MY FAVOURITE ARTIST FOR THE YEAR 2017

MY FAVOURITE ARTIST FOR THE YEAR 2017

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,707
Reaction score
71,073
Mbali na wasanii wa hapa nyumbani Afrika.
Kuna huyu jamaa anaitwa Rag'n'Bone Man ndiye msanii ambaye nimetokea kumpenda sana kwa mwaka huu 2017. Ni moja ya wasanii ambao wanaimba vitu ambavyo vinafanya moyo wako ufurahi na akili ifikirie sana. Ndani ya nyimbo zake huwezi kukuta matusi, kashfa wala makufuru kama ilivyo wasanii wengine wakubwa.

1. Skin


2. Arrow


3. Human


Nyimbo yake ya Human imefanya vizuri sana kwenye BBC Official UK TOP 40.
Album yake inaitwa HUMAN

CC: Red Giant , Benny , mtembea kwa miguu , Apollo
 
jamaa muonekano wake tofauti kabisa na style na mashairi anayoimba. keep on sharing bro.
 
Back
Top Bottom