaji chako...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Hakuna anaetamani kwenda kupofuka macho kwa vumbi lenye mchanga. Hakuna anaependa kuacha upepo wa bahari na akakutane na upepo wa jangwa.
1 Reactions
15 Replies
1K Views
The six-member crew of the International Space Station is tasked with studying a sample from Mars that may be the first proof of extra-terrestrial life, which proves more intelligent than ever...
0 Reactions
0 Replies
480 Views
ZECOMEDY SHOW kipindi kinachorushwa saa 12:30 jion siku ya jumamosi EATV wamezungumzia makundi yaliopo ndani ya sanaa yao ya uigizaji kuna makundi karibia matatu yote yanaona yao yako juu Kama...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
  • Redirect
Jamani fans wa Got mkae mkao wa kula season seven inaliziwa kupikwa it's on the way na Leo wameachia teaser ya picha ya White walker aki ride dragon
1 Reactions
Replies
Views
Wakuu nautafuta sana wimbo wa vijana jazz unaitwa chivalavala. naomba kama kuna mtu anao tusaidiane kupitia 0766399341. Nitachangia hela ya bundle.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Anaondoka na kitita cha tsh 30,000,000. Hongera zake!! ======== Olive Kiarie kutoka Kenya ameibuka mshindi wa shindano la Maisha Plus Afrika Mashariki 2016. Amejinyakulia TZS milioni 30
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Redirect
Leo tumeshuhudia kilichtke maisha plus mkenya kaondka na M 30 zake kiulainiiiiiiih Tatzo linakuja hapa baada ya mchujo kupita then kuna kitu kinaitwa kupiga kura mwisho wa siku nchi jirani lazima...
2 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom